Tanzania ni nchi ya tatu duniani kama nchi ambayo watu wake wana furaha

Tafakari_nami

JF-Expert Member
Nov 4, 2016
779
1,514
Kama kichwa cha Habari kinavyo jieleza hapo juu kwamba Nchi zenye Furaha duniani, basi sisi Tanzania ni inchi ya Tatu duniani yaani DUNIANI.

Source ikiwa ni hii taasisi ina itwa Mental state of the world report ambayo wame kusanya data toka kwa watu laki 4 toka inchi 71 duniani.

Nilipo ona hiyo report tuu kwanza Nilicheka kicheko kimoja matata sana alafu nikapigwa na mshangao, yaani duniani siso ni watatu?

Ingekuwa kwa Afrika mashariki hapo sawa ila DUNIANI.

Kwakweli nimebaki na maswali mengi mnoooo sijui walitumia vigezo ganiaana kwangu mimi sidhani kama tuna stahili hata kuingia 20 bora.

Ila sijui kwenu nyie wana jamii forum eti ni Kweli tuna stahili hiyo mafasi ya tatu au tuna pakwa mafutwa kwa chupa ya mgongo.

超级截屏_20240311_212338.png
 
Mauritius ni nchi ya kwanza inayoongoza kwa amani barani Afrika na inashika nafasi ya 23 duniani.

Hii orodha yako imeanzia chini.
 
Kwanza ilitakiwa tuwe nafasi ya kwanza kabisa kwa nchi zenye furaha zaidi Duniani kwote.maana siyo kwa furahi hii atupayo mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan. Watu wapo huru sana na kila mtu ana nafasi ya kuzungumza bila hofu wala wasiwasi hadi wengine wanatumia uhuru vibaya kwa kuanza kutukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu
 
Ww huoni hata hapa JF emoji za kucheka 😂 kujigalaza ni nyingi kuliko za hasira :mad: kali?
 
Back
Top Bottom