Tanzania imezuia madereva wa Kenya kuingia nchini humo

Tony254

JF-Expert Member
May 11, 2017
16,017
16,427
Tanzania imeanzisha tena vita vya kiuchumi kama kawaida yao. Tanzania imezuia madereva wa Kenya kuingia nchini humo bila kutoa sababu zozote za kimsingi. Naona bado mnataka vita hamjatosheka. Mkimwaga mboga sisi tutamwaga ugali.

 
Kenya hovyo kabisa
Hata nikiongea na mkenya jua la saa sita bado nitammulika kwa kurunzi kali wongo na ujanjaujanja wa kitoto umewajaa
Hivi Ni nani alianzisha?
 
Kenya hovyo kabisa
Hata nikiongea na mkenya jua la saa sita bado nitammulika kwa kurunzi kali wongo na ujanjaujanja wa kitoto umewajaa
Hivi Ni nani alianzisha?
Nyinyi ndio mumeanzisha vita wiki hii na sisi tunajitayarisha kujibu mapigo.
 
Wanamchonganisha mama na wanataka sana akwame, wataanzisha kila aina ya chokochoko kote, juzi ameamrisha vyombo vya habari viachiwe huru, ila wamekaidi, kuna ripoti imetolewa ya CAG, duh madudu yaliyokuwepo Tanzania kipindi cha JPM jameni hehehe hawa watu wana nguvu kwa kweli. Sasa
 
Wanamchonganisha mama na wanataka sana akwame, wataanzisha kila aina ya chokochoko kote, juzi ameamrisha vyombo vya habari viachiwe huru, ila wamekaidi, kuna ripoti imetolewa ya CAG, duh madudu yaliyokuwepo Tanzania kipindi cha JPM jameni hehehe hawa watu wana nguvu kwa kweli. Sasa
Tuliwaambia uhusiano na Kenya utaendelea kuwa kama enzi za Magufuli kwa sababu ya ujinga wenu, ninyi mlikua mnajaribu kujipendekeza kwa mama Samia Suluhu kwamba amemchagua waziri wa mambo ya nje mwenye kujua diplomasia kwa hiyo mahusiano na Kenya yatakua mazuri, hahahaha, hahaha,.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania imeanzisha tena vita vya kiuchumi kama kawaida yao. Tanzania imezuia madereva wa Kenya kuingia nchini humo bila kutoa sababu zozote za kimsingi. Naona bado mnataka vita hamjatosheka. Mkimwaga mboga sisi tutamwaga ugali.

Hahahaha, mumesahau ule ujinga wenu mliofanya wa kuzuia mahindi kuingia Kenya eti kwa kisingizio kwamba yako na sumu bila hata kutujulisha?, mlitangazia dunia kwamba mahindi ya Tanzania na Uganda yana sumu jambo ambalo nchi zingine zikalazimika kuzuia mahindi yetu, hiyo haikuwa vita ya biashara?.

Ninyi wakenya lazima tuwaonyeshe kwamba sisi sio nchi ya kuichezea, tutawafundisha kwamba Tanzania ni taifa kubwa sana ukanda huu, kamwe hatuwezi kuwabembeleza. Tumezuia ili kulipiza kisasi kitendo chenu kile cha kijinga mlichotufanyia kuhusu mahindi yetu, endeleeni kulialia.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom