Tanzania Iko Mashakani

Tanzania Iko Mashakani

I hate religious discussions. Mungu ni mmoja tu.

BTW dini zililetwa na waarabu na wazungu Kwa mashua na ndege.

Love is my religion.
 
I hate religious discussions. Mungu ni mmoja tu.

BTW dini zililetwa na waarabu na wazungu Kwa mashua na ndege.

Love is my religion.

Dini na Udini, jaribu kutofautisha.

Kuna mtu juu huko kaandika, NSSF kuna udini PPF hakuna udini, sababu? moja inaongozwa na Muislam moja inaongozwa na asiye Muislam.

Cha kushangaza, NSSF katika uongozi wa juu wapo pia Waislaam wachache kuliko wasio Waislaam ambao ni wengi zaidi. PPF hakuna Muislaam hata mmoja katika uongozi, labda mwaka huu. Lakini huko udini hakuna na hakuna aliyewahi kufunguwa nyuzi hapa kushutumu, lakini NSSF? majanga!

Hayakushangazi hayo?
 
tazama vizuri nimesema 'some people'
mfano wewe ni CHADEMA i am sure umewahi soma post za Yerricko Nyerere humu
akitukana waislam waziwazi...kuna post aliwahi sema humu Kikwete ndo Rais wa mwisho muislam
sijaona hata nyinyi CHADEMA wenzie mkilaani post hizo badala yake atajibiwa na wale wanaonekana ni kuwa
ni waislam...wakati kisiasa mtu akiwa wrong tunapaswa kumkataa wote regardless ya dini zetu..
Mkuu mimi sijawahi kusapoti thread yoyote ya udini humu humu , kwani mimi naamini ni vitu tunavikuza. Silipendi hili la udini kwasababu kuu tatu......
Mosi linatugawanya ili tutawaliwe , pili sijaona nanufaika vipi kwa kiongozi wa taasisi kuwa dini yangu zaidi ya kulinda maslahi yao na ya watawala, tatu mimi binafsi nimetoka familia yenye mchanganyiko wa waislam na wakristo( hii ipo mpaka kwenye level ya ndugu nilioshare nao same uterus, if you understand what I mean) sasa ukianza kuleta madhara nitakuwa katika hali gani?
Mimi siyo chadema ila napenda kusimamia palipo na haki na ukweli , hivyo nasapoti harakati za chadema kwasababu imeonesha uwezo wa kuitetemesha uungu wa CCM. I won't rest until ccm is gone mkuu , hapo ndiyo tutaweza kuwa na fursa linganifu.
 
FaizaFoxy ameona ni vema kujadili namna ubaguzi wa kidini unavyoshamiri na pengine utakavyotumaliza kama taifa.

Pengine maswali yawe: nini chanzo cha udini kwa wakati huu, nani anaufadhili na kwa faida zipi. Of course na maswali mengine muhimu. Hapo mjadala utashiba
 
Kweli kabisa huo udini ndiyo mada iliyopo, na mimi naamini, ukitajwa "udini" basi ni Uislam, na wakitajwa "wadini" basi bila shaka ni Waislaam.

Naomba nipinge katika hilo au nieleimishe na unioneshe ni nani "mdini" Tanzania hii zaidi ya Muislam.

Yes waislam ni wadini wakubwa.....wanachagua paka chakula mfano hawali nguraru huo ni udini pasee.
 
tazama vizuri nimesema 'some people'
mfano wewe ni CHADEMA i am sure umewahi soma post za Yerricko Nyerere humu
akitukana waislam waziwazi...kuna post aliwahi sema humu Kikwete ndo Rais wa mwisho muislam
sijaona hata nyinyi CHADEMA wenzie mkilaani post hizo badala yake atajibiwa na wale wanaonekana ni kuwa
ni waislam...wakati kisiasa mtu akiwa wrong tunapaswa kumkataa wote regardless ya dini zetu..
Mkuu mimi sijawahi kusapoti thread yoyote ya udini humu humu , kwani mimi naamini ni vitu tunavikuza. Silipendi hili la udini kwasababu kuu tatu......
Mosi linatugawanya ili tutawaliwe , pili sijaona nanufaika vipi kwa kiongozi wa taasisi kuwa dini yangu zaidi ya kulinda maslahi yao na ya watawala, tatu mimi binafsi nimetoka familia yenye mchanganyiko wa waislam na wakristo( hii ipo mpaka kwenye level ya ndugu nilioshare nao same uterus, if you understand what I mean) sasa ukianza kuleta madhara nitakuwa katika hali gani?
Mimi siyo chadema ila napenda kusimamia palipo na haki na ukweli , hivyo nasapoti harakati za chadema kwasababu imeonesha uwezo wa kuitetemesha uungu wa CCM. I won't rest until ccm is gone mkuu , hapo ndiyo tutaweza kuwa na fursa linganifu.
 
Naam, Tanzania iko mashakani.

Kwa nini?

Ni ukweli usiopingika, leo hii Tanzania tuko mashakani kama nchi.

Ukweli usemwe na ubaki kuwa ukweli.

Tanzania tuko mashakani kwa sababu moja tu. Udini.

Nini maana ya "udini", jibu ni sahali sana. Kwa hakika hakuna zaidi, hakuna asiye Muislaam ambae ni mdini. Udini ni Uislam na Wadini ni Waislaam.

Aje mmoja kupinga hilo.

Mengi tutayaongea wakati mjadala unaendelea na yatabainika.
FF napenda kukuhakikshia kuwa watanzania si wadini hata siku moja. Isipokuwa dini hutumiwa na baadhi ya watu katika kufanikisha malengo yao binafsi. Mimi ni mkristo lakini secondary nimesoma shule ya kiislamu 100%, hicho unachokisema hakipo kwa watanzania wa kawaida. Ni viongozi wapumbavu tu ndiyo wanaweza kutuingiza kwenye mazingira ya Udini.
 
Naam, Tanzania iko mashakani.

Kwa nini?

Ni ukweli usiopingika, leo hii Tanzania tuko mashakani kama nchi.

Ukweli usemwe na ubaki kuwa ukweli.

Tanzania tuko mashakani kwa sababu moja tu. Udini.

Nini maana ya "udini", jibu ni sahali sana. Kwa hakika hakuna zaidi, hakuna asiye Muislaam ambae ni mdini. Udini ni Uislam na Wadini ni Waislaam.

Aje mmoja kupinga hilo.

Mengi tutayaongea wakati mjadala unaendelea na yatabainika.

habari za Asubuhi shemeji yangu FaizaFoxy

Udini umeanzhishwa na Kikwete ndio anayeueneza kwa faida yake ya kisiasa, na wewe ndio unayetetea ujinga wake. Je wewe sio mdini shemeji?
 
Nchi inaongozwa kimaghumashi ile mbaya. Hebu fikiria rais anataka kutoa hotuba, mara Iptl wanaingia mahakamni, mara Tubaijuka anaingia press kukataa kujiuzulu yeye na Muhongo, mara Rais anasitisha hotuba.

Sijui maana ya dola ni nini. What is the meaning of this.
 
Yes waislam ni wadini wakubwa.....wanachagua paka chakula mfano hawali nguraru huo ni udini pasee.

Yes nguruwe kwetu sisi waislaim ni haraam na kuchagua chakula sio udini, mbona wewe huli panya au nyoka?

Hata baadhi ya wakiristo hawali nguruwe

 
Last edited by a moderator:
Yes nguruwe kwetu sisi waislaim ni haraam na kuchagua chakula sio udini, mbona wewe huli panya au nyoka?

Hata baadhi ya wakiristo hawali nguruwe



Dont take t personal was kidn....m a good muslim as wel.
 
Last edited by a moderator:
Yes waislam ni wadini wakubwa.....wanachagua paka chakula mfano hawali nguraru huo ni udini pasee.

Kwa hiyo kutokula nguruwe ni udini? Kwa hiyo kwa wewe unaekula nguruwe ndiyo kigezo chako cha kuwa si mdini?

Tutayaona na kusikia mengi sana kwenye hii nyuzi.
 
Tatizo watu wameshindwa kazi/majukumu yao wanataka waonewe huruma/sympathy! Sometimes nashangaa....mtu na akili zake anasema eti JK kuwa rais muislam ni shida..hivi kweli..ni waislam pekee waliomuingiza madarakani JK? Si alipigiwa kura na hao hao mnaowaita makafiri? Iweje leo kuulizwa/kuhojiwa utendaji wake watu mnakuja na hoja dhaifu ya dini yake?

Tunasema..hizi ngonjera hatutaki tena! Tumechoka....kila mtu ahukumiwe kwa matendo yake. Hayo mambo ya udini..ni diversion tuu za kukwepa hoja za msingi...mtu unapewa nafasi unakuwa fisadi utendaji wako ukihojiwa..eti naonewa kwa kuwa mimi ni dini fulani...tunasema...hatudanganyiki tena..viongozi wawajibike. Hizo sababu zenu za ujanja ujanja hatutaki tena. malizaneni huko huko makanisani na misikitini. TUNAHITAJI VIONGOZI WACHAPA KAZI, WAADILIFU NA WENYE VISION KUIPELEKA NCHI YETU NA WATU WAKE MBELE ZAIDI....
 
FF napenda kukuhakikshia kuwa watanzania si wadini hata siku moja. Isipokuwa dini hutumiwa na baadhi ya watu katika kufanikisha malengo yao binafsi. Mimi ni mkristo lakini secondary nimesoma shule ya kiislamu 100%, hicho unachokisema hakipo kwa watanzania wa kawaida. Ni viongozi wapumbavu tu ndiyo wanaweza kutuingiza kwenye mazingira ya Udini.

Al Alama Mohamed Said alikuwa anatuletea kisa hiki, ghafla nyuzi ikafungwa, pitia kidogo:

Wanajamvi,

Naweka hapa ushahidi mmoja jinsi udini unavyotishia kuangamiza taifa letu. Nimetoa ushahidi huu kutoka kitabu cha Prof. Hamza Mustafa Njozi, ''Muslims and the State in Tanzaia.'' Kitabu hiki kimechapwa mwaka 2010 na Dar es Salaam University Muslim Truesteeship (DUMT).

Prof. Njozi aliombwa na Waislam aandike kitabu kingine kuitahadharisha serikali kuhusu kansa hii ya udini nchini baada ya kitabu chake chenye maudhui kama haya, ''Mwembechai Killings... kupigwa marufuku na serikali.

Tusomeni kwa utulivu:

Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/598950-hatari-ya-udini-katika-jamii.html
 
Back
Top Bottom