Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa Mawaziri wa Afrika kuhusu Fedha na Jinsia

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,987
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF-Afritac East), utakaofanyika Jijini Dar es Salaam, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.

Wakizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Doroth Gwajima, wameeleza kuwa Mkutano huo unalenga kujadili kuhusu namna yakuwawezesha wanawake na wasichana kiuchumi na kijamii kupitia ufadhili wa usawa wa kijinsia.

PIX 1.jpg

Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu

Nchi zinazotarajiwa kushiriki Mkutano huo ni Tanzania, Burundi, Burkina Faso, Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo, Eritrea, Ethiopia, Guinea, Ivory coast, Nigeria, Senegal, Kenya, Liberia, Madagascar, Malawi, Msumbiji, Somalia, Afrika Kusini, Rwanda, Sudan ya Kusini, Zambia, Zimbabwe na Uganda.

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza na wanahabari kuhusu Mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF Afritac East), utakaofanyika jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.

PIX 5.jpg

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza na wanahabari kuhusu Mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF Afritac East), utakaofanyika jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.

PIX 4.jpg

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Wanawake (UN Women), Bi. Hodan Addou, akizungumza wakati wa Mkutano na wanahabari kuhusu Mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF Afritac East), utakaofanyika jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.
Walisema kuwa Mawaziri hao watajadili namna bora ya kushughulikia athari za mapungufu ya kijinsia katika uchumi-jumla na kuchochea ufadhili wa masuala ya usawa wa kijinsia na uwezeshaji wanawake ili kufikia malengo ya maendeleo endelevu (SDGs).

“Mkutano wa Mawaziri utaangazia hatua iliyofikiwa kwenye utekelezaji wa ahadi zilizowekwa na Jukwaa la Usawa wa Kijinsia, athari za uchumi jumla katika usawa wa kijinsia na jukumu la upangaji bajeti unaozingatia jinsia” Alisema Dkt. Nchemba.

Walisema kuwa matokeo yanayotegemewa kwenye mkutano huo wa ngazi ya juu wa Mawaziri ni uwepo wa vipaumbele vya kuharakisha usawa wa kijinsia na uwezeshaji wanawake na ahadi ya kugharamia utekelezaji kutoka kwa washiriki wa Mkutano huo.

Naye, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Doroth Gwajima, amesema kuwa ujio wa Mkutano huo unaakisi maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambayo inataka mipango ya nchi iendane na mizania ya usawa wa kijinsia.

PIX 2.jpg

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Doroth Gwajima (Mb), akizungumza na wanahabari kuhusu Mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF Afritac East), utakaofanyika jijini Dar es Salaam, katika Ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.

PIX 3.jpg

Mkurugenzi wa IMF - Afritac East, Xiangming LI, akizungumza wakati wa Mkutano na wanahabari kuhusu Mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF Afritac East), utakaofanyika jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.
Kwa upande wao, Mkurugenzi wa IMF Afritac East, Bi. Xiangming LI na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja la Wanawake (UN-Women), Bi. Hodan Addou, wameeleza kuwa mchango wa wanawake katika uchumi na maendeleo ya kijamii barani Afrika.
 
Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF Afritac East),

Usawa wa kijinsia katika fursa mbalimbali na kuhakikisha kuwa sera za nchi zinazingatia fursa kwa wote, sababu kina mama wanasahauliwa katika kushirikishwa ngazi za kuamua mipango gani endelevu SGDs inatakiwa na walengwa wanaotizamwa kufaidika na fursa ni kina nani hasa.

High-Level Generation Equality Africa Regional Meeting on Financing for Gender Equality​


Date: Friday, 10 November 2023

Social card for the High-level Meeting on Financing for Gender Equality


Dar es Salaam, November 15, 2023 – On Wednesday, November 15, 2023, the Government of the United Republic of Tanzania, in collaboration with UN Women and IMF AFRITAC East, will convene a High-Level Meeting on Financing for Gender Equality, bringing together Ministers of Finance and Gender from 22 countries across Sub-Saharan Africa.

The gathering underscores Tanzania's leadership in the Generation Equality initiative, aimed at accelerating investments and implementation for gender equality worldwide.
Progress towards the SDGs, including SDG 5, is lagging. Current data indicates that in Sub-Saharan Africa, gender disparities in income, food security, and access to essential opportunities, among other areas, continue to hinder the advancement of women and girls.

These disparities are not only constraining women’s and girls’ potential, but are impeding economic growth and other development outcomes.

The High-Level Dialogue on Financing Gender Equality serves to reaffirm commitments and accelerate efforts, emphasizing the need for significant investments to achieve gender equality, with a focus on strategies to ensure that public expenditures and other financing mechanisms align with the needs and priorities of women.

Key Speakers:
  • Hon. President Samia Suluhu Hassan of the United Republic of Tanzania
  • Dr. Mwigulu Nchemba Minister of Finance, Tanzania
  • Dr. Dorothy Gwajima, Minister MCDGWSG, Tanzania
  • Antoinette Sayeh, Deputy Managing Director of the IMF (video message)
  • Maria-Noel Vaeza, Generation Equality Project Executive and Senior Advisor to the Executive Director, UN Women
  • Maxime Houinato, UN Women Regional Director for Eastern and Southern Africa & West and Central Africa ai
Countries Participating:
Ministers of Finance and Gender from 22 countries will participate in the event, as well as technical specialists from the respective ministries.
The countries to be represented include: Tanzania, Burundi, Ethiopia, Ivory Coast, Malawi, Namibia, Rwanda, Sierra Leone, Somalia, Madagascar, Senegal, Eritrea, South Africa, South Sudan, Uganda, Zambia, Democratic Republic of Congo, Tchad, Kenya, Liberia, Nigeria and Zimbabwe.
Note to journalists:
A virtual link to the event will be provided by November 14, 2023.
Interviews can be arranged with the following UN Women and IMF experts:
  • Dr. Maxime Houinato, UN Women Regional Director for Eastern and Southern Africa & West and Central Africa ai
  • Maria-Noel Vaeza, Generation Equality Project Executive and Senior Advisor to the Executive Director
  • Hodan Addou, UN Women Tanzania Representative
  • Ms. Lilian Mwamdanga, UN Women Tanzania Programme Specialist for Women’s Economic Empowerment
  • Dr, Xiangming Li, Director, IMF Africa Regional Technical Assistance Center (AFRITAC) East
  • Dr. Monique Newiak, Deputy Unit Chief, Strategy, Policy and Review Department, IMF
Source : High-Level Generation Equality Africa Regional Meeting on Financing for Gender Equality
 
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF-Afritac East), utakaofanyika Jijini Dar es Salaam, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.

Wakizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Doroth Gwajima, wameeleza kuwa Mkutano huo unalenga kujadili kuhusu namna yakuwawezesha wanawake na wasichana kiuchumi na kijamii kupitia ufadhili wa usawa wa kijinsia.

View attachment 2812708
Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu

Nchi zinazotarajiwa kushiriki Mkutano huo ni Tanzania, Burundi, Burkina Faso, Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo, Eritrea, Ethiopia, Guinea, Ivory coast, Nigeria, Senegal, Kenya, Liberia, Madagascar, Malawi, Msumbiji, Somalia, Afrika Kusini, Rwanda, Sudan ya Kusini, Zambia, Zimbabwe na Uganda.

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza na wanahabari kuhusu Mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF Afritac East), utakaofanyika jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.

View attachment 2812711
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza na wanahabari kuhusu Mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF Afritac East), utakaofanyika jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.

View attachment 2812712
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Wanawake (UN Women), Bi. Hodan Addou, akizungumza wakati wa Mkutano na wanahabari kuhusu Mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF Afritac East), utakaofanyika jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.
Walisema kuwa Mawaziri hao watajadili namna bora ya kushughulikia athari za mapungufu ya kijinsia katika uchumi-jumla na kuchochea ufadhili wa masuala ya usawa wa kijinsia na uwezeshaji wanawake ili kufikia malengo ya maendeleo endelevu (SDGs).

“Mkutano wa Mawaziri utaangazia hatua iliyofikiwa kwenye utekelezaji wa ahadi zilizowekwa na Jukwaa la Usawa wa Kijinsia, athari za uchumi jumla katika usawa wa kijinsia na jukumu la upangaji bajeti unaozingatia jinsia” Alisema Dkt. Nchemba.

Walisema kuwa matokeo yanayotegemewa kwenye mkutano huo wa ngazi ya juu wa Mawaziri ni uwepo wa vipaumbele vya kuharakisha usawa wa kijinsia na uwezeshaji wanawake na ahadi ya kugharamia utekelezaji kutoka kwa washiriki wa Mkutano huo.

Naye, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Doroth Gwajima, amesema kuwa ujio wa Mkutano huo unaakisi maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambayo inataka mipango ya nchi iendane na mizania ya usawa wa kijinsia.

View attachment 2812713
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Doroth Gwajima (Mb), akizungumza na wanahabari kuhusu Mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF Afritac East), utakaofanyika jijini Dar es Salaam, katika Ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.

View attachment 2812719
Mkurugenzi wa IMF - Afritac East, Xiangming LI, akizungumza wakati wa Mkutano na wanahabari kuhusu Mkutano wa Mawaziri wa Afrika wanaohusika na Masuala ya Fedha na Jinsia kutoka nchi 22 wanachama wa Jukwaa la Usawa wa Kijinsia (UN Women) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF Afritac East), utakaofanyika jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Hoteli ya Johari Rotana, kuanzia tarehe 15 hadi 17, Novemba, 2023.
Kwa upande wao, Mkurugenzi wa IMF Afritac East, Bi. Xiangming LI na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja la Wanawake (UN-Women), Bi. Hodan Addou, wameeleza kuwa mchango wa wanawake katika uchumi na maendeleo ya kijamii barani Afrika.
Diplomasia ya Uchumi ya Mama hiyo, mikutano Bongo haikatiki Kwa Sasa.

WB watakuwa na Mkutano mwingine Zanzibar mwezi disemba ambapo Rais wa Benki ya Dunia Ajay Banga atakuwepo.
 
Back
Top Bottom