Kama ni kwa ajili ya usalama wa nchi na wananchi wake sina tatizo.
Ndugu zetu watanzania amkeni, yaani kuna mtu anadhani hii ni kwa ajili ya usalama wa nchi? Jifunze kwa watawala wa kihimla wa nchi za Arabuni na mashariki ya mbali. Watu wanaopenda usalama wa nchi wangewekeza hela hizo katika huduma za jamii kuliko kupoteza hela ya hayo mambo ya kijasusi.
Wakati miradi ya maji inashindwa kuendelea kwa kukosa hela, wao wanakimbilia mitambo ya kusikiliza simu na kukatiza matangazo ya radio!!!!!!!!!!!!!!!!!