MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
Ieleweke kuwa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Milenia (MMC) inakaa kikao leo ili kuijadili Tanzania kama imetimiza masharti baada ya kuamua kutopigia kura mkataba unaopendekezwa kati ya MCC na Tanzania katika kikao cha mwezi desemba 2015 ikisubiri kutatuliwa kwa masuala ya kiutawala iliyoyatilia shaka na ambayo yanaweza kuipotezea Tanzania sifa ya kuweza kupata msaada wa MCC.
Siku moja kabla ya kikao cha MCC tumemsikia Rais Magufuli wakati akiwa kwenye Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT la Azania Front akisema,
Ninaamini maneno ya Rais Magufuli hakuyatoa kwa bahati mbaya siku moja kabla ya bodi ya MCC haijaanza kikao chake kuamua kama itoe msaada wa $472 million (Nearly Sh1 trillion).
Tunaambiwa serikali ina macho, masikio na mkono mrefu. Kwa kutumia nyenzo hizi, serikali inaweza kufahamu matokeo ya kikao cha MCC kabla ya official statement.
Maneno ya Rais Magufuli ni telltale sign kuwa tumenyimwa msaada wa fedha za MMC na maongezi yake kanisani ilikuwa ni kutuandaa kisaikologia!
Kunyimwa kwa msaada kutafungua mdahalo mpana kuhusu faida au hasara ya kunyimwa msaada. Nini kifanyike ili kuziba pengo la zaidi ya shilingi trillion 1 ambazo zilikuwa zinatakiwa zitumike katika ujenzi wa barabara na kusambaza umeme nchini.
Kuna wengine wanasema utegemezi wa misaada unapingana na dhana ya proverb inayosema, give a person a fish: you have fed the person for today. Teach a person to fish: you have fed the person for a lifetime.”
Tunatakiwa pia tukumbuke,there's no such thing as a free lunch in this world. Huu sio msaada per se bali ni manunuzi ya influence/power katika meza ya maamuzi ya nchi kwenye siasa, uchumi na kijamii!
Vile vile tukumbuke kuwa MCC=Symbion power!
Siku moja kabla ya kikao cha MCC tumemsikia Rais Magufuli wakati akiwa kwenye Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT la Azania Front akisema,
‘’Sisi Watanzania kwa umoja wetu kila mmoja katika eneo lake tukiamua kufanya kazi, Tanzania haitakuwa nchi masikini. Wala hatutahitaji misaada yoyote kutoka nje, wala hatutabembeleza misaada ya masharti tunayopewa. Tanzania ni nchi yenye neema, Tanzania ina kila kitu, Tanzania imependelewa, lakini tukisimama katika umoja wetu na kila mmoja akatimiza wajibu wake, Tanzania inaweza kuwa miongoni mwa nchi ambazo zitakuwa zinatoa misaada kwa nchi nyingine’’.
Ninaamini maneno ya Rais Magufuli hakuyatoa kwa bahati mbaya siku moja kabla ya bodi ya MCC haijaanza kikao chake kuamua kama itoe msaada wa $472 million (Nearly Sh1 trillion).
Tunaambiwa serikali ina macho, masikio na mkono mrefu. Kwa kutumia nyenzo hizi, serikali inaweza kufahamu matokeo ya kikao cha MCC kabla ya official statement.
Maneno ya Rais Magufuli ni telltale sign kuwa tumenyimwa msaada wa fedha za MMC na maongezi yake kanisani ilikuwa ni kutuandaa kisaikologia!
Kunyimwa kwa msaada kutafungua mdahalo mpana kuhusu faida au hasara ya kunyimwa msaada. Nini kifanyike ili kuziba pengo la zaidi ya shilingi trillion 1 ambazo zilikuwa zinatakiwa zitumike katika ujenzi wa barabara na kusambaza umeme nchini.
Kuna wengine wanasema utegemezi wa misaada unapingana na dhana ya proverb inayosema, give a person a fish: you have fed the person for today. Teach a person to fish: you have fed the person for a lifetime.”
Tunatakiwa pia tukumbuke,there's no such thing as a free lunch in this world. Huu sio msaada per se bali ni manunuzi ya influence/power katika meza ya maamuzi ya nchi kwenye siasa, uchumi na kijamii!
Vile vile tukumbuke kuwa MCC=Symbion power!