Wewe endelea kuzungusha mikononakubaliana na wewe ila tuweke sheria ngumu za kuwabana viongozi wapunguze
wizi maana najua kuacha kabisa awawezi maana naona kama rushwa ni sera ndani ccm
Wewe endelea kuzungusha mikononakubaliana na wewe ila tuweke sheria ngumu za kuwabana viongozi wapunguze
wizi maana najua kuacha kabisa awawezi maana naona kama rushwa ni sera ndani ccm
Kama ni kweli basi safi sana
unaufahamu udikteta au unaandika tu? Unaandika ili kuhalalisha utegemezi? Assume MCC isingekuwepo? Je wote waliopiga hatua wamefika hapo kwa ajili ya MCC? Nitajie nchi zingine zinazofaidika na MCC ambazo zimepiga hatua kiasi kwamba tusikitike kwa kukosa hio package ya MCC.
Mkuu hapa unazungumzia export katika soko gani? la USA au global market?Jamani kwenye hii post nimegundua watu wengi uelewa wao ni mdogo sana hasa kwenye mabo ya uchumi na siasa.
1.kwa walewanaosema watu wafanye kazi na sio kuomba omba msaada ,naombeni ni waulize the end product ya kufanya kazi ni nini? maana kazi utazalisha ukizalisha kwa wingi ili upate kipato lazima uuze soko na kwa hao hao wanatoa hiyo mikopo-kumbuka kuna njia nyingi za kuzuia bidhaa yako isiuzike kwenye soko la dunia -maana hizo fedha watato subsidies kwa wakulima wao,haya mniambie hoyo GDP yetu itatoka wapi??
2.investment zote kubwa za madini,gasi na n.k zinahitaji technologia na ma expart , hivyo vyote hatuna na jua hizi investment ndizo zinazochagia kwenye pato la Taifa-na bado hazijaajiri watanzania wengi ndio maana unasikia pato la Taifa linakuwa lakini maisha yetu bado ni chini maana watanzania wengia hawajaajiriwa kwenye hizo sekata.sasa leo wakisema wajitoa hata kwenye uwekezaji tutafanya nini??
Jamani hamna anayependa misaada lakini hali yetu kama nchi bado tunahitaji tena sana ,huwezi ukaikataa misaada gafla athali zake ni kubwa sana kiuchumi,kijamii na kisiasa lazima tuweze kwanza kutengeneza mazingira ya kukikataa misaada,kwanza tuwe na tu import technologia ,tuanzishe viwanda vidogodogo,kutafuta allies wa kufanya nao biashara ambayo itakuwa equall
ndio raha ya lumumba mkiambiwa ukweli mnakuja na hoja za kipuuuzWewe endelea kuzungusha mikono
Hakuna hoja, and hoja haiwezi kuwa yenye nguvu hasa ya kuendekeza utegemezi, ila sishangai kwa sababu upande wenu ni waliberalindio raha ya lumumba mkiambiwa ukweli mnakuja na hoja za kipuuuz
Sasa hata MCC zikija viongozi watazila, bora watunyime tu wakae nazo maana hata zikija hatuzipati na bado tunakwekewa masharti. Bora nusu shari yani tuzikose tusiwe na mashartitukomae kufanya kufanya kazi wakati viongozi wanakua majizi au kuna sheria gani za kuwabana?
Mwambie avunje makubaliano waliyoyasign tokea zamani. Shida kubwa huwezi elewa iko sehemu gani. Makubaliano ya kimataifa hayavunjwi kirahisi. Tuna deni la zaidi ya Trillion 40 hivi wakisema tuzilipe leo utafanyaje? Development is a process mkuu muda wa kujitegemea utafika tu. Magufuli angekuwa na nia ya dhati angerudisha mikataba yote ya kinyonyaji bungeni, huwezi kupata 3% ya madini, 7 years ya gesi ni majaribio kwa wachina, IPTL azalishe asizalishe tumlipe..... ...mengi mkuu kukimbia hela za bure zaidi ya Trillion moja ni kuchelewesha kuunganisha mikoa huku wilaya hatujaanza kuzifikiria kuunganisha kwa lami.Makusanyo ya trillion moja kwa mwezi ni kidogo maana mishahara tu ni zaidi ya nusu ya trillion moja huku kuna mambo lukuki kuendesha nchi.Think bigNakubaliana na maneno ya Muheshimiwa Rais kua tusikubali misaada yenye masharti. Ila ni vizuri kama watayaweka hadharani hayo masharti yenyewe tujuwe ni kwa maslaha ya wafadhili au ya watanzania kama ni yetu jee serikali imeyahishimu au la na kwa faida ya nani.
Hakuna hoja, and hoja haiwezi kuwa yenye nguvu hasa ya kuendekeza utegemezi, ila sishangai kwa sababu upande wenu ni waliberali
Mkuu unasema hiyo $472M ni ndogo tena kila mwaka wanatoa unasema haijasaidia kitu. Sasa kama imetolewa lakini haijatusaidia kitu huoni kuikosa kabisa ndiyo itakuwa na madhara makubwa sana? maana itakuwa leakage kubwa kwenye budget yetu ya FY2016/17 na sijui tutafidia vipi?Misaada yenyewe midogo, sasa hiyo $472 million itasaidia nini! Kila mwaka wanatoa imesaidia nini hadi leo??