Tanzania kupeleka vikosi vyake vya kijeshi Msumbiji

It might be true, kwani vita hivi vinahitaji pesa na Tanzania ilijikita mno kuisaidia Msumbiji kwenye vita vya kupigania uhuru,lakini baada ya Uhuru ikaingia tena Mozambique kupigania Frelimo dhidi ya Renamo,wanajeshi wetu kwa maelfu walipigana tena kwa kipindi kirefu.
Mwisho wa siku Tanzania haifadiki na lolote toka Mozambique .
Lakini pia serikali ya Mozambique ni corrupt ipo huko Maputo lakini huko kaskazini mwa nchi kama Cape del Gardo hakuna kitu pamesahaulika.
Nakubali mkuu Kama Ni resources za nchi hii kutumika kwny Vita vya nchi nyingine zimetumika Sana tu.

Wataalamu wa mambo ya kiusalama wanasema njia za kivita sio long term solution kwa Hilo eneo la del gardo Ila hii operation ya kijeshi ikimalizika inabidi serikali ya Msumbiji iangalie namna ya kusaidia Hilo eneo kuondokana na umaskini uliopitiliza hii inaweza kua solution ya kudumu.
 
Jeshi la Rwanda liko Msumbiji kwa makubaliano mahususi kati yake na Mocambique yenye lengo la kulisaidia jeshi la Mocabique ambalo kwa muda sasa lilikuwa likipambana kulikomboa eneo la uwekezaji wa visima vya gesi lililotekwa na hicho kikundi cha kigaidi. Operesheni ya nchi hizo mbili ambayo ina mandate ya mapigano kamili ilianza na kukamilika kama taarifa zilivyotolewa na kamanda wa Rwanda. Matokeo yake ni kukombolewa kwa Mocimboa da Praia,Palma na Cabo Delgado.

Eneo hilo ndio lina visima vya gesi na uwekezaji mkubwa wa kampuni ya Total ya ufaransa. Ufaransa kwa kulinda maslahi yake ndio mlipaji wa gharama za kulikomboa na kulilinda eneo lake la uwekezaji. SADC wanakuja kivyao na watakuwa na mandate nyingine tofauti ambayo ni kuwatambua magaidi ndani ya jamii na ndio maana wanahamasisha wananchi wasianze kuyakimbia makazi yao.

Kuna mbinu nyingi tu zinaendelea kimya kimya hazisemwi hadharani ila mitego ya SADC inafanya kazi muda wote... Rejea wito wa Joachim Chissano hivi karibuni utaelewa tu nini kinaendelea. Rwanda/Mocambique wamefanya majukumu yao na kuyakamilisha, kama wamefanikiwa bila kupata hasara kubwa kwa sababu magaidi waliamua kulala mbele yote.... heri tu maana lengo limekamilika Rwanda wana haki ya kujisifia. Ila ifahamike tu kuwa nasi tuko huko kama kawaida yetu hatujisifu ila kazi inaendelea huko.
 
Unaweza kujionyesha Ni wapi nimeandika Chief wa majeshi ya Rwanda hakuja Upanga?

S/Africa,Mozambique,Botswana ziko huko,Zimbabwe inatuma kikosi cha kufanya training huko, Lesotho imetuma wanajeshi huko lkn mpk Sasa vikosi hivyo vya sadc havijafanya operation sehemu yoyote ile,sehemu zote ambazo zimekombolewa hapo Msumbiji(Mocimboa da Praia/Palma/Cabo Delgado) ni majeshi ya Rwanda na Mozambique tu ndio yamefanya operation.

OP hizo Zina Phase 2,Phase ya 1 Kwanza Ni kukomboa maeneo yaliyoshikiliwa ambayo hii imefanikiwa,Phase ya 2 Ni kwenda kuwasaka magaidi huko porini walikokimbilia ambako Ni maeneo yaitwao Mbao.

Nakupa task ndogo tu Niambie majeshi ya Sadc yamekomboa maeneo gani?
Babu ile vita sio movie,TZ kivita tuko kivingine kabisa kwenye utoaji habari,hao wavaa kobazi huko msumbiji walifika tu baada ya kilichowakuta kule amboni tanga na kibiti,na hizo operation zilifanyika hapa kwetu na hakuna kilichotangazwa,halafu ndio maana nikakuambia za vijiwe vya kahawa yan zimdollar wanatuma watu wakafanye training ndani ya uwanja wa vita!ndio nakusikia wewe mkuu hiyo!!
 
Please angalia na hapa au ni show off
JamiiForums1943292804.jpg
 
Jeshi la Rwanda liko Msumbiji kwa makubaliano mahususi kati yake na Mocambique yenye lengo la kulisaidia jeshi la Mocabique ambalo kwa muda sasa lilikuwa likipambana kulikomboa eneo la uwekezaji wa visima vya gesi lililotekwa na hicho kikundi cha kigaidi. Operesheni ya nchi hizo mbili ambayo ina mandate ya mapigano kamili ilianza na kukamilika kama taarifa zilivyotolewa na kamanda wa Rwanda. Matokeo yake ni kukombolewa kwa Mocimboa da Praia,Palma na Cabo Delgado.

Eneo hilo ndio lina visima vya gesi na uwekezaji mkubwa wa kampuni ya Total ya ufaransa. Ufaransa kwa kulinda maslahi yake ndio mlipaji wa gharama za kulikomboa na kulilinda eneo lake la uwekezaji. SADC wanakuja kivyao na watakuwa na mandate nyingine tofauti ambayo ni kuwatambua magaidi ndani ya jamii na ndio maana wanahamasisha wananchi wasianze kuyakimbia makazi yao.

Kuna mbinu nyingi tu zinaendelea kimya kimya hazisemwi hadharani ila mitego ya SADC inafanya kazi muda wote... Rejea wito wa Joachim Chissano hivi karibuni utaelewa tu nini kinaendelea. Rwanda/Mocambique wamefanya majukumu yao na kuyakamilisha, kama wamefanikiwa bila kupata hasara kubwa kwa sababu magaidi waliamua kulala mbele yote.... heri tu maana lengo limekamilika Rwanda wana haki ya kujisifia. Ila ifahamike tu kuwa nasi tuko huko kama kawaida yetu hatujisifu ila kazi inaendelea huko.
Kuna mkuu wa kuitwa wa kupuliza anawafunga fix watu humu eti majeshi ya SADC kule yamekaa tu hayajishughulishi na lolote,angeona zana alizoingia nazo msouth huko msumbiji sijui angesemaje!
 
Rwanda jeshi la show off,JWTZ iko msumbiji zaidi ya mwezi sasa,na kwenye mipaka yetu na msumbiji huko ndio kuko full hamna kima atakaevuka border kibwege bwege
Yaan ingekuwa jw wako shallow, hao magaid wangekuwa washapiga mtwara hapo au hata kilambo mpakani. Kutoka vita ilipokuwa mpaka pemba ni kilometer 400 na kutoka vita ilipo mpka mtwara hazizid km 200 kwa barabara ila kwa boti ni masaa mawili uko mocimbou, sasa kama jw wako week imekuwaje waweze kudhibiti wasipenye tena tanzania wakati ni karibu sana na kuliko hata mkoani.
 
Unaweza kujionyesha Ni wapi nimeandika Chief wa majeshi ya Rwanda hakuja Upanga?

S/Africa,Mozambique,Botswana ziko huko,Zimbabwe inatuma kikosi cha kufanya training huko, Lesotho imetuma wanajeshi huko lkn mpk Sasa vikosi hivyo vya sadc havijafanya operation sehemu yoyote ile,sehemu zote ambazo zimekombolewa hapo Msumbiji(Mocimboa da Praia/Palma/Cabo Delgado) ni majeshi ya Rwanda na Mozambique tu ndio yamefanya operation.

OP hizo Zina Phase 2,Phase ya 1 Kwanza Ni kukomboa maeneo yaliyoshikiliwa ambayo hii imefanikiwa,Phase ya 2 Ni kwenda kuwasaka magaidi huko porini walikokimbilia ambako Ni maeneo yaitwao Mbao.

Nakupa task ndogo tu Niambie majeshi ya Sadc yamekomboa maeneo gani?


Angalia tarehe ya cdf wa rwanda alipokua TZ then tafuta siku ya jeshi la rwanda lilipoenda msumbiji,hao wameenda msumbiji kwa baraka zetu,JWTZ jeshi lenye heshima yake ukanda huu ila wabongo mnataka hata operesheni za kuua sisimizi zitupiwe mitandao,kaa kwa kujua kichapo heavy kinaendelea huko
 
Mbona JeWi walishawasafocate hawa magaidi kitambo sana. Magaidi wanakufa kwa njaa na wanaokotwa kama kumbikumbi kila wakibuka kutoka kwenye vichuguu walipojificha maporini.
 
Nakubali mkuu Kama Ni resources za nchi hii kutumika kwny Vita vya nchi nyingine zimetumika Sana tu.

Wataalamu wa mambo ya kiusalama wanasema njia za kivita sio long term solution kwa Hilo eneo la del gardo Ila hii operation ya kijeshi ikimalizika inabidi serikali ya Msumbiji iangalie namna ya kusaidia Hilo eneo kuondokana na umaskini uliopitiliza hii inaweza kua solution ya kudumu.
Mkuu hawa watawala wa Msumbiji wapo wapo tu,wameendekeza rushwa,na wamesahau kabisa yale maeneo ya kaskazini mwao.
Wamekuja kuchimba gesi iliopo huku kaskazini tu.
 
Kama Wananchi wa eneo hilo wangeanzisha Rebellion kwa kudai haki zao msingi katika Rasilimali yao nadhani huu mgogoro ungesuluhishwa kidiplomasia ila kwa wao kuruhusu Magaidi waingie na kudai kuwa Msumbiji iwe Taifa la Kiislamu wamepoteza malengo.
Magaidi wamechukuwa advantage ya hao watawala kupuuza eneo hilo la kaskazini kwa mida mrefu.
Hao watawala wameruhusu uchimbaji wa gesi katika maeneo hayo,bila kuzingatia maslahi mapana ya eneo hilo.
 
Back
Top Bottom