Habar yako mkuu.
Samahani naomba kuja pm kuna jambo la privacy napenda kupata msaada wako
sawa, karibu bila kusita furaha yangu inatawaliwa na kusaidia watu
Habar yako mkuu.
Samahani naomba kuja pm kuna jambo la privacy napenda kupata msaada wako
Habari mkuu,,sawa, karibu bila kusita furaha yangu inatawaliwa na kusaidia watu
Maana mwajiri ametumia ujanja wake Hadi hiyo miezi 2 ambayo Ni siku 60 zimepita.sawa, karibu bila kusita furaha yangu inatawaliwa na kusaidia watu
Hapana hayapotei mkuu kuna kiapo tu kinatakiwa kwanin mlichelewa kufanya hivyo japo mkikutana na mediator aliyepitishiwa fungu itakuwa changamoto ila kuna kiapo tu kinahitajika na mambo yanaanza upya fresh tu labda kama kuwe na sababu zingine za kulitupa mbali ilo shauriHabari mkuu,,
Samahani mkuu Nina shida hapa ya kisheria naomba Sana unisaidie Kama hutojali,
Sheria ya kazi inasemaje kuhusiana na madai ya wafanyakazi ambao imepita miezi 2 ambazo Ni karibia siku 60 hawajaenda mahakamani kudai stahiki zao za malipo baada ya kukaa Muda mrefu hawajalipwa na mwajiri..????
Je wakienda mahakamani kushitaki watalipwa stahiki zao au ndo malipo hayo yamepotea hivyo...???
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Bado hana ujanja mkuu kinahitajika kiapo tu na kesi inafunguliwa maana hamna settlement yoyote iliyofanyika kati yenu kuonesha ilikuwa na lengo la kumaliza mgogoro wenu nje ya mahakama.Maana mwajiri ametumia ujanja wake Hadi hiyo miezi 2 ambayo Ni siku 60 zimepita.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu tupo wafanyakazi 50 tuliosimamishwa kazi mwezi wa tano na ili kupata hizo stahiki zetu Ni mtu mmojammoja atahitajika kwenda kufungua kesi yake mahakamani au wakienda wachache wanaweza kuwakilisha hao 50..???Bado hana ujanja mkuu kinahitajika kiapo tu na kesi inafunguliwa maana hamna settlement yoyote iliyofanyika kati yenu kuonesha ilikuwa na lengo la kumaliza mgogoro wenu nje ya mahakama.
Wewe jamaa una roho nzuri sana.Hapana hayapotei mkuu kuna kiapo tu kinatakiwa kwanin mlichelewa kufanya hivyo japo mkikutana na mediator aliyepitishiwa fungu itakuwa changamoto ila kuna kiapo tu kinahitajika na mambo yanaanza upya fresh tu labda kama kuwe na sababu zingine za kulitupa mbali ilo shauri
hapo mnatakiwa kwanza kuwa kitu kimoja maana kesi za group huwa dah zinashida sana kuna wengine wanaweza kuwazunguka ila kama wote lenu ni moja mnaenda kama mlivyo mnafungua shauri ila chagueni kama muawakilishi ila kuna kitu kinaitwa Schedule of claim yani kila mtu atainisha madai yake maana naamini hata mishahara yenu ipo tofauti mtalipwa tu ila kwa mbinde sana maana mahakamani napo kunakuwaga na vita za nje ya uwanja unaweza kukata tamaaMkuu tupo wafanyakazi 50 tuliosimamishwa kazi mwezi wa tano na ili kupata hizo stahiki zetu Ni mtu mmojammoja atahitajika kwenda kufungua kesi yake mahakamani au wakienda wachache wanaweza kuwakilisha hao 50..???
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
hapo mnatakiwa kwanza kuwa kitu kimoja maana kesi za group huwa dah zinashida sana kuna wengine wanaweza kuwazunguka ila kama wote lenu ni moja mnaenda kama mlivyo mnafungua shauri ila chagueni kama muawakilishi ila kuna kitu kinaitwa Schedule of claim yani kila mtu atainisha madai yake maana naamini hata mishahara yenu ipo tofauti mtalipwa tu ila kwa mbinde sana maana mahakamani napo kunakuwaga na vita za nje ya uwanja unaweza kukata tamaaMkuu tupo wafanyakazi 50 tuliosimamishwa kazi mwezi wa tano na ili kupata hizo stahiki zetu Ni mtu mmojammoja atahitajika kwenda kufungua kesi yake mahakamani au wakienda wachache wanaweza kuwakilisha hao 50..???
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa una roho nzuri sana.
Mungu akufanikishe ufike mbali ili usaidie wengi.
Asante mkuu tupo pamoja ni kugawana maarifa tu mim furaha yangu tu ni mtu kusema alipata ufumbuzi wa tatizo lake huwa najisikiaga raha sana
Mkuu Kama mmeachishwa kazi wafanyakazi 50 na ikatokea ndani ya siku 60 wakajitokeza wafanyakazi 10 tu ndo walioenda mahakamani hao 10 wanaweza lipwa madai yao wenyewe tofauti na wale waliochelewa kufungua kesi ya madai yao...????hapo mnatakiwa kwanza kuwa kitu kimoja maana kesi za group huwa dah zinashida sana kuna wengine wanaweza kuwazunguka ila kama wote lenu ni moja mnaenda kama mlivyo mnafungua shauri ila chagueni kama muawakilishi ila kuna kitu kinaitwa Schedule of claim yani kila mtu atainisha madai yake maana naamini hata mishahara yenu ipo tofauti mtalipwa tu ila kwa mbinde sana maana mahakamani napo kunakuwaga na vita za nje ya uwanja unaweza kukata tamaa
Mkuu Kama mmeachishwa kazi wafanyakazi 50 na ikatokea ndani ya siku 60 wakajitokeza wafanyakazi 10 tu ndo walioenda mahakamani hao 10 wanaweza lipwa madai yao wenyewe tofauti na wale waliochelewa kufungua kesi ya madai yao...????
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hata waajiriwa nao hawana uelewa sidhan kama kuna aliye omba akanyimwaMkuu,
Labda developed world....bongo sijui.....! Mimi nimeshabadilisha ajira kama mara tatu hivi tangia ni graduate, lakini hakuna hapa Employer mmoja aliye nikabidhi msahafu huu....nafikiri kwa sababu waajiri wengi hawapendi kufuata hizi sheria za kazi so sitashangaa kuona hawawapi copy waajiriwa wao!
Mkuu kuna mfanyakazi wa kampuni fulani aliwekwa kikao lengo ni kumpa Verbal Warning kwa misconducts alizo fanya.Hii inabidi kuwa nayo kwenye hali tete kama kule North Mara kwa sasa wanavyo punguza wafanyakazi kwa kisingizio cha GFC...huwezi jua wanatumia kigezo gani..wakati wanaacha expart 12 kwenye kitengo kimoja...
Wa nini..kwa kawaida Expart moja anatakiwa kuwa na watu wa chini yake 6 mpaka nane..sasa department ina wafanyakazi 30 Expart 12 wa nini?Harafu unataka punguza nationals..
Mkataba wa ajira, kama ilivyo desturi kwa mikataba mingine kwa mujibu wa sheria, huzaliwa, huishi