Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,858
- 7,847
- Thread starter
- #61
Uko sawa kabisa mkuu!!Mwanzoni watu walikuwa wanaogopa kukatiza sehemu ya kuuzia majeneza. Ila sasa hivi imekuwa ni kawaida na si ajabu siku zijazo tukaona wamachinga wakitembeza majeneza mitaani.