Tanzania sehemu ya social experiments, kwanza Ujamaa sasa hivi nwo!

Kijakazi

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
6,413
8,913
Tanzania kuanzia kuanzia kuanzishwa kwake haijawahi kuwa nchi ya kawaida kama nyingine, ni nchi inayotumiwa kama sehemu ya majaribio ya mifumo ya maisha, ndiyo maana Communism Dunia nzima iliitwa hivyo Communism lkn Tanzania ukaitwa ujamaa na ukapewa defination yake kwamba ni Communism ya Kiafrika kwa nini kuwe na communism ya Kiafrika ?

Ujamaa hiyo social experiment ilishindwa na ndiyo maana Mwalimu Nyerere alijiuzulu, sasa hivi kuna social experiment nyingine pia tunapitia, waanzilishi wa hizi experiments ambao ni Wazungu globalist wanajaribu kuangalia jinsi ambavyo experiment itakwenda, ikifanikiwa wataitumia kwa Afrika nzima ikishindwa, well itakuwa kama ujamaa, lkn mwisho wa siku wanaoumia ni wananchi.

Mambo yanavyokwenda Tanzania sasa hivi hauhitaji high IQ kujua kwamba kuna mkono mrefu sana, …
 
Mleta mada funguka vzr hiyo nwo kwa tz iko kwa namna gani?

#MaendeleoHayanaChama
 
Tanzania kuanzia kuanzia kuanzishwa kwake haijawahi kuwa nchi ya kawaida kama nyingine, ni nchi inayotumiwa kama sehemu ya majaribio ya mifumo ya maisha, ndiyo maana Communism Dunia nzima iliitwa hivyo Communism lkn Tanzania ukaitwa ujamaa na ukapewa defination yake kwamba ni Communism ya Kiafrika kwa nini kuwe na communism ya Kiafrika ?

Ujamaa hiyo social experiment ilishindwa na ndiyo maana Mwalimu Nyerere alijiuzulu, sasa hivi kuna social experiment nyingine pia tunapitia, waanzilishi wa hizi experiments ambao ni Wazungu globalist wanajaribu kuangalia jinsi ambavyo experiment itakwenda, ikifanikiwa wataitumia kwa Afrika nzima ikishindwa, well itakuwa kama ujamaa, lkn mwisho wa siku wanaoumia ni wananchi.

Mambo yanavyokwenda Tanzania sasa hivi hauhitaji high IQ kujua kwamba kuna mkono mrefu sana, …
Fear of Unknown is destroying our Nation. Wazungu wametoka wapi tena kwenye Ujamaa wa Kiafrika wakati walitupa Uhuru wetu?

Wakoloni wameondoka miaka zaidi ya 60 iliyopita,ila sisi wenyewe tunaishi kwa kujiaminisha kuwa hatuwezi chochote bila Wazungu.

Haikosi Mungu katupa Mali zote bali katunyima kitu muhimu ambacho ni Akili. Watawala wetu wameelimishwa kwa gharama za wananchi lakini wameendelea kuwadidimiza,kuwakosesha fursa ya Elimu wananchi ili waendelee kututawala.

Baada ya kupata Uhuru tulitakiwa kuhakikisha raslimali zinawanufaisha wananchi/watu na siyo wageni/madalali kama ilivyo sasa.

Bado mnahamisha watu kutoka kwenye makazi yao kwa ajili ya Wakoloni?

Tumeshindwa hata kuandika Katiba ya Wananchi kwa hofu ya kupoteza mamlaka binafsi za watawala au vyama!

Tusilaumu wengine kwa ujinga Wa watawala wetu,Afrika ni Tajiri Wa Mali ila watawala wake ni wabinafsi/waroho mno.
 
Fear of Unknown is destroying our Nation. Wazungu wametoka wapi tena kwenye Ujamaa wa Kiafrika wakati walitupa Uhuru wetu?
Wakoloni wameondoka miaka zaidi ya 60 iliyopita,ila sisi wenyewe tunaishi kwa kujiaminisha kuwa hatuwezi chochote bila Wazungu. Haikosi Mungu katupa Mali zote bali katunyima kitu muhimu ambacho ni Akili.Watawala wetu wameelimishwa kwa gharama za wananchi lakini wameendelea kuwadidimiza,kuwakosesha fursa ya Elimu wananchi ili waendelee kututawala.
Baada ya kupata Uhuru tulitakiwa kuhakikisha raslimali zinawanufaisha wananchi/watu na siyo wageni/madalali kama ilivyo sasa.
Bado mnahamisha watu kutoka kwenye makazi yao kwa ajili ya Wakoloni?
Tumeshindwa hata kuandika Katiba ya Wananchi kwa hofu ya kupoteza mamlaka binafsi za watawala au vyama!
Tusilaumu wengine kwa ujinga Wa watawala wetu,Afrika ni Tajiri Wa Mali ila watawala wake ni wabinafsi/waroho mno.
Hicho ulichosema ni sahihi
 
NWO ni nini?
Tanzania kuanzia kuanzia kuanzishwa kwake haijawahi kuwa nchi ya kawaida kama nyingine, ni nchi inayotumiwa kama sehemu ya majaribio ya mifumo ya maisha, ndiyo maana Communism Dunia nzima iliitwa hivyo Communism lkn Tanzania ukaitwa ujamaa na ukapewa defination yake kwamba ni Communism ya Kiafrika kwa nini kuwe na communism ya Kiafrika ?

Ujamaa hiyo social experiment ilishindwa na ndiyo maana Mwalimu Nyerere alijiuzulu, sasa hivi kuna social experiment nyingine pia tunapitia, waanzilishi wa hizi experiments ambao ni Wazungu globalist wanajaribu kuangalia jinsi ambavyo experiment itakwenda, ikifanikiwa wataitumia kwa Afrika nzima ikishindwa, well itakuwa kama ujamaa, lkn mwisho wa siku wanaoumia ni wananchi.

Mambo yanavyokwenda Tanzania sasa hivi hauhitaji high IQ kujua kwamba kuna mkono mrefu sana, …
 
Tanzania kuanzia kuanzia kuanzishwa kwake haijawahi kuwa nchi ya kawaida kama nyingine, ni nchi inayotumiwa kama sehemu ya majaribio ya mifumo ya maisha, ndiyo maana Communism Dunia nzima iliitwa hivyo Communism lkn Tanzania ukaitwa ujamaa na ukapewa defination yake kwamba ni Communism ya Kiafrika kwa nini kuwe na communism ya Kiafrika ?

Ujamaa hiyo social experiment ilishindwa na ndiyo maana Mwalimu Nyerere alijiuzulu, sasa hivi kuna social experiment nyingine pia tunapitia, waanzilishi wa hizi experiments ambao ni Wazungu globalist wanajaribu kuangalia jinsi ambavyo experiment itakwenda, ikifanikiwa wataitumia kwa Afrika nzima ikishindwa, well itakuwa kama ujamaa, lkn mwisho wa siku wanaoumia ni wananchi.

Mambo yanavyokwenda Tanzania sasa hivi hauhitaji high IQ kujua kwamba kuna mkono mrefu sana, …
Tatizo raia wake wengi ni wajinga sn
 
Fear of Unknown is destroying our Nation. Wazungu wametoka wapi tena kwenye Ujamaa wa Kiafrika wakati walitupa Uhuru wetu?
Wakoloni wameondoka miaka zaidi ya 60 iliyopita,ila sisi wenyewe tunaishi kwa kujiaminisha kuwa hatuwezi chochote bila Wazungu. Haikosi Mungu katupa Mali zote bali katunyima kitu muhimu ambacho ni Akili.Watawala wetu wameelimishwa kwa gharama za wananchi lakini wameendelea kuwadidimiza,kuwakosesha fursa ya Elimu wananchi ili waendelee kututawala.
Baada ya kupata Uhuru tulitakiwa kuhakikisha raslimali zinawanufaisha wananchi/watu na siyo wageni/madalali kama ilivyo sasa.
Bado mnahamisha watu kutoka kwenye makazi yao kwa ajili ya Wakoloni?
Tumeshindwa hata kuandika Katiba ya Wananchi kwa hofu ya kupoteza mamlaka binafsi za watawala au vyama!
Tusilaumu wengine kwa ujinga Wa watawala wetu,Afrika ni Tajiri Wa Mali ila watawala wake ni wabinafsi/waroho mno.
Nakuunga mkono lakini ujue hatujawahi kukodi viongozi kutoka nje maana yake wanawakilisha jinsi waafrika tulivyo, Watu weusi kuanzia Sub-Sahara mpaka south nenda nchibza Caribbean kote watu weusi maisha yetu ni shida! kuna kitu hatuko sawa kwa kweli... refer maneno ya P.W Botha kiongozi wa makaburi SA
 
Back
Top Bottom