The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,444
- 8,296
Hi great Thinkers.
Kwa utafiti wangu mdogo FM Radios za Tanzania zimejikita katika blabla kama ifuatavyo;
1. 40% ni matangazo ya biashara
2.30% ni habari za michezo
3. 20% ni Burudani.
4. 10% habari na elimu mbalimbali
Ndiyo maana kuwa Radio presenter Tanzania ni kazi rahisi kuliko kazi zote.
Usitegemee Taifa kuwa na watu wanaojielewa. Kutwa watu wanajadili Simba na Yanga.
Kwa utafiti wangu mdogo FM Radios za Tanzania zimejikita katika blabla kama ifuatavyo;
1. 40% ni matangazo ya biashara
2.30% ni habari za michezo
3. 20% ni Burudani.
4. 10% habari na elimu mbalimbali
Ndiyo maana kuwa Radio presenter Tanzania ni kazi rahisi kuliko kazi zote.
Usitegemee Taifa kuwa na watu wanaojielewa. Kutwa watu wanajadili Simba na Yanga.