JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Baada ya Tanzania kushika nafasi ya mwisho katika Kundi F na kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataofa ya Afrika (AFCON2023), ratiba ya Hatua ya 16 imejulikana.
Timu ambazo zimeingia hatua hiyo kupitia nafasi ya Mshindi wa Tatu Bora ni Guinea, Namibia, Mauritania na wenyeji Ivory Coast.
Januari 27, 2024
Angola vs Namibia
Nigeria vs Cameroon
Januari 28, 2024
Equatorial Guinea vs Guinea
Misri vs DR Congo
Januari 29, 2024
Cape Verde vs Mauritania
Senegal vs Ivory Coast
Januari 30, 2024
Mali vs Burkina Faso
Morocco vs Afrika Kusini
Timu ambazo zimeingia hatua hiyo kupitia nafasi ya Mshindi wa Tatu Bora ni Guinea, Namibia, Mauritania na wenyeji Ivory Coast.
Januari 27, 2024
Angola vs Namibia
Nigeria vs Cameroon
Januari 28, 2024
Equatorial Guinea vs Guinea
Misri vs DR Congo
Januari 29, 2024
Cape Verde vs Mauritania
Senegal vs Ivory Coast
Januari 30, 2024
Mali vs Burkina Faso
Morocco vs Afrika Kusini