Tanzania imenyimwa msaada wa fedha za MCC?

Tanzania imenyimwa msaada wa fedha za MCC?

Magufuli aache kiburi, ajisalimishe aende Marekani akiwa amenyoosha mikono juu kama katuni wa kwenye konyagi, watampatia huo mpunga, kumbuka maskini hana haki. Yuko sahihi lakini aangalie maslahi mapana ya TAIFA, wanataka akajipendekeze awape gesi ya Ruvu. Baba Magu nenda tu MZEE wetu huenda wakikuona mpunga utatoka
 
Ieleweke kuwa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Milenia (MMC) inakaa kikao leo ili kuijadili Tanzania kama imetimiza masharti baada ya kuamua kutopigia kura mkataba unaopendekezwa kati ya MCC na Tanzania katika kikao cha mwezi desemba 2015 ikisubiri kutatuliwa kwa masuala ya kiutawala iliyoyatilia shaka na ambayo yanaweza kuipotezea Tanzania sifa ya kuweza kupata msaada wa MCC.

Siku moja kabla ya kikao cha MCC tumemsikia Rais Magufuli wakati akiwa kwenye Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT la Azania Front akisema,

Ninaamini maneno ya Rais Magufuli hakuyatoa kwa bahati mbaya siku moja kabla ya bodi ya MCC haijaanza kikao chake kuamua kama itoe msaada wa $472 million (Nearly Sh1 trillion).

Tunaambiwa serikali ina macho, masikio na mkono mrefu. Kwa kutumia nyenzo hizi, serikali inaweza kufahamu matokeo ya kikao cha MCC kabla ya official statement.

Maneno ya Rais Magufuli ni telltale sign kuwa tumenyimwa msaada wa fedha za MMC na maongezi yake kanisani ilikuwa ni kutuandaa kisaikologia!

Kunyimwa kwa msaada kutafungua mdahalo mpana kuhusu faida au hasara ya kunyimwa msaada. Nini kifanyike ili kuzipa pengo la zaidi ya shilingi trillion 1 ambazo zilikuwa zinatakiwa zitumike katika ujenzi wa barabara na kusambaza umeme nchini.

NI kweli tunaweza kujitegemea na kutohitaji misaada ambalo ni jambo zuri sana. Lakini sio ghfra namna hii na ni lazima kuwepo na transition period. Pesa za msaada hata mikopo, hakuna nchi iliyooendelea na haikupitia, kwa hiyo ni kujidanganya kwamba ghafra tutaiacha na mambo yakawa sawa tu. Na kwa nini yotehaya, kwa ajili ya Zanzibar watu milioni 1 wanasumbua watu milion 40!? it is totally unfairs kwa rais wa Tanzania. Rais atupe majibu ya msingi sio kurahisisha namna hii pamoja na kazi yake nzuri sana ya kupigana na UFISADI. Kwa nini watanzania zaidi ya mili 40 wapate tabu kwa ajili ya kuzuia democrasia ya sehemu ambayo isipo itwa nchi ni wilaya ya Sengerema tu?
 
Pesa izoo nimuhim sana kwetu nakama tutanyimwa tutegemee haliikuangum zaidi kwakua serekali inaweza ikapandisha kodi ktk baadhi ya bidhaa naapo ndipo mzigomkubwa utakapo tuelekea wanaanchi wachinii zaidii
 
Saa nyingine ni bora tunyimwe.
Hii misaada ndiyo inayo turudisha nyuma.
Tumepumbazwa na misaada.
Nakuunga mkono Mkuu!Nchi imeoza kila kona halafu tunatembeza bakuli kwa wahisani wakati huku nyumbani kila MTU anakwapua kwa kwenda mbele.Wafanyakazi serikalini walikuwa wakipishana angani utadhani nchini mwetu kuna moto unawaka(Membe) kwa kodi zetu.Tubanane hivihivi.
 
bora tuzikose kwa maana kwa tanzania hii najua tayari kuna wajanja wachache walishajiandaa kuzipiga ili kumalizia mahekalu yao sasa wacha waisome namba
 
Misaada yenyewe midogo, sasa hiyo $472 million itasaidia nini! Kila mwaka wanatoa imesaidia nini hadi leo??
Tatizo hiyo pesa miaka ya nyuma ilikuwa inapigwa sana ila kwa kipindi hiki cha JPM ingetufaa sana. Let's wait and hear
 
Misaada yenyewe midogo, sasa hiyo $472 million itasaidia nini! Kila mwaka wanatoa imesaidia nini hadi leo??
hela hiyo ndio makusanyo ya mwezi mzima mkuu, sio kidogo vile, after all ni kama zawadi, sio mkopo..umuhimu wa kuzifuata ni mkubwa bila shaka wanamtaka kule. Magu aache utani bana sisi kuwa donor country itachukua muda. pengine ataondoka kipindi chake dalili ikawa bado. Anyway, nyerere alikuwa anasaidia mahindi kule somalia, ethiopia wakati wa njaa. Ni jambo zuri mnapokuwa na rais ambaye ana maono kama ya kwetu. Tuombe wanasiasa wenzake wasimvuruge!
 
Bora Tukose tu wana sababu za Msingi hawa jamaaa Magufuli Na Cabinet yako umefika sasa wakati wa kupunguza Mishahara yenu hapo kinachofuata Mtatukandamiza Wafanyakazi Atukubari Atukubari
 
Kwenye hotuba ya "Mkwere" (Sina kumbukumbu nzuri ilikua kwenye ghafla gani, lakini ilikua ni moja ya hotuba zake za mwisho kabla ya kukiaga kiti...na-suggest ilikua ni hotuba ya maadhimisho ya kifo cha JK-Wa-Kwanza_Baba Wa Taifa hili)...former president huyo alisema, kua: "...kwa wanaodhani kua serikali hii imejaa ufisadi, nawaomba watafakari tena upya...kwa maana wiki mbili zilizopita kamati ya MMC imepitisha fungu la fedha kwa ajili ya Tanzania kwakua tulitimiza masharti na vigezo vya matumizi ya fungu tulilopewa awamu iliyopita..."
I am puzzled, 14 October 2015 Mkwere alisema tume-qualify kwa mgao Wa pesa za maendeleo ya millennia... na leo naambiwa kamati ya MMC imekaa tena kuijadili TZ, now which is actually which???!
 
Naombeni kuuliza swali ,Hivi Marekani inayotoa misaada kwa nchi nyingi duniani hivi yenyewe haidaiwi ???
 
Ieleweke kuwa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Milenia (MMC) inakaa kikao leo ili kuijadili Tanzania kama imetimiza masharti baada ya kuamua kutopigia kura mkataba unaopendekezwa kati ya MCC na Tanzania katika kikao cha mwezi desemba 2015 ikisubiri kutatuliwa kwa masuala ya kiutawala iliyoyatilia shaka na ambayo yanaweza kuipotezea Tanzania sifa ya kuweza kupata msaada wa MCC.

Siku moja kabla ya kikao cha MCC tumemsikia Rais Magufuli wakati akiwa kwenye Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT la Azania Front akisema,

Ninaamini maneno ya Rais Magufuli hakuyatoa kwa bahati mbaya siku moja kabla ya bodi ya MCC haijaanza kikao chake kuamua kama itoe msaada wa $472 million (Nearly Sh1 trillion).

Tunaambiwa serikali ina macho, masikio na mkono mrefu. Kwa kutumia nyenzo hizi, serikali inaweza kufahamu matokeo ya kikao cha MCC kabla ya official statement.

Maneno ya Rais Magufuli ni telltale sign kuwa tumenyimwa msaada wa fedha za MMC na maongezi yake kanisani ilikuwa ni kutuandaa kisaikologia!

Kunyimwa kwa msaada kutafungua mdahalo mpana kuhusu faida au hasara ya kunyimwa msaada. Nini kifanyike ili kuzipa pengo la zaidi ya shilingi trillion 1 ambazo zilikuwa zinatakiwa zitumike katika ujenzi wa barabara na kusambaza umeme nchini.
Ni bora Magufuli kanena.
Watu wasililie misaada huku hawafanyi mazi na kulipa kodi.
Hata katika familia, mke akijua wewe tegemezi kwa mtu fulani, ndia iko hatarini.

Hiyo pesa 1Trillion tunaweza kuxipata wenyewe ndani ya miezi sita.
Ni bora Magufuli bado akazitafuta hizo heka ndani ya bajeti yetu na mradi ufanyike ili kuwaonyesha wakubwa kuwa heka zao, ni zao wenyewe.
 
hela hiyo ndio makusanyo ya mwezi mzima mkuu, sio kidogo vile, after all ni kama zawadi, sio mkopo..umuhimu wa kuzifuata ni mkubwa bila shaka wanamtaka kule. Magu aache utani bana sisi kuwa donor country itachukua muda. pengine ataondoka kipindi chake dalili ikawa bado. Anyway, nyerere alikuwa anasaidia mahindi kule somalia, ethiopia wakati wa njaa. Ni jambo zuri mnapokuwa na rais ambaye ana maono kama ya kwetu. Tuombe wanasiasa wenzake wasimvuruge!
mkuu inawezekana, tatzo si msaada, ila ni hyo misaada ya mashart, watakwambia uruhusu mapenzi ya jinsia moja, au kuingiliwa ktk serikal, ki ukwel mm sipendi misaada,
 
Ieleweke kuwa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Milenia (MMC) inakaa kikao leo ili kuijadili Tanzania kama imetimiza masharti baada ya kuamua kutopigia kura mkataba unaopendekezwa kati ya MCC na Tanzania katika kikao cha mwezi desemba 2015 ikisubiri kutatuliwa kwa masuala ya kiutawala iliyoyatilia shaka na ambayo yanaweza kuipotezea Tanzania sifa ya kuweza kupata msaada wa MCC.

Siku moja kabla ya kikao cha MCC tumemsikia Rais Magufuli wakati akiwa kwenye Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT la Azania Front akisema,

Ninaamini maneno ya Rais Magufuli hakuyatoa kwa bahati mbaya siku moja kabla ya bodi ya MCC haijaanza kikao chake kuamua kama itoe msaada wa $472 million (Nearly Sh1 trillion).

Tunaambiwa serikali ina macho, masikio na mkono mrefu. Kwa kutumia nyenzo hizi, serikali inaweza kufahamu matokeo ya kikao cha MCC kabla ya official statement.

Maneno ya Rais Magufuli ni telltale sign kuwa tumenyimwa msaada wa fedha za MMC na maongezi yake kanisani ilikuwa ni kutuandaa kisaikologia!

Kunyimwa kwa msaada kutafungua mdahalo mpana kuhusu faida au hasara ya kunyimwa msaada. Nini kifanyike ili kuzipa pengo la zaidi ya shilingi trillion 1 ambazo zilikuwa zinatakiwa zitumike katika ujenzi wa barabara na kusambaza umeme nchini.
Nini kifanyike,ndo swali lako? Kweli wewe nawe kiazi, Rais ametoa jibu tena wewe mwenyewe umemnukuu kwamba amesema kila Mtanzania afanye kazi kwa bidii. Lakini unauliza tena tufanye nini. Piga kazi mkuu usitegemee vya kupewa kila siku,ukipewa sawa lakini isiwe ni utamaduni wa kutojishughulisha kila siku na kutegemea kupewa tu,vya ....vinaua. Tambua hilo.
 
Hii ni wake up call!watu walipe kodi na watu wafanye kazi kwa bidii .nchi nyingi waliweza kujitegemea kwanini tushidwe??
 
Wote mnao shabikia na kujiona vidume kumbukeni tunanunua/tunaagiza sana bidhaa mbali mbali kutoka nje ya nchi yetu kuliko tunavyo zalisha ,hawa jamaa(mbepari)wakiamua tule nyasi tutakula na tutanyoosha mikono juu mapema sana..Hatuna uchumi ulio imarika kiasi tugomee misaada kisa CCM itawale milele,kwa sababu kinachoonekana sababu kubwa ni hali ya Serikali kukandamiza haki za raia hususani kwa yaliyo tokea Zanzibar (ref tamko la nchi wahisani kutotambua Uchaguzi wa marudio Zanzibar) plus Ufisadi kwa namna unavyo shughulikiwa na viongozi wa Serikali.

Niseme tu wakiamua kutuwekea vikwazo kidogo tu tutarudi kule tulitoka ,mfano wakiamua nchi wahisani wasifanye biashara na Tanzania haya magari tunayo yatumia kwa usafiri yaki haribika vipuri tuta pata wapi?

......
 
Hii ni wake up call!watu walipe kodi na watu wafanye kazi kwa bidii .nchi nyingi waliweza kujitegemea kwanini tushidwe??
Ajira zipo Wana viwanda unaowasema wewe wewe una viwanda Na unaisi viwanda vitatengenezwa Mwaka Mmoja
 
Back
Top Bottom