Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,008
Hivi mtu amewahi kujiuliza silaha zinawafikiaje "waasi"... who are the gun runners of East Africa?
Nchi ya Rwanda imekuwa ikidaiwa kuhusika sana na machafuko ya DRC na kuwa vyanzo mbalimbali (hasa vya Umoja wa Mataifa na nchi za Magharibi) vinaonesha kuwa Rwanda ndio inaunga mkono na kusapoti kundi la waasi la M23. Je, Tanzania ina msimamo gani kuhusu Rwanda na kuhusija kwake na mgogoro wa Congo? Je wakati umefika kwa Tanzania kuchukua msimamo mkali ikiwemo kuzuia Rwanda kutumia bandari zetu kupitisha silaha ambazo nyingine zinaishia mikononi mwa waasi?
Jambo moja lipo wazi,Tanzania,Kenya,Msumbiji,South Africa,Namibiana Angola wakikataa kupitisha silaha zinazoenda kwa nchi zinazosemekana zinasaidia rebels waasi wote wanaosumbua Drc wangedhoofika ma wangedhibitiwa. Sioni inashindikana nini!
Unataka kuivunja jumuiya ya Afrika Mashariki? Mbona huisemi Uganda ambayo nayo imeshutumiwa na ikatishia kujitoa Somalia?
Hivi mtu amewahi kujiuliza silaha zinawafikiaje "waasi"... who are the gun runners of East Africa?
Kwani Laura Nkunda alikuwa na''genuine reasons'' zipi?Mhnnn...,
Mzee hata anga za kimataifa humo. Find out kama Tanzania haipo kinshansa kumlinda Kabila, find out kama Tanzania haisapoti kijeshi the DRC. all in all before Tanzania gets there, rebels might have genuine reasons. Wasikurupuke kama Membe alivyofanya -Libya case.
hayo ni maswali na wewe unaweza kuongezea tu... siwezi kufikiria kila scenario ya kumridhisha kila mtu, kila wakati...na kwa kila kitu. Ndio maana ya kuwa na mijadala.