NSSF na Serikali hawaongei lugha moja.
Serikali inataka watu wajiajiri lakini NSSF inataka watu waendelee kuajiriwa mpaka wakifika miaka 55.
Kwa mtazamo wangu mtu alitakiwa apewe 30% ya michango yake kama kiinua mgongo kimuwezesha kujishughulisha mwenyewe bila kutegemea tena ajira wakati bado mtu ana nguvu lakini NSSF wao wanampa 33% ya mshahara wake kwa KISINGIZIO KWAMBA MTU HUYU atapata kazi ndani ya miezi 18 .
Serikali inataka watu wajiajiri lakini NSSF inataka watu waendelee kuajiriwa mpaka wakifika miaka 55.
Kwa mtazamo wangu mtu alitakiwa apewe 30% ya michango yake kama kiinua mgongo kimuwezesha kujishughulisha mwenyewe bila kutegemea tena ajira wakati bado mtu ana nguvu lakini NSSF wao wanampa 33% ya mshahara wake kwa KISINGIZIO KWAMBA MTU HUYU atapata kazi ndani ya miezi 18 .