Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Inaonekana kwa Tanzania madaktari (MD na kuendelea) watatu wanahudumia watu 100,000. hii ni ripoti ya mwaka 2014 ya CIA. inaiweka Tanzania kuwa nchi ya mwisho duniani kwa uwiano wa daktari:watu. Ripoti zingine zinasema kuna daktari 2 kwa watu 100,000. Cuba ni nchi inayojitosheleza sana. Ina madaktari 670 kwa watu 100,000.
hili ni janga na ndiyo sababu vituo vya maombezi, wakina Ndodi na waganga-wachawi wameshamiri sana. Tufanye nini?
hili ni janga na ndiyo sababu vituo vya maombezi, wakina Ndodi na waganga-wachawi wameshamiri sana. Tufanye nini?