Siku ya kufa nyani..........!!
Is that what you think? You may be living in the past..
Hii kama umeitengeneza mwenyewe! Inamapungufu mengi mojawapo haina SIGNATURE ya huyo HOWARD BERMAN
Achana nao hao USA kama unaweza. Unadhani na wao ni kama CHADEMA ambao wakisusa vikao vya bunge nyinyi mnaendelea na kupiga kura kwa kelele nyingi "ndiyoooooo".
Marekani usitupangie marafiki naona humu kuna watumwa wa kiakili wanadhani Marekani wapo kwa ajili ya kutetea wanyonge hawajua kama Marekani yeye pesa ndio kitu cha kwanza...mbona mmekaa kimya Marekani kachukuwa migodi yenu yote kwa mkataba wa miaka 99 kuchimba dhahabu.
Duh... ama serikali hii kweli sasa imechanganyikiwa ile mbaya... madudu kila sehemu, nje, ndani, kushoto, kulia, juu, chini. Kwa nini lakini?
Mhh.. kazi kweli kweli. Hapo kwenye red -- itabidi serikali ya Iran kwanza iziondoe pesa zao za hongo walizowawekea vigogo wa serikali yetu katika mabenki ya nje kwa kuruhusu hii dili kufanyika. Nadhani haikuwa kwa bure tu na siyo malipo ni madokta wao kuja.
RA at work of course...wanna bet?
Marekani usitupangie marafiki naona humu kuna watumwa wa kiakili wanadhani Marekani wapo kwa ajili ya kutetea wanyonge hawajua kama Marekani yeye pesa ndio kitu cha kwanza...mbona mmekaa kimya Marekani kachukuwa migodi yenu yote kwa mkataba wa miaka 99 kuchimba dhahabu.
Tanzania ni inchi isiyo fungamana na upande wowote! hawa wamerekani wanatakiwa walijue hilo... ukoloni mambo leo ulipitwa na wakati!
Na sasa hivi yule waziri wetu..Bernardo atakuja na statement huku mapovu yakimtoka mdomoni kuwashambulia Wamarekani. Yetu macho. Ni tamthilia mwanana inayoendelea chini ya awamu ya dogo.
Unapinga content au authentic. Fyi content genuine and JK is in a big mess he miss judged this one. As usual RA is in it again. Is sad situationHii kama umeitengeneza mwenyewe! Inamapungufu mengi mojawapo haina SIGNATURE ya huyo HOWARD BERMAN