Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Marekani nao muda mwingine msimamo hawana kama wakiahidiwa mgodi wa gesi
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
They always mean business and nothing less.
Marekani nao muda mwingine msimamo hawana kama wakiahidiwa mgodi wa gesi
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hana cha kuandika afanyeje sasa. Halafu huyu jamaa hajawahi kuandika mada yenye uhakika, na tetesi zake zote hakuna hata moja iliyothibitishwa kuwa ya kweliTetesi zingine bana!
Hata kama iliyonywa, onyo hilo halikuwa na mshiko kwa vile sera ya Tanzania hairuhusu kuchaguliwa marafikiMkuu hiyo Tetesi. Tanzania imewahi kuonywa
na wala MAREKANI hawana ubavu wa kuichagulia Tanzania marafikiThey always mean business and nothing less.
Baada ya kuonywa kutokana na kusajili meli za Iran, uenda Tanzania sasa kuwekewa rasmi vikwazo vizito vya kiuchumi.
Chanzo chetu ndani ya Ubalozi wetu Marekani imetudokezea kwamba, Wamarekani wamekasirishwa na kitendo cha serikali ya Tanzania kuendelea kuisaidia Iran kukwepa shinikizo za kiuchumi za kimataifa, kwa kusajili meli zake
MY:Take. Sijui tutakwenda wapi ikiwa tutawekewa kikwazo chochote cha kiuchumi. The CITIZEN nayo juzi imeripoti
Bonyeza: Barua ZA Onyo La Kwanza View attachment 104799
Watu wengine mnachekesha sana. Haya, tusubiri tuone kama kama hatutafyata mkia.....na wala MAREKANI hawana ubavu wa kuichagulia Tanzania marafiki
Nawaona Kagame na Banda waleee, wanajiandaa kutupiga chini ya ufadhili wa "Bush". Lakini Amirijeshi wetu ashasema tuko imara sana, na tuendelee "kulala".
Sisi wengine si watumwa wa vyama vya siasa. Chama kimeingiaje hapa, mbona quote yangu iko wazi kabisa, sijataja vyama wala siasa, bali ni mgongano wa kimaslahi kama hii habari ni ya kweli. Maana ni wazi kuwa baadhi ya majirani zetu hawatuangalii kwa jicho la heri na Marekani always anajulikana ni ndumilakuwili, ukiingia kwenye kuharibu maslahi au misimamo yake unakuwa mbaya, na ubaya wake huwa hashindwi kutumia wabaya wako kupandikiza chuki na hatimaye mapigano huku yeye akitoa sapoti ya chinichini. Hiyo ndio maana ya comment yangu unayoiona hapo. Hakuna chama hapo.Na hili nalo yunaliangalia kichama vilevile???
.....weee mbele ya Mbwa wa Obama!!!!!na wala MAREKANI hawana ubavu wa kuichagulia Tanzania marafiki