sasa hivi ni kipindi cha pili magoli bado ni bila bila
"duuuh, kila ninapoona post mpya kwenye thread hii haja ndogo inanibana zaidi - na kuogopa kufungua thread!!"
Bora uishe hivyo hivyo kuliko kufungwa!ila ni dommage maana tupo nyumbanimilango mpaka sasa hivi ni migumu hakuna timu iliyoona lango so far
nasikia mpira umeisha bila bila