Wazo: Serikali iruhusu watu binafsi wajenge barabara za mitaani

Keynez

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
2,397
3,884
Natambua juhudi zinazofanywa na serikali katika kuboresha barabara zetu. Najua ni jukumu linalogharimu fedha nyingi sana.

Wazo langu la leo ni kuangalia jinsi gani tunaweza kuipunguzia mzigo huu serikali bila kuingia katika madeni yoyote. Huku ninapoishi niko kandokando ya barabara kubwa na kuna majumba yanayoonyesha wakazi wake ni watu wenye uwezo fulani ila cha kushangaza gharama kubwa zinatumika mara kwa mara kuikwangua tu na si kuiweka katika kiwango cha lami.

Wazo langu linasema, kwa nini serikali isiweke utaratibu ili mtu, kikundi cha watu au makampuni binafsi watakaotaka kujitolea kujenga barabara yoyote, waruhusiwe kufanya hivyo huku wakifuata taratibu zote ikiwemo za kutumia makampuni ya ujenzi yanayotambulika. Baada ya hapo, barabara hiyo ipewe jina atakalopendekeza huyo mtu/kikundi cha watu/kampuni labda kwa muda fulani, mfano kwa miaka 20. Kuwe pia na utaratibu maalumu unaoeleweka ili majina ya ajabuajabu yasije kuanza kutumika katika barabara hizo.

Tunaweza hata kuweka nyongeza ya unafuu fulani ya kodi kwa wale watakaotaka kufanya hivyo kwa sababu jina tu linaweza lisitoshe kuvutia wengi.

Kitu ambacho serikali inaweza kufanya kusukuma hili wazo ni kuzitambua barabara na mitaa ambayo ni kipaumbele na kutoa hiyo orodha katika tangazo rasmi. Kampeni kubwa ifanyike kwa matangazo ya televisheni, mabango, nk. ili makampuni na watu binafsi watambue fursa hii.

Wazo hili litasaidia sana kuharakisha ujenzi wa barabara hizi ambazo ki ukweli kuisubiri serikali itachukua muda mrefu sana.

Nawasilisha.
 
Natambua juhudi zinazofanywa na serikali katika kuboresha barabara zetu. Najua ni jukumu linalogharimu fedha nyingi sana.

Wazo langu la leo ni kuangalia jinsi gani tunaweza kuipunguzia mzigo huu serikali bila kuingia katika madeni yoyote. Huku ninapoishi niko kandokando ya barabara kubwa na kuna majumba yanayoonyesha wakazi wake ni watu wenye uwezo fulani ila cha kushangaza gharama kubwa zinatumika mara kwa mara kuikwangua tu na si kuiweka katika kiwango cha lami.

Wazo langu linasema, kwa nini serikali isiweke utaratibu ili mtu, kikundi cha watu au makampuni binafsi watakaotaka kujitolea kujenga barabara yoyote, waruhusiwe kufanya hivyo huku wakifuata taratibu zote ikiwemo za kutumia makampuni ya ujenzi yanayotambulika. Baada ya hapo, barabara hiyo ipewe jina atakalopendekeza huyo mtu/kikundi cha watu/kampuni labda kwa muda fulani, mfano kwa miaka 20. Kuwe pia na utaratibu maalumu unaoeleweka ili majina ya ajabuajabu yasije kuanza kutumika katika barabara hizo.

Tunaweza hata kuweka nyongeza ya unafuu fulani ya kodi kwa wale watakaotaka kufanya hivyo kwa sababu jina tu linaweza lisitoshe kuvutia wengi.

Kitu ambacho serikali inaweza kufanya kusukuma hili wazo ni kuzitambua barabara na mitaa ambayo ni kipaumbele na kutoa hiyo orodha katika tangazo rasmi. Kampeni kubwa ifanyike kwa matangazo ya televisheni, mabango, nk. ili makampuni na watu binafsi watambue fursa hii.

Wazo hili litasaidia sana kuharakisha ujenzi wa barabara hizi ambazo ki ukweli kuisubiri serikali itachukua muda mrefu sana.

Nawasilisha.
Thubutu uone
 
Natambua juhudi zinazofanywa na serikali katika kuboresha barabara zetu. Najua ni jukumu linalogharimu fedha nyingi sana.

Wazo langu la leo ni kuangalia jinsi gani tunaweza kuipunguzia mzigo huu serikali bila kuingia katika madeni yoyote. Huku ninapoishi niko kandokando ya barabara kubwa na kuna majumba yanayoonyesha wakazi wake ni watu wenye uwezo fulani ila cha kushangaza gharama kubwa zinatumika mara kwa mara kuikwangua tu na si kuiweka katika kiwango cha lami.

Wazo langu linasema, kwa nini serikali isiweke utaratibu ili mtu, kikundi cha watu au makampuni binafsi watakaotaka kujitolea kujenga barabara yoyote, waruhusiwe kufanya hivyo huku wakifuata taratibu zote ikiwemo za kutumia makampuni ya ujenzi yanayotambulika. Baada ya hapo, barabara hiyo ipewe jina atakalopendekeza huyo mtu/kikundi cha watu/kampuni labda kwa muda fulani, mfano kwa miaka 20. Kuwe pia na utaratibu maalumu unaoeleweka ili majina ya ajabuajabu yasije kuanza kutumika katika barabara hizo.

Tunaweza hata kuweka nyongeza ya unafuu fulani ya kodi kwa wale watakaotaka kufanya hivyo kwa sababu jina tu linaweza lisitoshe kuvutia wengi.

Kitu ambacho serikali inaweza kufanya kusukuma hili wazo ni kuzitambua barabara na mitaa ambayo ni kipaumbele na kutoa hiyo orodha katika tangazo rasmi. Kampeni kubwa ifanyike kwa matangazo ya televisheni, mabango, nk. ili makampuni na watu binafsi watambue fursa hii.

Wazo hili litasaidia sana kuharakisha ujenzi wa barabara hizi ambazo ki ukweli kuisubiri serikali itachukua muda mrefu sana.

Nawasilisha.
Wazo zuri Ndugu

Katika Nchi zilizoendelea Sana
Kwa kulinganishanisha kidogo na wazo lako, Serikali hushirikiana na Sekta Binafsi wanajenga barabara za kulipia, kwa miaka kadhaa ili hiyo Kampuni Binafsi irejeshe gharama zake..

Baada ya hapo Barabara inakuwa ya Umma yaani bure...au wenye magar wanachajiwa ¼ au ½ ya Bei ya awali

Barabara hiz za kulipia NIMEZIONA NYINGI SANA India zikiunganisha miji mbalimbali
 
Sijui Sera zasemaje ila kuna tajiri mmoja anamiliki hotel alitaka apige lami km kilometer moja hivi toka main road kwa gharama zake,aliambiwa asifanye hivo bali atoe hela wao ndo waweke lami,akaona miyeyusho akaacha
 
Sijajua ila huenda ulizuiliwa/mlizuiliwa kujenga hizo barabara. Ila kama kuna mtu au kundi la watu wanaotaka kutengeneza barabara hawawezi hata siku moja kuzuiwa cha msingi wafate ushauri kutoka kwa wataalamu. Kwa ufupi ndo ipo hivyo
 
Natambua juhudi zinazofanywa na serikali katika kuboresha barabara zetu. Najua ni jukumu linalogharimu fedha nyingi sana.

Wazo langu la leo ni kuangalia jinsi gani tunaweza kuipunguzia mzigo huu serikali bila kuingia katika madeni yoyote. Huku ninapoishi niko kandokando ya barabara kubwa na kuna majumba yanayoonyesha wakazi wake ni watu wenye uwezo fulani ila cha kushangaza gharama kubwa zinatumika mara kwa mara kuikwangua tu na si kuiweka katika kiwango cha lami.

Wazo langu linasema, kwa nini serikali isiweke utaratibu ili mtu, kikundi cha watu au makampuni binafsi watakaotaka kujitolea kujenga barabara yoyote, waruhusiwe kufanya hivyo huku wakifuata taratibu zote ikiwemo za kutumia makampuni ya ujenzi yanayotambulika. Baada ya hapo, barabara hiyo ipewe jina atakalopendekeza huyo mtu/kikundi cha watu/kampuni labda kwa muda fulani, mfano kwa miaka 20. Kuwe pia na utaratibu maalumu unaoeleweka ili majina ya ajabuajabu yasije kuanza kutumika katika barabara hizo.

Tunaweza hata kuweka nyongeza ya unafuu fulani ya kodi kwa wale watakaotaka kufanya hivyo kwa sababu jina tu linaweza lisitoshe kuvutia wengi.

Kitu ambacho serikali inaweza kufanya kusukuma hili wazo ni kuzitambua barabara na mitaa ambayo ni kipaumbele na kutoa hiyo orodha katika tangazo rasmi. Kampeni kubwa ifanyike kwa matangazo ya televisheni, mabango, nk. ili makampuni na watu binafsi watambue fursa hii.

Wazo hili litasaidia sana kuharakisha ujenzi wa barabara hizi ambazo ki ukweli kuisubiri serikali itachukua muda mrefu sana.

Nawasilisha.
Mkuu ni wazo zuri na la kuendeleza PPP(Public ,Private Partnership).

Nami nimelifikiria hili muda mrefu.
Wabunge wapitishe sheria, barabara ikijengwa na kampuni binafsi lazimaniwepo Road Toll kwa muda wa miaka 10 ili kulipia gharama.
Hili linawezekana
 
Sijui Sera zasemaje ila kuna tajiri mmoja anamiliki hotel alitaka apige lami km kilometer moja hivi toka main road kwa gharama zake,aliambiwa asifanye hivo bali atoe hela wao ndo waweke lami,akaona miyeyusho akaacha
Inamaana sasa hivi hapa mtaani kwetu tukisema tuchangishane ikapatikana hela ya kuweka lami kwenye barabara yetu..sheria inatuzuia? Kama ni hivyo hiyo sheria itenguliwe haraka sana
 
Hata mm nikiwa kiongozi siwezi ruhusu mtu binafsi ajenge bara bara yake, hii itapunguza nguvu za serikali
 
Hata mm nikiwa kiongozi siwezi ruhusu mtu binafsi ajenge bara bara yake, hii itapunguza nguvu za serikali
Shithole continent
Ndio Serikali huwa kwa ajili ya watawala

Inasikitisha sana comrade

Serikali ipo kwa ajili ya watu
Sio watu kwa ajili ya Serikali
 
Back
Top Bottom