Tanzania standard za kuitwa genius au akili kubwa ziko chini sana

Masikio Masikio

JF-Expert Member
Apr 12, 2023
1,840
3,378
Tanzania ni moja ya nchi mtu anaweza fanya jambo la kawaida sana akaitwa genius au akili kubwa

Mtu anaweza copy kitu wikipedia au kitabu chochote alafu akaongeza ongeza na kingereza chenye misamiati isiyokua na formula basi akaitwa genius

Tanzania na afrika kwa ujumla standard zetu za mambo mengi zipo chini sana na ndo maana ni ngumu sana kwa watu wetu kufanya mambo makubwa, kinachofanya wazungu wawe wabunifu ni kwa sababu stabdard zao za vitu/mambo zipo juu sana ili uitwe genius lazima uwe umefanya kitu/jambo linaloonekana sio kirahisi rahisi

Kuna wanfunzi wanakua wamepata A masomo yote wale sio magenius ni wanauwezo wa kukariri ni kosa kuwaita magenius

Kuna watu wana-akili sana ila sio magenius hiki ni kitu ambacho watu wanatakiwa wafahamu- kuitwa genius ni kuwa extra-ordinary kufikiria jambo au kitu ambacho hakuna mtu aliyewahi kufikiria

Genius anaweza akawa wakawaida sana darasan hata ufaulu wake ukawa wa kawaida sana ila akawa na idea za kuleta product au solution ya tatizo linaloisumbua jamii fulani

Vigezo vya mtu kuitwa genius
Uwe umevumbua jambo au kitu-nivizuri watu wakafahamu genius yoyote lazima awe amevumbua kitu hata akifa leo vimeacha alama hata miaka 200 ijayo
 
tuna wasomi na ma genius wengi wa kukariri........ndo maana hakunaga ubunifu
 
Tanzania ni moja ya nchi mtu anaweza fanya jambo la kawaida sana akaitwa genius au akili kubwa

Mtu anaweza copy kitu wikipedia au kitabu chochote alafu akaongeza ongeza na kingereza chenye misamiati isiyokua na formula basi akaitwa genius

Tanzania na afrika kwa ujumla standard zetu za mambo mengi zipo chini sana na ndo maana ni ngumu sana kwa watu wetu kufanya mambo makubwa, kinachofanya wazungu wawe wabunifu ni kwa sababu stabdard zao za vitu/mambo zipo juu sana ili uitwe genius lazima uwe umefanya kitu/jambo linaloonekana sio kirahisi rahisi
Genius bila hela ni aibu
Genius wapo wanaonipiga serikali na kuibuka na ma bilion ya hela ,akina mkono,rugemarila na wengine waliojenga mahekalu kwa kuiibia serikali
 
Genius bila hela ni aibu
Genius wapo wanaonipiga serikali na kuibuka na ma bilion ya hela ,akina mkono,rugemarila na wengine waliojenga mahekalu kwa kuiibia serikali
Hao sio magenius
Genius ni kama steve jobs au einstein wamevumbua vitu au kuja na solution flani
 
tunaongozwa na form 4 failure halafu unatarajia u genius.

Our intellectual capability goes as far as the precedent set by our leader.
 
Kuna wachungaji wanajua kuongea sana wanaitwa genius au smart!

Huwezi kuwa smart au genius kupitia dini kwa sababu hayo ni mambo ya kuamini zaidi kuliko kutumia akili.
 
Physics A level. Eti mtu akariri apige A.

Maswali ya kyexplain na calculation

Wadau waseme huyo kakariri tu
 
Miundombinu ya Africa hasa sub-Saharan haimruhusu MTU mwenye extra -ordinary mind kuonekana .
 
Tanzania ni moja ya nchi mtu anaweza fanya jambo la kawaida sana akaitwa genius au akili kubwa

Mtu anaweza copy kitu wikipedia au kitabu chochote alafu akaongeza ongeza na kingereza chenye misamiati isiyokua na formula basi akaitwa genius

Tanzania na afrika kwa ujumla standard zetu za mambo mengi zipo chini sana na ndo maana ni ngumu sana kwa watu wetu kufanya mambo makubwa, kinachofanya wazungu wawe wabunifu ni kwa sababu stabdard zao za vitu/mambo zipo juu sana ili uitwe genius lazima uwe umefanya kitu/jambo linaloonekana sio kirahisi rahisi

Kuna wanfunzi wanakua wamepata A masomo yote wale sio magenius ni wanauwezo wa kukariri ni kosa kuwaita magenius

Kuna watu wana-akili sana ila sio magenius hiki ni kitu ambacho watu wanatakiwa wafahamu- kuitwa genius ni kuwa extra-ordinary kufikiria jambo au kitu ambacho hakuna mtu aliyewahi kufikiria

Genius anaweza akawa wakawaida sana darasan hata ufaulu wake ukawa wa kawaida sana ila akawa na idea za kuleta product au solution ya tatizo linaloisumbua jamii fulani

Vigezo vya mtu kuitwa genius
Uwe umevumbua jambo au kitu-nivizuri watu wakafahamu genius yoyote lazima awe amevumbua kitu hata akifa leo vimeacha alama hata miaka 200 ijayo
Ma genius wapo ila mifumo yetu haisupport kuwa na hao watu mfumo unataka watu wanaojua kusoma na kuandika tu hayo mengine ni extra..
 
Naona mnaponda wasomi wa hapa..hivi mnadhani kuvumbua kitu ni kama kunya tu..hivi mnajua ni shilingi mataifa ya nje yana-invest kwenye R&D? Na R&D trial and error zinakuwa nyingi sana,wasomi wanaweza kuchoma mabilioni ya fedha na wasigundue kitu kipya na bado wakaongezewa fedha na taasisi husika..
Hapa wasomi wakifanya hivyo Mtaishia kuwaitia ma-CAG na mtawaita mafisadi.. Mnaishia kuponda tu,someni na nyie kama mnaona rahisi
 
Naona mnaponda wasomi wa hapa..hivi mnadhani kuvumbua kitu ni kama kunya tu..hivi mnajua ni shilingi mataifa ya nje yana-invest kwenye R&D? Na R&D trial and error zinakuwa nyingi sana,wasomi wanaweza kuchoma mabilioni ya fedha na wasigundue kitu kipya na wakaongezewa na taasisi husika..
Hapa wasomi wakifanya hivyo Mtaishia kuwaitia ma-CAG na mtawaita mafisadi.. Mnaishia kuponda tu,someni na nyie kama mnaona rahisi
Kwanini wasomi wa afrika hawavumbui chochote kumbuka ma-genius ndo wanaovumbua vitu
 
Akili pia ni genetics. Hao wazungu mnaojilinganisha nao, Mungu aliwapa akili miaka mingi mno. Mfano Vasco da gama alifika pwani ya Tanzania mwa 1498 na kujenga ngome huko kilwa na ikakamilika, je kwa mwaka huo 1498 palikuwa na chifu au mtu mwenye mpango huo?

Mpaka leo 2024, madarasa na zahanati zimetushinda kujenga na kumaliza
 
Back
Top Bottom