Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,599
- 217,991
Hii jf kama imekusanya wasio na uwezo kiasi hiki basi ni hatari sana !Kubenea hana tena credibility ya kuzungumzia ufisadi ....hiki kichaka cha upinzani kinatumika vibaya sana .....kutishiwa maisha ni kitu kibaya lakini wametengeneza mazingira ya kutoaminika hata kwenye issues za msingi ....
Simon Mkina amegeuka kuwa Kubenea kuanzia lini ?