Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,168
Nimepitia comments zako, sijaona sehemu uliyoleta majibu zaidi ya hoja za utegemezi na kuamini MCC ndio baba yako
Nimekwambia ukweli nnaona umehamia kunishambulia badala ya kuchangia hoja iliyopo hapa,tufanye mim nimeshindwa kufikiri nje ya MCC hebu nisaidie ni namna gani tunaweza kuwaepuka hawa mabepari na tuka salia salama kiuchumi mkuu?