gwela2003
JF-Expert Member
- Mar 15, 2015
- 1,210
- 1,087
Hakuna private number since 2006 basi atakuwa ni usalama ndiowalitumia private..jamaa wapo kisiasa kuliko maslahi ya taifaJeshi letu nalo dhaifu sana - au halitaki tu kuanza investigation. Kama mpigaji wa simu amepiga simu akiwa hapa Tanzania hata kama namba aliificha, kuna namna inaweza kufanyika.