Tanzania ina waandishi /wanahabari wengi wa "hovyo" wasiojitambua kabisa!

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Dec 10, 2016
1,651
5,126
Nimefuatilia mahojiano ya Profesa Anna Tibaijuka na Kituo cha Wasafi kuhusu sakata la mkataba wa ki.pu.mbavu ambao Nchi yetu imeingia na Dubai hivi karibuni!

Mahojiano hayo yaliongozwa na Edo Kumwembe na mtu anayejiita Oscar!

Hao wanahabari nawashauri waendelee na mambo ya mpira na mambo mengine ya hovyo hovyo wanayoyaweza na si vinginevyo!

Hawakuwa na uwezo wa kumhoji mtu wa level ya Profesa Anne Tibaijuka!

Tatizo la Wabongo mtu akishakuwa na ujanja ujanja wa mjini na sauti kubwa basi tayari anajibatiza kuwa ni Mwanahabari!

Ona Wanahabari wa hovyo hovyo walivyojazana kwenye media za Tanzania!

Huwezi kufanya mahojiano sensitive na serious kama sakata la mkataba wa Bandari zetu halafu huna uelewa wowote wa Sheria wala Uchumi!

Imefika mahali Tanzania tujenge Mazingira tuwe na wanahabari waliobobea kwanza kwenye taaluma zingine!

Ona eti Oscar anampa Profesa Anna Tibaijuka mfano wa kwenye mpira!

Anauliza swali la kijinga eti kwani kuna ubaya gani kama mkataba unaeleza Tanzania lazima iijulishe Dubai kama kuna fursa kwenye Bandari zetu!

Hawa vi.laza hawajui kwamba kupitia hicho kipengele Dubai wamejipa haki ya " first right of refusal" na wame- diminish sovereignty yetu ya kujiamulia tunavyotaka kuhusu Bandari zetu au Kampuni, Nchi nyingine au mtu wa kufanya naye kazi kama Taifa!

Oscar na Edo Kumwembe endeleeni na mipira hamna vichwa vya kuchambua Sheria wala mambo ya Uchumi!

Ebu angalia hapo Kenya Wanahabari wanapomhoji Rais wao Dr. Ruto , utaona tofauti ya watu wanaojitambua na misukule!

Hapa wanahabari ni Baba Levo, Mwijaku, Maulidi Kitenge, Zembwela n.k!

Hongera sana Paschali Mayalla kwani kwa kumbukumbu zangu wewe ndo Mwandishi wa habari Tanzania uliyewahi kumuuliza Rais Hayati Magufuli swali lenye hadhi ya Urais pale ikulu!

Tanzania imejaa vijana na Viongozi wajinga wajinga sana!

Ngoja Mama aturudishe kwenye utumwa wa Mwarabu kwani hatuna akili ya kujiongoza!
 
Mfumo wetu wa kielimu unazalisha vihiyo what's do you expect?kipindi nchi Ina heshima na adabu,gazeti la Mfanyakazi lilikua linatoka only on Saturday's ilikua ikifika 10am lote lipo sold out!,eti unamhoji president KK masuala ya sikinde!,kabla ya kumpa hard questions hasa case ya Babu seya,matokeo ya chaguzi hapa nchini, nini legacy aliyoiachia nchi, why aliwaweka ndani masheikh wa uamusho, je ujenzi wa hekalu lake lipo above board?
 
Tanzania ukijuwa kupiga domo,kuchanganya maneno
Tayari we mtu wa media na itakuchukua

Ova
 
Oscar alimuweza sana yule Prof.

Sema ndio hivyo alitumia Taito kumzimisha kijana..

Hakuna cha maana alichoongea... Ni baseless accusations tu... Leta vifungu au fafanua... Ah nyie vijana kuweni wazalendo.. Pendeni Nchi yenu... Nilipenda Oscar alikuwa anatupia maswali ya kumfanya mama afunguke mapungufu ila akatumia uhuni wa kisomi kukwepa maswali chokonozi/elekezi..
 
Nimefuatilia mahojiano ya Profesa Anna Tibaijuka na Kituo cha Wasafi kuhusu sakata la mkataba wa ki.pu.mbavu ambao Nchi yetu imeingia na Dubai hivi karibuni!

Mahojiano hayo yaliongozwa na Edo Kumwembe na mtu anayejiita Oscar!

Hao wanahabari nawashauri waendelee na mambo ya mpira na mambo mengine ya hovyo hovyo wanayoyaweza na si vinginevyo!

Hawakuwa na uwezo wa kumhoji mtu wa level ya Profesa Anne Tibaijuka!

Tatizo la Wabongo mtu akishakuwa na ujanja ujanja wa mjini na sauti kubwa basi tayari anajibatiza kuwa ni Mwanahabari!

Ona Wanahabari wa hovyo hovyo walivyojazana kwenye media za Tanzania!

Huwezi kufanya mahojiano sensitive na serious kama sakata la mkataba wa Bandari zetu halafu huna uelewa wowote wa Sheria wala Uchumi!

Imefika mahali Tanzania tujenge Mazingira tuwe na wanahabari waliobobea kwanza kwenye taaluma zingine!

Ona eti Oscar anampa Profesa Anna Tibaijuka mfano wa kwenye mpira!

Anauliza swali la kijinga eti kwani kuna ubaya gani kama mkataba unaeleza Tanzania lazima iijulishe Dubai kama kuna fursa kwenye Bandari zetu!

Hawa vi.laza hawajui kwamba kupitia hicho kipengele Dubai wamejipa haki ya " first right of refusal" na wame- diminish sovereignty yetu ya kujiamulia tunavyotaka kuhusu Bandari zetu au Kampuni, Nchi nyingine au mtu wa kufanya naye kazi kama Taifa!

Oscar na Edo Kumwembe endeleeni na mipira hamna vichwa vya kuchambua Sheria wala mambo ya Uchumi!

Ebu angalia hapo Kenya Wanahabari wanapomhoji Rais wao Dr. Ruto , utaona tofauti ya watu wanaojitambua na misukule!

Hapa wanahabari ni Baba Levo, Mwijaku, Maulidi Kitenge, Zembwela n.k!

Hongera sana Paschali Mayalla kwani kwa kumbukumbu zangu wewe ndo Mwandishi wa habari Tanzania uliyewahi kumuuliza Rais Hayati Magufuli swali lenye hadhi ya Urais pale ikulu!

Tanzania imejaa vijana na Viongozi wajinga wajinga sana!

Ngoja Mama aturudishe kwenye utumwa wa Mwarabu kwani hatuna akili ya kujiongoza!

Itafika wakati itabidi kuwadharau
  1. Wanaokubali interview na watangazaji wajinga
  2. Wanaoitikia mialiko kwenye stesheni za kijinga
  3. Wanaoshiriki mijadala na chawa walionunuliwa
 
Nimefuatilia mahojiano ya Profesa Anna Tibaijuka na Kituo cha Wasafi kuhusu sakata la mkataba wa ki.pu.mbavu ambao Nchi yetu imeingia na Dubai hivi karibuni!

Mahojiano hayo yaliongozwa na Edo Kumwembe na mtu anayejiita Oscar!

Hao wanahabari nawashauri waendelee na mambo ya mpira na mambo mengine ya hovyo hovyo wanayoyaweza na si vinginevyo!

Hawakuwa na uwezo wa kumhoji mtu wa level ya Profesa Anne Tibaijuka!

Tatizo la Wabongo mtu akishakuwa na ujanja ujanja wa mjini na sauti kubwa basi tayari anajibatiza kuwa ni Mwanahabari!

Ona Wanahabari wa hovyo hovyo walivyojazana kwenye media za Tanzania!

Huwezi kufanya mahojiano sensitive na serious kama sakata la mkataba wa Bandari zetu halafu huna uelewa wowote wa Sheria wala Uchumi!

Imefika mahali Tanzania tujenge Mazingira tuwe na wanahabari waliobobea kwanza kwenye taaluma zingine!

Ona eti Oscar anampa Profesa Anna Tibaijuka mfano wa kwenye mpira!

Anauliza swali la kijinga eti kwani kuna ubaya gani kama mkataba unaeleza Tanzania lazima iijulishe Dubai kama kuna fursa kwenye Bandari zetu!

Hawa vi.laza hawajui kwamba kupitia hicho kipengele Dubai wamejipa haki ya " first right of refusal" na wame- diminish sovereignty yetu ya kujiamulia tunavyotaka kuhusu Bandari zetu au Kampuni, Nchi nyingine au mtu wa kufanya naye kazi kama Taifa!

Oscar na Edo Kumwembe endeleeni na mipira hamna vichwa vya kuchambua Sheria wala mambo ya Uchumi!

Ebu angalia hapo Kenya Wanahabari wanapomhoji Rais wao Dr. Ruto , utaona tofauti ya watu wanaojitambua na misukule!

Hapa wanahabari ni Baba Levo, Mwijaku, Maulidi Kitenge, Zembwela n.k!

Hongera sana Paschali Mayalla kwani kwa kumbukumbu zangu wewe ndo Mwandishi wa habari Tanzania uliyewahi kumuuliza Rais Hayati Magufuli swali lenye hadhi ya Urais pale ikulu!

Tanzania imejaa vijana na Viongozi wajinga wajinga sana!

Ngoja Mama aturudishe kwenye utumwa wa Mwarabu kwani hatuna akili ya kujiongoza!
WAANDISHI MAKANJANJA LAZIMA WAWE WA HOVYO
 
Nimefuatilia mahojiano ya Profesa Anna Tibaijuka na Kituo cha Wasafi kuhusu sakata la mkataba wa ki.pu.mbavu ambao Nchi yetu imeingia na Dubai hivi karibuni!

Mahojiano hayo yaliongozwa na Edo Kumwembe na mtu anayejiita Oscar!

Hao wanahabari nawashauri waendelee na mambo ya mpira na mambo mengine ya hovyo hovyo wanayoyaweza na si vinginevyo!

Hawakuwa na uwezo wa kumhoji mtu wa level ya Profesa Anne Tibaijuka!

Tatizo la Wabongo mtu akishakuwa na ujanja ujanja wa mjini na sauti kubwa basi tayari anajibatiza kuwa ni Mwanahabari!

Ona Wanahabari wa hovyo hovyo walivyojazana kwenye media za Tanzania!

Huwezi kufanya mahojiano sensitive na serious kama sakata la mkataba wa Bandari zetu halafu huna uelewa wowote wa Sheria wala Uchumi!

Imefika mahali Tanzania tujenge Mazingira tuwe na wanahabari waliobobea kwanza kwenye taaluma zingine!

Ona eti Oscar anampa Profesa Anna Tibaijuka mfano wa kwenye mpira!

Anauliza swali la kijinga eti kwani kuna ubaya gani kama mkataba unaeleza Tanzania lazima iijulishe Dubai kama kuna fursa kwenye Bandari zetu!

Hawa vi.laza hawajui kwamba kupitia hicho kipengele Dubai wamejipa haki ya " first right of refusal" na wame- diminish sovereignty yetu ya kujiamulia tunavyotaka kuhusu Bandari zetu au Kampuni, Nchi nyingine au mtu wa kufanya naye kazi kama Taifa!

Oscar na Edo Kumwembe endeleeni na mipira hamna vichwa vya kuchambua Sheria wala mambo ya Uchumi!

Ebu angalia hapo Kenya Wanahabari wanapomhoji Rais wao Dr. Ruto , utaona tofauti ya watu wanaojitambua na misukule!

Hapa wanahabari ni Baba Levo, Mwijaku, Maulidi Kitenge, Zembwela n.k!

Hongera sana Paschali Mayalla kwani kwa kumbukumbu zangu wewe ndo Mwandishi wa habari Tanzania uliyewahi kumuuliza Rais Hayati Magufuli swali lenye hadhi ya Urais pale ikulu!

Tanzania imejaa vijana na Viongozi wajinga wajinga sana!

Ngoja Mama aturudishe kwenye utumwa wa Mwarabu kwani hatuna akili ya kujiongoza!
Waandishi wa Tanzania ni aibu
 
Nimefuatilia mahojiano ya Profesa Anna Tibaijuka na Kituo cha Wasafi kuhusu sakata la mkataba wa ki.pu.mbavu ambao Nchi yetu imeingia na Dubai hivi karibuni!

Mahojiano hayo yaliongozwa na Edo Kumwembe na mtu anayejiita Oscar!

Hao wanahabari nawashauri waendelee na mambo ya mpira na mambo mengine ya hovyo hovyo wanayoyaweza na si vinginevyo!

Hawakuwa na uwezo wa kumhoji mtu wa level ya Profesa Anne Tibaijuka!

Tatizo la Wabongo mtu akishakuwa na ujanja ujanja wa mjini na sauti kubwa basi tayari anajibatiza kuwa ni Mwanahabari!

Ona Wanahabari wa hovyo hovyo walivyojazana kwenye media za Tanzania!

Huwezi kufanya mahojiano sensitive na serious kama sakata la mkataba wa Bandari zetu halafu huna uelewa wowote wa Sheria wala Uchumi!

Imefika mahali Tanzania tujenge Mazingira tuwe na wanahabari waliobobea kwanza kwenye taaluma zingine!

Ona eti Oscar anampa Profesa Anna Tibaijuka mfano wa kwenye mpira!

Anauliza swali la kijinga eti kwani kuna ubaya gani kama mkataba unaeleza Tanzania lazima iijulishe Dubai kama kuna fursa kwenye Bandari zetu!

Hawa vi.laza hawajui kwamba kupitia hicho kipengele Dubai wamejipa haki ya " first right of refusal" na wame- diminish sovereignty yetu ya kujiamulia tunavyotaka kuhusu Bandari zetu au Kampuni, Nchi nyingine au mtu wa kufanya naye kazi kama Taifa!

Oscar na Edo Kumwembe endeleeni na mipira hamna vichwa vya kuchambua Sheria wala mambo ya Uchumi!

Ebu angalia hapo Kenya Wanahabari wanapomhoji Rais wao Dr. Ruto , utaona tofauti ya watu wanaojitambua na misukule!

Hapa wanahabari ni Baba Levo, Mwijaku, Maulidi Kitenge, Zembwela n.k!

Hongera sana Paschali Mayalla kwani kwa kumbukumbu zangu wewe ndo Mwandishi wa habari Tanzania uliyewahi kumuuliza Rais Hayati Magufuli swali lenye hadhi ya Urais pale ikulu!

Tanzania imejaa vijana na Viongozi wajinga wajinga sana!

Ngoja Mama aturudishe kwenye utumwa wa Mwarabu kwani hatuna akili ya kujiongoza!
Katika tasnia iliyojaa cowards ni uandishi wa habari. Ni machawa walamba viatu wachumia tumbo wapokea vibahasha lakini kazi yao kuandika mabaya ya traffic.
 
Kwahiyo wewe Tibaijuka unamuona wa maana sana siyo

Huyo Fisadi ambae alishirik wiz wa Escrow had kupata mgao wa mabillion ya pesa za wanyonge ana kipi Cha maana.
 
Yeye profesa angekuwa na akili asingeenda wasafi TV..
Hajui wasafi TV ni entertainment TV?
Hazijui serious media?
Au aliogopa maswali ya kweli yangemvua nguo??
 
Kitu kinachofanya media industry ya tz kuwa na watu wakujipendekeza, kwa upande wa serikali ni teuzi mbalimbali zinazofanywa kutoka miongoni mwao.
 
Back
Top Bottom