Tanzania iruhusu watu binafsi kujenga nyumba za kuhifadhia maiti (Mortuary rooms)

Kwa kweli hata mimi watu wanavyokua negative na kuipondea ndo nazidi kuwa excited kuifuatilia zaidi.
Risk takers na wafanyabiashara wakubwa wanajua kuwa idea ya biashara ambayo kila mtu anaipinga hiyo ndo ya kuifanya, na the opposite is also true.
Kumbe hiyo kitu inaruhusiwa nchini na kuna miongozo kabisa ya vitu gani vya kuzingatia, na ni mamlaka zipi zinatoa kibali. Naendelea kufuatilia zaidi na zaidi.
Mkuu, ukweli ni kwamba hata kwa hali ya sasa hivi tu mochwari zilizopo mahospitalini hazitoshi kabisa kulingana na uhitaji mkubwa uliopo. Hii kitu kama nikitengeneza mjini Dar hapa, inaweza ku take off vizuri tuu. Wacha niendelee kujifunza zaidi.
Itahitaji ununue nyumba chief maana sidhani kama mtu atakua tayari akupangishie nyumba yake uifanye mortuary.
 
Hizi ndo zinakuaje mkuu?
Nadhani kuna nyuzi joto maalum ambazo maiti anahifadhiwa,siku hizi teknolojia imekua hapo Magomeni kuna wataalam wa kutengeneza kila aina ya cooling/cold sytem unayohitji. Sio lazima kuagiza China,lakini pia miji mingi sana haina mortuary zenye vyumba baridi. Hii biashara sio lazima kufanyia dar tu hata mikoani,wilayani mtu akifanya utafiti anapiga hela .
 
Hii ni fursa kubwa tu, zipo fursa mbili naona if you have money unaweza kufanya.
1. Mortuary
2. Cremation.

Unaweza kudhani wahindi wanaochomana wanakosea lakini it's a very good idea. Ukienda pale makumbusho, costs za kuchoma mwili ni shilingi 2,500,000. Imagine kama unafungua yako kwa 2,000,000 or less, inalipa.
 
Kwa nchi ambayo asilimia kubwa wananchi hawana bima utapata hasara Hadi ukome.

Asilimia kubwa watu wanakufa wakiwa na madeni Hadi migogoro na hospital inatokea. Bora watu wenye bima malipo utakata juu kwa juu.

Sasa wewe fungua tuje kukulalia.
Hata huko utakorofishana TU na HIF
 
Kwa kweli hata mimi watu wanavyokua negative na kuipondea ndo nazidi kuwa excited kuifuatilia zaidi.
Risk takers na wafanyabiashara wakubwa wanajua kuwa idea ya biashara ambayo kila mtu anaipinga hiyo ndo ya kuifanya, na the opposite is also true.
Kumbe hiyo kitu inaruhusiwa nchini na kuna miongozo kabisa ya vitu gani vya kuzingatia, na ni mamlaka zipi zinatoa kibali. Naendelea kufuatilia zaidi na zaidi.
Mkuu, ukweli ni kwamba hata kwa hali ya sasa hivi tu mochwari zilizopo mahospitalini hazitoshi kabisa kulingana na uhitaji mkubwa uliopo. Hii kitu kama nikitengeneza mjini Dar hapa, inaweza ku take off vizuri tuu. Wacha niendelee kujifunza zaidi.


 
Itahitaji ununue nyumba chief maana sidhani kama mtu atakua tayari akupangishie nyumba yake uifanye mortuary.
Yeah, naona that is a logic assumption ukizingatia negativity ambayo imeonekana kwenye huu uzi kuhusiana na hii idea.
 
Watu watachezea maiti za watu ikiwemo kiba viungo
Hapana mkuu, hii ni regulated area kabisa na kuna mamlaka ambazo zinakagua na kufuatilia ufanyaji kazi wake. Ni sawa na hospitali za binafsi, kwa hiyo huwezi ku assume tu kuwa hilo litatokea.
 
Nadhani kuna nyuzi joto maalum ambazo maiti anahifadhiwa,siku hizi teknolojia imekua hapo Magomeni kuna wataalam wa kutengeneza kila aina ya cooling/cold sytem unayohitji. Sio lazima kuagiza China,lakini pia miji mingi sana haina mortuary zenye vyumba baridi. Hii biashara sio lazima kufanyia dar tu hata mikoani,wilayani mtu akifanya utafiti anapiga hela .
Yes mkuu uko sahihi kabisa nakubaliana na wewe!
 
Hii ni fursa kubwa tu, zipo fursa mbili naona if you have money unaweza kufanya.
1. Mortuary
2. Cremation.

Unaweza kudhani wahindi wanaochomana wanakosea lakini it's a very good idea. Ukienda pale makumbusho, costs za kuchoma mwili ni shilingi 2,500,000. Imagine kama unafungua yako kwa 2,000,000 or less, inalipa.
Very true mkuu. Ila naona watu wanaogopa sana hii idea.
Hadi wengine wananiona katili kwa kufikiria idea ya hivi. Daahhhh!!
 
ni uzubaifu tu sio kwamba kunasheria inakataza, ilimradi tu kuzingatia viwango na masharti ya wizara ya Afya.
Kweli kabisa mkuu.... Na wizara ya afya naona wana muongozo kabisa wa standards za kujenga kotu cha hivyo inatakiwa iweje, uwe na wataalamu gani, vibali, etc.
Ila tu naona watu wako negative sana aisee!
 
Mbona zipo mkuu? Pale Himo Moshi ipo na inafanya kazi vizuri tu
Ok mkuu.
Mmiliki ni nani?
Pia ni mortuary tu au ni hospitali kabisa ambayo ina mortuary? Pia inaitwaje?
Nitafuatilia niweze kufika hapo nijifunze mawili matatu kuhusu hii idea.
 
Ok mkuu.
Mmiliki ni nani?
Pia ni mortuary tu au ni hospitali kabisa ambayo ina mortuary? Pia inaitwaje?
Nitafuatilia niweze kufika hapo nijifunze mawili matatu kuhusu hii idea.
Ni mortuary tu hamna hospital. Simjui mmliki lakini ipo na inatumika sana. Ni mji mdogo wa Himo ukishavuka daraja la mto Wona
 
Very true mkuu. Ila naona watu wanaogopa sana hii idea.
Hadi wengine wananiona katili kwa kufikiria idea ya hivi. Daahhhh!!
Fuatilia, kama una mtaji wekeza coz itakulipa tu. Unakuwa na full package, yaani funeral home services na mortuary so mtu akileta mpendwa wake inakuwa one stop center... kila kitu anapata hapo.
 
Back
Top Bottom