Mtu kufia hospitali haimaanishi kuwa ni lazima kwamba mwili wake uhifadhiwe hapo. Bado mnaweza kufanya taratibu mkaondoka na mwili na kisha kwenda kuuhifadhi kwenye a private mortuary kama mkitaka hivyo. Ila pia mkuu, kuna watu wengi tu wanafia kwenye hospitali/vituo vya afya ambavyo havina mortuary, hii pia huwa inatokea. Au mtu anafia hospitali yenye mortuary ila mnaambiwa kwa wakati huo imejaa, kwa hiyo mnaambiwa mchukue mwili labda muuepeleka mortuary ya Muhimbili au mortuary ya hospitali nyingine yoyote kubwa. Hapa sasa pia mnaweza kuamua kuupeleka mwili private mortuary.shida ipo mtu kafia hospital mnamuamisha kwenda private mortuary
Duuhhh...!! Ukiritimba wa ajabu kabisa aisee!!Profesa Shaba ali import vifaa kabisa nadhani mpaka leo 30 years later bado viko bandarini.
Alipata upinzani na ukiritimba mkubwa sana kutoka serikali pendwa.
Okaay.Zipo kuna sehem ilikuwepo wakahamia sehem flan hiyo nyumba hadi leo haipati wapangaji tetesi ni imeuzwa tena ilikua karibu na kituo kikubwa cha radio...
Ilikua ni mortuary na Pia wanafanya maandalizi ya msiba nk
Watu wanakufa kila siku mkuu. Na ni jambo lisilo na shaka kwamba binadamu wote tutakufa.Hio biashara siku hizi hailipi, maisha magumu watu wamegoma kufa.
apa nimekuelewaMtu kufia hospitali haimaanishi kuwa ni lazima kwamba mwili wake uhifadhiwe hapo. Bado mnaweza kufanya taratibu mkaondoka na mwili na kisha kwenda kuuhifadhi kwenye a private mortuary kama mkitaka hivyo. Ila pia mkuu, kuna watu wengi tu wanafia kwenye hospitali/vituo vya afya ambavyo havina mortuary, hii pia huwa inatokea. Au mtu anafia hospitali yenye mortuary ila mnaambiwa kwa wakati huo imejaa, kwa hiyo mnaambiwa mchukue mwili labda muuepeleka mortuary ya Muhimbili au mortuary ya hospitali nyingine yoyote kubwa. Hapa sasa pia mnaweza kuamua kuupeleka mwili private mortuary.
Changamoto ambayo naiona itabidi kupambana nayo ni namna ya kuitangaza au kuifanya ijulikane... Maana kwa response niliyoiona hapa inaonekana Watanzania wengi wako so negative about this. Ila, mtu akianzisha na akapata namna tu ambayo ikafanya ikajulikana (mfano kwa kuestablish links na hospitali/vituo vya afya binafsi ambavyo havina mortuary, au kuingia mkataba nazo kwamba ikitokea mgonjwa amefariki, basi wanamleta kumhifadhi hapo kwako then wao wanapata percent fulani na wewe unapata percent fulani kulingana na makubaliano mtakayofikia, etc), kutusua ni rahisi.
Kwa nini mkuu? Mbona ni huduma tu mkuu kama huduma zingine? Wote tutakufa, hilo wala si jambo la shaka.
Ni kama huduma ya wanaotengeneza na kuuza majeneza tu mkuu. Wanasaidia jamii (wahitaji), na pia wanapata namna ya kuendesha maisha yao. Kwa nini watu wengi mmekua na uoga sana juu ya hii huduma?
Unaogopa kifo? wote tutakufa mkuu.mada ina ukakasi ku discuss....napita tuu..
Mwanzoni watu walikuwa wanaogopa kukatiza sehemu ya kuuzia majeneza. Ila sasa hivi imekuwa ni kawaida na si ajabu siku zijazo tukaona wamachinga wakitembeza majeneza mitaani.Hahahahaha!
Ila ni huduma muhimu mkuu. Watazoea tu at some point.
Si kama wauza majeneza?
Sidhani kama sheria haziruhusu, no WaTz wenyewe tu na uzito wetu wa kuchangamkia fursa.Wadau hivi Bongo ukiachana na Mortuary zilizopo ndani ya hospitali, Mbona hakuna Mortuary ambazo Mtu/Kampuni zinamiliki private? i.e high class/ VIP mortuary?
Mfano kwa wenzetu Kenya, hii fursa watu wameitumia kweli kweli na kuna private mortuaries nyingi tu watu wamezitengeneza, na wengi wanazitumia huduma hizo pale wanapofikwa na janga la msiba kwenye familia zao.
Kwa shida ya upungufu na ubora hafifu wa vyumba vya mortuary kwa hospitali nyingi ninayoiona kwenye hospitali nyingi za bongo, hii inaweza kuwa biashara nzuri tu bongo na ikalipa vizuri tu, kama watu wenye uwezo wakiwekeza huko.
Ni watu hawajaiona hiyo fursa au wabongo hawataweza kuzilipia?
Au taratibu zetu za kisheria haziruhusu? Kama sheria zetu haziruhusu, zifanyiwe marekebisho ziruhusu hilo, ni fursa nzuri sana. Watu watapata pesa na serikali itapata kodi.
Mkuu tuanzishe funeral home yetu tutapiga hela balaaHaitishi mkuu. Ni huduma inayohitajika, ukizingatia kuwa hospitali zetu kwa kweli hazikidhi mahitaji ya huduma hiyo kwa ubora na wingi. Kenya iko regulated vizuri, na inafanya vyema tu.
Cheki hapa chini kwenye link, moja ya kampuni inayotoa huduma ya private mortuary Kenya huko. Very lucrative!
Home - Montezuma Monalisa Funeral Home Ltd
montezumamonalisa.com
Hakuna kazi au biashara isiyotaka moyo mkuuDah hapana.
Kuchimba makaburi,kutengeneza masanduku na hyo unayosema
Inataka moyo
Ndo naendelea na utafiti aisee.... Tuungane kama vipi tupige pesa aiseeMkuu tuanzishe funeral home yetu tutapiga hela balaa
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
ndo nimegundua pia, kumbe haikatazwi na miongozo ipo kabisa. Ila pia inahitaji investiment kubwaSidhani kama sheria haziruhusu, no WaTz wenyewe tu na uzito wetu wa kuchangamkia fursa.
Hahahahahaha....!! Watu waoga sana mkuu. Wakati kufa ni jambo la hakika kwa kila mwanadamuWatu wanavyo ogopa utasema mada imeanzishwa na malaika mtoa roho hahaha
Halafu mkuu nimecheki hapa mtandaoni mbona hata sio expensive kihivyo? Naona bei zake hazijafika huko ulikosema wewe mkuu..... Au labda zina kodi kubwa sana? Ila no way zitafika huko. Nimecheki mfano la kabati 6 ni kama dola 2,000 ambayo ni around 5milion hivi (maximum). Cheki hizi screenshots. penaduUnajua bei ya zile jokofu za 4 in one? Si chini ya 50,000,000 kaka
Fungu la10 tena duh hatariNilishawahi kumshauri mtu nimwandikie business plan ya biashara hii akaogopa ila ni biashara nzuri na kwa sasa inalipa sana kwa siku maiti ya mtu mmoja inalala kwa 30,000/- nje ya huduma nyingine hivyo ukiwa na 4 friji inayoweza kuhifandhi maiti tatu kila moja utahifadhi miili 12 zaidi ya mtu mwenye vyumba 10 vya guest unachofanya ni kutoa fungu la kumi ili ilinde biashara yako.
Sahihi kbxaYaani hata niwe BILIONEA siwezi KUJENGA monchwari