Tanzania Now Faces Sanctions & Diplomatic Crisis Over Iran

Tanzania Now Faces Sanctions & Diplomatic Crisis Over Iran

Status
Not open for further replies.
Kitu kinachonishangaza ni Zanzibar ina Bendera ya Taifa lake; Kwanini hawakuitumia hiyo Bendera ya Taifa lao?

Wakatumia Bendera ya Tanzania? sasa kwanini Umuhimu wa kudai Bendera yao?

Sanctions, Sijui hao ndugu zetu wa Uamsho watakimbilia Oman, na kuwaacha Wanzibari tupu
na kukabiliana na Sanction, sababu nia yao ni kuharibu nchi sio kujenga nchi.

Kwetu sisi bara, hapo ndio tutaona Matunda ya kuwatukuza Mafisadi Uzuri ni fedha zao zote zitashikiliwa huko kwenye mabenki ya nje wataumia kama sisi, Hakuna Riz1 kumiliki
hiki wala kile, maumivu wote tutayapata pamoja.


_40714247_newflagafp203bok.jpg

naomba nikuulizi maswali yafuatayo. tanzania ni nini?. Na je? Zanzibar ku2mia bendera ya tanzania ni kosa.
 
Ni muhimu kutunza jina na heshima ya Tanzania katika ngano na siasa za kimataifa. UN ikifikia resolution haiwezekani mwanachama kama Tanzania akafanya vitendo vya kuhujumu azimio hilo.
Hata hivyo ni wakati sasa wakumkumbusha Mhe. Rais kwamba matatizo ya nchi hii kwa sasa yametokana na vitendo vya kionevu, dharau na udhalilishaji vilivyofanywa na vinavyofanywa na viongozi na watendaji wa ngazi za juu wa serikali yake.
 
"Power tends to corrupt, and absolute power corrupts absolutely." (Lord Acton, 1887)
Dear President Kikwete,

I am writing to express my deep dismay that Tanzania has permitted the National Iranian Tanker Company (NITC), to reflag at least 6 and as many as 10 of its vessels under the Tanzanian ship registry, allowing them to remain under NITC ownership and continuing to transport Iran’s crude oil exports. This action by your government has the effect of assisting the Iranian regime in evading U.S. and EU sanctions and generating additional revenues for its nuclear enrichment and weapons research programs and its support for international terrorism.

It is profoundly disappointing to me to learn that your government has acted in contravention of the broad international coalition that is working together to use peaceful means, including economic sanctions, to change the threatening behavior of the Iranian regime. The decision to accept the re-flagging of NITC vessels casts a shadow over Tanzania’s international reputation.

I respectfully request that Tanzania cancel the re-flagging of the NITC vessels. Given the close and cooperative relationship that our two governments now enjoy, it would be unfortunate if this action were permitted to stand.

It would be preferable that Tanzania take this action of its own accord. However, your government should take note of President Obama’s Executive Order 13608, signed May 1, 2012, which provides for the imposition of sanctions on any entity worldwide, including foreign governments, that assists Iran in evading U.S. sanctions. In my view, reflagging Iranian oil tankers falls within the scope of sanctionable activity under that Executive Order. In addition, if Tanzania were to allow Iranian vessels to remain under Tanzanian registry, we in the Congress would have no choice but to consider whether to continue the range of bi-lateral U.S. programs with Tanzania.

Sincerely,

Howard Berman
Ranking Democrat, House Foreign Affairs Committee



Namshauri dhaufu asijibu barua hii maana ni upepo tu wa siasa za nje unapita!!!!
 
kwa wenzetu hakunaga cha upepo wanakaba hadi kivuli mpaka kieleweke.
 
Mmmmm!! ngoma inogile tuone DK kikwete atajibu nini!!!
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]Z'bar confirms registering foreign tankers
[/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"]Saturday, 30 June 2012 11:48
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mr Hamad
By Mkinga Mkinga
The Citizen Reporter
Dar es Salaam.

The Zanzibar government yesterday confirmed it had registered 11 oil tanker companies which were formerly registered in Malta and Cyprus and accused the media of misleading the public.
Earlier this week some newspapers, including The Citizen, published reports that an Iranian oil tanker company had renamed at least 10 of its vessels and replaced their flags with Tanzanian ones, news that sent shockwaves through the country's leadership.

A statement read by Zanzibar minister for Infrastructure and Communication Hamad Masoud Hamad yesterday to the House of Representatives

said owners of the eleven companies were nationals of British Virgin Islands and Seychelles.
He named the ships as Daisy with a gross register tonnage (GRT) of 81479 registered in Malta, Justice (GRT 164241) registered in Cyprus, Magnolia (GRT 81479) also formerly registered in Malta.

Other ships are Courage (GRT 163660) owned by Courage Shipping Co. Ltd, Freedom (GRT 163660) also owned by Freedom shipping Co. Ltd, Valor (GRT 160930) owned by Valor Shipping Co. Ltd and Leadership (GRT 164241) owned by Leadership Shipping Co. Ltd. All these were formerly registered in Cyprus.

Mr Hamad also named Companion (GRT 164241) owned by Companion Shipping Co. Ltd, Camellia (GRT 81479) owned by Camellia Shipping Co. Ltd, Clove (GRT 81479) owned by Clove Shipping Co. Ltd and Lantana (GRT 81479) owned by Lantana Shipping Co. Ltd, all were formerly registered in Malta.
The minister quoted the Zanzibar Maritime Transport Act 2006, Section 8, which states that there will be establishment of a Tanzania Zanzibar International Register of Shipping for ocean going ships; and Tanzania Zanzibar Register of Shipping for coastal ships to justify the registration.
However, the story published earlier by this paper did not put the legality of the registration of such ships in Zanzibar into question whatsoever.

Quoting the Equasis Shipping Database maintained by the European Commission, the report pointed out that ownership of the ships was switched from NITC to new companies operating from the same address in Tehran. NITC remains the operator, though. All the ships were previously registered in Malta or Cyprus.

This development comes a few days before a full European embargo on Iranian crude exports, which starts next Monday, and is extended to insuring vessels that carry the oil. Some 25 NITC tankers are being used to store crude, the Paris-based International Energy Agency said. The US and Europe plan to impose the embargo on Iranian crude oil export amid fears that the Iran nuclear programme is aimed at developing atomic weapons.

However, Mr Hamad said that deregistration of ships was not a new thing, adding that other 20 oil tankers from European countries have also deregistered and acquired registration at Tuvalu Islands.

"ZMA asked its agent, Philtex Corporation from Dubai, to ask the owners of the deregistered ships about their relationship with the Iranian government….our agent met the owners on Thursday and they declared that they did not have any relationship with any Iranian authority," the minister noted.

He added that shipping line owners have also declared that if Zanzibar Maritime Authority was not willing to respect the registration of their ships they would consider holding discussions with other open registry bodies in Panama.
"They have no plans of returning to their earlier place of registration-Malta and Cyprus," he said.



[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
naomba nikuulizi maswali yafuatayo. tanzania ni nini?. Na je? Zanzibar ku2mia bendera ya tanzania ni kosa.

Sio Kosa hata kidogo lakini ni kwanini basi waliomba kuwa na hiyo Bendera? Kwanini wasiwape wa Iran hiyo Bendera?

"the flag is significant to Zanzibari politics, as the archipelago already has its own parliament,


executive, legal system and national anthem"
 
Na wao hawajaongelea sheria ya kimataifa wanazungumzia bilateral relationship lakini kumbuka kuwa ukigombana na US umegombana na kuanzia wajomba zao (UK) na wapambe wengine kama sie. Umegombana na dunia by implication.

Mi nijuavyo US haina mchango mkubwa kwenye budget ya TZ; wa kwanza tunayemtegemea na anayewapita wenzie mbali ni UK. Lakini UK na US ni ndugu hivyo lazima uchumi utashake.

US wanatupa sana sana vyandarua na matangazo ya ukimwi. Juzi kati walitoa ela kidunchu kwa waathitika wa mafuriko mpaka watu wakawacheka kuwa wamezidiwa na makampuni ya simu.

so far hakuna aliyeleta hiyo sheria ya kimataifa ambayo Tanzania imekiuka

sasa tunajadili upepo?
 
Na kutofungamana na upande wowote ndio kuliko fanya Tz kuwa masikini ukilinganisha na nchi kama Kenya. Lazima mtu uwe na upande bana; si kote kote

Ndio maana kuna msemo huwa unasema heri alie moto au baridi kuliko alie vuguvugu maana msimamo wake haujulikani
 
Ni ufinyu wa fikra kwa watanzania timamu kuiombea nchi yao mabaya,hata hao mnaowashabikia cjui kama watakidh hayo funguken Tanzania kwanza siasa baadae
 
Hapa tulipo nanga zina paa je na wazungu wakitukazia situakuwa kama somalia njaa tupu!!
 
Mkuu wangu Nzi,
Nakubaliana na maelezo yako kwa ++100%....sina tatizo katika hilo!! Hoja ya kwangu ni kwamba, hao USA hawana uhakika kwamba kupeperushwa huko kwa bendera kuna baraka toka JMT....!! Kuwa na baraka kutoka JMT maana yake ni kwamba ama meli hizo ziwe zimesajiliwa na sehemu moja wapo ya JMT au kulikuwapo na makubaliano ya siri/wazi kati ya JMT/SMZ na Iran katika kutumia bendera hizo. Kinyume chake, haigharimu chochote kwa meli yoyote kupeperusha bendera ya nchi yoyote!!! Zile bendera ni vitambaa tu na sizani kama zina security mark yoyote ambayo mtu anaweza kuhoji ilikuwaje hadi wahusika wakapata bendera yenye security mark.

Kama haigarimu chochote na bendera ni vitambaa tu, kwanini wasipeperushe ya kwao, yaani wewe unafikiri wao ni mataahira kiasi kwamba wanaweza kuweka bendera yetu kwenye meli zao bila kuwa na lengo lolote?

Watu wanajaribu kulifanya hili ni swala la kidini, au uzungu na uarabu, SIYO HIVYO, NI SWALA LA SISI KUSHINDWA KUFANYA MAAMUZI YENYE TIJA KWA NCHI YETU. Hata ingekuwa ni Marekani wanatumia bendera yetu kwa faida zao binafsi mimi bado ningepinga. Wamarekani au waarabu siyo rafiki zetu, hata tukionyesha ushabiki vipi they dont give a ****, lengo lao ni kuvuna kutoka kwetu, na wanatumia ujinga wetu uliotawaliwa na ubinafsi na kushabihikia bila bila kuweka utaifa mbele. Chonde watanzania, tuweke utaifa mbele, nchi inaharibika na hakuna mwarabu au mmarekani atakaye kukaribisha kwake eti sababu ulikuwa ulimshabihikia.
 
Ni muhimu kutunza jina na heshima ya Tanzania katika ngano na siasa za kimataifa. UN ikifikia resolution haiwezekani mwanachama kama Tanzania akafanya vitendo vya kuhujumu azimio hilo.

Hata hivyo ni wakati sasa wakumkumbusha Mhe. Rais kwamba matatizo ya nchi hii kwa sasa yametokana na vitendo vya kionevu, dharau na udhalilishaji vilivyofanywa na vinavyofanywa na viongozi na watendaji wa ngazi za juu wa serikali yake.

Ni kweli Mkuu,
Congressman, Mr. Howard Berman ktk barua yake kwa Mh. Rais Jakaya Kikwete anakazia na kukumbusha yale ambayo Marekani na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa iliyoamua:

Statements
Security Council Imposes Additional Sanctions on Iran,

UN security council resolution number 1929

SUSAN RICE (United States Permanent Representative to UN), speaking after the vote, said the resolution was a response to the threats to peace and security arising from Iran's refusal to comply with the requirements of IAEA and the demands of the Council. "Words must mean something," she said, stressing that the sanctions were not aimed at Iran's right to use nuclear energy for peaceful purposes, but squarely at concerns that it had ambitions to develop nuclear weapons. The measures were tough, smart and precise, she added. Security Council Imposes Additional Sanctions on Iran, Voting 12 in Favour to 2 Against, with 1 Abstention

Hapa Marekani imepata baraka za Umoja wa Mataifa (UN), hivyo Tanzania haina jinsi bali kuridhia maamuzi ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ( UN Security Council resolution 1929) na nyongeza za vikwazo toka Mataifa makubwa kama USA na Umoja wa Ulaya (EU).

Udhaifu wa viongozi wa Tanzania (chini ya serikali za CCM - Jamhuri ya Muungano na ile ya Mapinduzi Zanzibar) kutokuwa na sera madhubuti ya mahusiano ya Kimataifa (na nchi za nje) ndipo ilipoifikisha nchi kukabiliwa na vikwazo toka kwa bwana-wakubwa wa dunia hii.

Ipo haja ya wizara za serikali ya Muungano na zile za Serikali ya Mapinduzi kufanya kazi zake kwa uwazi (Open-gov't a.k.a tranparency) na ukaribu baina ya wizara (inter-ministerial) ili kila wizara na Mtanzania (M-Tanganyika na M-Zanzibari) kuwa na ufahamu ya madhara ya maamuzi yao kwa nchi iwe ni mfanyabiashara au mtumishi wa Serikali au Taasisi.
 
Kikwete will be overthrown. Tayari anajihisi kupinduliwa. Of course hata ongoza kwa amani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom