Tanzania Iko Mashakani

Tanzania Iko Mashakani

Tatizo watu wameshindwa kazi/majukumu yao wanataka waonewe huruma/sympathy! Sometimes nashangaa....mtu na akili zake anasema eti JK kuwa rais muislam ni shida..hivi kweli..ni waislam pekee waliomuingiza madarakani JK? Si alipigiwa kura na hao hao mnaowaita makafiri? Iweje leo kuulizwa/kuhojiwa utendaji wake watu mnakuja na hoja dhaifu ya dini yake? Tunasema..hizi ngonjera hatutaki tena! Tumechoka....kila mtu ahukumiwe kwa matendo yake. Hayo mambo ya udini..ni diversion tuu za kukwepa hoja za msingi...mtu unapewa nafasi unakuwa fisadi utendaji wako ukihojiwa..eti naonewa kwa kuwa mimi ni dini fulani...tunasema...hatudanganyiki tena..viongozi wawajibike. Hizo sababu zenu za ujanja ujanja hatutaki tena. malizaneni huko huko makanisani na misikitini. TUNAHITAJI VIONGOZI WACHAPA KAZI, WAADILIFU NA WENYE VISION KUIPELEKA NCHI YETU NA WATU WAKE MBELE ZAIDI....

Msome Al Alama Mohamed Said :

Ndugu Msomaji,

Fuatilia hapa In Sha Allah tutajitahidi kuweka mambo yanayosibu nchi yetu toka tupate uhuru mwaka 1961...

Ninaandika kitabu kuhusu siasa za Tanzania na jinsi dini inavyotawala hisia za watawala walio madarakani. Katika sura moja ninaeleza namna Jakaya Mrisho Kikwete alivyoweza kufanya kampeni kwa miaka kumi na hatimae akaweza kuchaguliwa kuwa rais...lakini haikuwa kazi nyepesi kwa mara ya kwanza 1995 alipojaribu juhudi zake zilipata upinzani wa chinichini..

Nakuwekea hapa msomaji yale niliyoandika katika mswada wangu.

Nia ni kuangalia ni kweli Mwalimu Nyerere aliacha taifa lisilo na udini, lenye mshikamano wa kweli na umoja?:

''But before the conference Kikwete went on record to complain that the secretary of the party Dr. Lawrence Mtazama Gama, a Catholic, and hailing from the south like Mkapa was undermining his campaign on religious grounds. Nyerere who had earlier and eloquently promised him that he would take care of religious sentiments for Kikwete, was suddenly dead silent. For a time it seemed as if the party was to engulf into a religious crisis involving its own top leadership. Religion was a sensitive issue and CCM had always maintained that the party did not discriminate its members on religious grounds. The conflict between Kikwete and Gama was an embarrassment to the party. In a strange turn of reconciliation effort CCM issued a statement that Gama had apologised to Kikwete. It is a pity that Kikwete did not reveal what religious issue became the source of conflict that the party had Gama to apologise. The thought of Gama apologising to Kikwete was a humiliation to Gama not only because of his seniority but because of other factors...''

Hii ndiyo hali ilikuwapo wakati Kikwete na Mkapa wanaelekea Dodoma kwenye mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM itakaochagua mgombea wa CCM. Hapa Khalfan Mrisho Kikwete, Muislam alikuwa anakwenda kupambana na Benjamin William Mkapa Mkatoliki mfuasi wa kanisa lenye nguvu kupita kiasi Tanzania...

Fatilia ukarasa huu kwa mengine In Sha Allah...

''Mkapa was forced to pick his campaign committee from people outside the inner circle of the party. Two newspapers publishers were in his committee Damian Ruhinda and Jenerali Ulimwengu. The special NEC Conference convened to elect one CCM member to stand for presidential candidate elected Jakaya Mrisho Kikwete in the first round with Mkapa coming close second and Msuya was last. But since he had not commanded an absolute majority voting had to be repeated. There was tension in the conference hall as CCM delegates voted to choose between Kikwete and Mkapa. Christians were heard to whisper to each other that they should not again allow a Muslim to govern the country, never again they whispered to each other.

And when Mkapa won hymns were sung.''

Huu ndiyo ukweli wa siasa za Tanzania... dini haichezi mbali.

Lakini ili ndugu mfuatiliaji upate picha halisi ya nini kilikuwa kinafanyika nyuma ya pazia itabidi nimlete mgombea mwingine aliyekuwa mwanachama wa CCM...

Prof. Kighoma Abdallah Ali Malima...

''The difference between Prof. Malima and Kikwete was that, while Kikwete really believed that he was a serious candidate for Nyerere, Prof. Malima knew Kikwete was thrown into the race by the Christian lobby to block him. The rule of the game was to play a Muslim against a Muslim. But Kikwete was too naive to understand that. His background had not prepared him to understand the intricacies of the politics of Tanzania as it relates to dealing with Islam and Muslims. If he had taken some time to think long and hard he would have realised that if experienced people like Malecela, Msuya and Kolimba were not seen as fit to rule the country despite of their long service to the country which span more than three decades how possible could he supersede them and be a better candidate than those old guards?''

Marehemu Malima alikuwa akihadithia mkasa huu wa mkutano wa Dodoma wa kuwafanyia usaili wagombea hakika akinitoa machozi kwa kucheka. Si kama yale aliyokuwa anahadithia yanachekesha hivyo bali kwa vile mtu unavyoweza kushangaa inakuwaje watu wazima wakachezewa vile na Nyerere na wao wasijijue kama wanachezewa. Malima alikuwa akinichekesha pale alipokuwa anasema yeye alipoingia kuhojiwa kamkuta Nyerere yuko ubavuni kwa Mwinyi utadhani wamekaa kiti kimoja. Ilikuwa lazima Kikwete aletwe kugombea vinginevyo wagombea wote wangekuwa Wakristo ukimtoa marehemu Prof. Malima. Hali ingelikuwa vile ingekuwa lazima Prof. Malima wamchague ama sivyo Waislam wangelikuwa hawamo katika mbio za kwenda Ikulu. Sasa Nyerere hakuweza kucheza na shilingi chooni. Prof. Malima na Mkapa washindane...hakuweza kutabiri matokeo kwani Prof. Malima akipendeza sana kwa umma wa Waislam...sababu za kupendeza huko ni kuwa Prof. Malima allijtolea kuiasa serikali kuwa kuna ubaguzi wa kidini dhidi ya Waislam nchini petu.

Turudi mwanzo tulikoanzia...

Rais Kikwete anasema, ''Mzee Nyerere yule ametuachia Taifa moja, lililoungana, lenye umoja, lenye amani na mshikamano...'' (Mwananchi Ijumaa, Aprili 18, 2014).

Hiyo hapo juu ni picha ya ya nchi yenye amani na mshikamano?

Jibu utakuwanalo wewe msomaji.

Waislam bila kificho wametembea nchi nzima kuwaeleza wananchi kuwa Tanzania inaendeshwa na Mfumo Kristo na Waislam wanabaguliwa toka uhuru upatikane. Kwa kauli hiyo hapo juu ya Rais Kikwete ni kuwa kapuuza kilio cha Waislam.Kwake yeye hakuna dhulma na Waislam ni waongo kwani wao na Wakristo wote wana fursa sawa. Kanisa linatumia vyombo vya ulinzi kama jeshi lake binafsi. Waislam wanapigwa ndani ya misikiti na kufunguliwa kesi za kubambika. Kovu la Mwembechai la mwaka 1998 bado halijapona. Waislam wamesingiziwa kuwa ni magaidi na askari wemeingia katika vijiji vyao kuwapiga na kuwaua na misikiti yao kuchomwa moto. Haya yametokea Kilindi na jambo la kusikitisha vyombo vyote vya habari vimekataa kuandika habari hizi. Binafsi nimezungumza na vyombo vya habari vya kimataifa na kuwapa picha za video kuonyesha unyama waliofanyiwa Waislam. Wamekiri kuwa hakika dhulma imetendeka lakini hakuna hata chombo kimoja kilichokuwa na ujasiri wa kufanya kitu. Majuma mawili yaliyopita Masasi Waislam wameingiliwa msikitini baada ya sala ya Ijumaa na kupigwa kwa kusingiziwa ati wamemtukana Yesu. Baada ya kipigo hicho wamfunguliwa kesi ya uchochezi. Swali la kujiuliza ni hili kwa nini Waislam hawapelekwi mahakamani ila sisi ni kupigwa kisha ndiyo tunafikishwa mbele ya vyombo vya sheria?

Ndugu msomaji hii ndiyo amani aliyotuachia chembelecho Rais Kikwete, Mzee Nyerere? Hili ndilo taifa moja, lililoungana, lenye umoja, lenye amani na mshikamano? Rais Kikwete kipi kinamfanya ajifanye kuwa haujui ukweli?

Soma zaidi: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...u-nyerere-katuachia-tanzania-yenye-amani.html
 
Al Alama Mohamed Said alikuwa anatuletea kisa hiki, ghafla nyuzi ikafungwa, pitia kidogo: Wanajamvi, Naweka hapa ushahidi mmoja jinsi udini unavyotishia kuangamiza taifa letu. Nimetoa ushahidi huu kutoka kitabu cha Prof. Hamza Mustafa Njozi, ''Muslims and the State in Tanzaia.'' Kitabu hiki kimechapwa mwaka 2010 na Dar es Salaam University Muslim Truesteeship (DUMT). Prof. Njozi aliombwa na Waislam aandike kitabu kingine kuitahadharisha serikali kuhusu kansa hii ya udini nchini baada ya kitabu chake chenye maudhui kama haya, ''Mwembechai Killings... kupigwa marufuku na serikali. Tusomeni kwa utulivu: Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/598950-hatari-ya-udini-katika-jamii.html

nimesoma...context ya mwandishi ,anatuaminisha kwamba ''Only Muslims are the oppressed, and Christians are the oppressors''..
 
nimesoma...context ya mwandishi ,anatuaminisha kwamba ''Only Muslims are the oppressed, and Christians are the oppressors''..

Haya mambo si ya kufungiwa macho, "usipoziba ufa utajenga ukuta".
 
nimesoma...context ya mwandishi ,anatuaminisha kwamba ''Only Muslims are the oppressed, and Christians are the oppressors''..

And this is the biggest problem to the so called oppressed. Hivi kweli watu tuko busy tunaangalia namna ya kuhudumia familia zetu mtu anatuletea hizi diversionary excuses? Hivi wewe ukiamini sijui dini, machungwa, maembe, mbuzi..kama imani yako..mimi inanihusu nini? Does it bring food on the table????? oOfcourse not!!!!

Guys lets focus kwa yale yanayotuunganisha kama taifa..hizi habari za dini waachie wanadini wenyewe...

Tunasema...hatudanganyiki tena..hao the so called wasomi akina Mohamed Said...what we need from you mtumie elimu yenu mtusaidie tupambane na umasikini na shida zetu za kila siku..hizi nyimbo..za sijui Nyerere did this and that...dont wash! It is more than 15 years tangu Nyerere ameitwa na Muumba wake..mtoto aliyezaliwa mwaka 1999 kama alipata opportunities..anajiandaa kuingia University..na bado leo tuna watu wanaoitwa wasomi..wanamlaumu mzee aliyestaafu kazi almost three decades ago! Elimu nyingine.....they leave many questions than answers! Spare us this poor thinking!
 
"Wazee Wa LAWAMA"Dunia nzima inawajua "Reciprocated and brainless MUDY Followers"Dunia nzima hakuna kama ninyi.KUDOS

Kwa hayo uliyoyaandika tukuiteje? mdini? au kwako hilo hali qualify tukutafutie lingine?
 
Je hukuwaona hao makatonta wenzio wanavyoongea? Usijifanye kipofu na ukiziwi wake, imeshazoeleka humu udini uko NSSF lkn hauko PPF na kwingineko, udini ni pale Kikwete anapoteua mtendaji mwenye jina la kiislam. Ukweli unabaki nyie Wakristo wa Tanzania mna chuki kali sana mioyoni mwenu juu ya waislam. Fuatilia hizo posts za uteuzi wa hivi karibuni humu JF utajua anachosema madam FaizaFoxy

Mara nyingi wanaolia kuwa ni victims wa ubaguzi ndio wabaguzi wakubwa...
Wewe unasema comments humu JF akati am sure reference yako ni jukwaa la siasa...
Ume assume kila mtu humu ana interest na siasa...

Ungechukulia hizo comments kisiasa kama jukwaa lenyewe ungeona kuwa hakuna anachofanya Kikwete kikasifiwa na wapinzani...
Na mpinzani ni wana siasa awe ...
Na mwanasiasa awe CCM au CHADEMA ni mule mule...kutumia karata yoyote ku win public support...

Kwa heri maana nimeshakuona wewe ni mdini namba moja...
 
Nime msoma mwanazuoni Mohamed Said.

Kuwa Prof Kighoma au Prof Kikwete ndio walikuwa na nafasi kubwa ya kumridhi Alhaji Mwinyi 1995.

Bali mfumo Kristo ukiongozwa na Nyerere chini ya uratibu wa Gama ukawa kwamisha na ilibidi wakati flani huko nyuma Gama amuombe msamaha prof Kikwete kwa alivyo mfanyia.

Kwa maneno mengine mfumo Kristo uliinyima nchi hii na wananchi wake fursa ya uongozi ulitukuka wa mh Prof Kikwete 1995 mpaka 2005 tena baada ya kazi ngumu kufanyika. Hebu jaribu kufikiri maendeleo haya makubwa yangepatikana kuanzia 1995 nchi leo ingekuwa katika hatua gani?

Lakini kama kulikuwa na tatizo kubwa hivi la mfumo Kristo nini kimefanyika au kinaendelea kufanyika kuhakikisha tatizo hili haliendelei? Je katiba pendekezwa na iliyokuwa rasimu ya pili vililifanyia kazi hili tatizo na limepatiwa ufumbuzi?

Vita hii ya kuuondoa mfumo Kristo inaendelea vipi na imefikia wapi kimafanikio mpaka sasa? Je vita hii inapigwa wazi au kwa usiri? Je Wananchi wote wamejulishwa ya kuwa hapo nyuma nchi yetu ilikuwa na viongozi wenye mitazamo ya udini na waliongoza taifa hili kwa manufaa ya watu wa/na dini yao?

Wananchi wameambiwa lolote juu ya kinacho fanyika sasa au hatua zinazo chukuliwa sasa (kama zipo) kukomesha tatizo hili ili lisijirudie huko mbeleni? Au hatua ni hizi za kwa kuwa ppf ni ya mfumo Kristo basi nssf iwe ya mfumo uislamu?
 
Bibie FaizaFoxy kwanza tukubaliane hili tatizo lipo siku nyingi sana sema halikupata washabiki wa kutosha kama ilivyo sasa.Nani wa kulaumiwa ?.

Kwanza ni watawala wetu CCM ambao ndio wamekuwa vinara wa kuvibambikia vyama vya upinzani udini ili kujinufisha kisiasa matokea yake ndio haya sasa wananchi wameyashikia bango.
 
Last edited by a moderator:
Yeyote yule anayeshabikia dini fulani au kujifanya mkereketwa wa kuziponda imani nyingine yamkini atakuwa ni mwendawazimu.
Hakuna mantiki yoyote ya kushabikia au kulazimisha watu wajione eti wako mashakani kwa ajili ya tofauti ya mapokeo/kuabudu.
Ukweli utasemwa tena sana,lakini kwa taarifa zilizopo ni kuwa 80% ya watanzania hawana dini maalum leo wako hapa kesho wako kule iwe kwa ndoa au matambiko.
 
Nini kifanyike kwa mtazamo wako?

Tusifiche vichwa vyetu wakati mwili mzima uko wazi tukidhani kuwa tuko salama. Tufichuwe sura zetu na tulitazame kwa undani hili tatizo tutapata ufumbuzi.


To date the government still buries its head in the sand like the proverbial ostrich scared to admit that we have a real problem. Year after year the country is gradually slipping, polarising itself into two contending forces...

Muslims bracing up for second liberation and Christians standing up against Muslims not willing to let go the privileges they enjoy...only time will tell. The clock has gone full circle.

During the struggle for independence in 1950s the banner was in the hands of the like of Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Sheikh Mohamed Ramia, Mshume Kiyate, Mwinjuma Mwinyikambi and the sophisticated young men of the times, Abdulwahid and Ally Sykes, Zuberi Mtemvu, Hamza Mwapachu, Dossa Aziz and others, it were the British against Muslims majority in TANU...now the banner is in the hands of very young Muslims with no party affiliation, not in turbans and kanzu but in jeans, sneakers and t shirts...what is this? Have we failed to see the writing on the wall? Are we this blind?

Source: https://www.jamiiforums.com/dini-im...a-always-kibaraka-the-case-of-pro-malima.html
 
Bibie FaizaFoxy kwanza tukubaliane hili tatizo lipo siku nyingi sana sema halikupata washabiki wa kutosha kama ilivyo sasa.Nani wa kulaumiwa ?.

Kwanza ni watawala wetu CCM ambao ndio wamekuwa vinara wa kuvibambikia vyama vya upinzani udini ili kujinufisha kisiasa matokea yake ndio haya sasa wananchi wameyashikia bango.

Naona hauelewi kuwa ndani ya CCM kwenyewe tena wakati wa Nyerere tatizo lilikuwepo na lilijitokeza, jisomee:

Ndugu Msomaji,

Fuatilia hapa In Sha Allah tutajitahidi kuweka mambo yanayosibu nchi yetu toka tupate uhuru mwaka 1961...

Ninaandika kitabu kuhusu siasa za Tanzania na jinsi dini inavyotawala hisia za watawala walio madarakani. Katika sura moja ninaeleza namna Jakaya Mrisho Kikwete alivyoweza kufanya kampeni kwa miaka kumi na hatimae akaweza kuchaguliwa kuwa rais...lakini haikuwa kazi nyepesi kwa mara ya kwanza 1995 alipojaribu juhudi zake zilipata upinzani wa chinichini..

Nakuwekea hapa msomaji yale niliyoandika katika mswada wangu.

Nia ni kuangalia ni kweli Mwalimu Nyerere aliacha taifa lisilo na udini, lenye mshikamano wa kweli na umoja?:

''But before the conference Kikwete went on record to complain that the secretary of the party Dr. Lawrence Mtazama Gama, a Catholic, and hailing from the south like Mkapa was undermining his campaign on religious grounds. Nyerere who had earlier and eloquently promised him that he would take care of religious sentiments for Kikwete, was suddenly dead silent. For a time it seemed as if the party was to engulf into a religious crisis involving its own top leadership. Religion was a sensitive issue and CCM had always maintained that the party did not discriminate its members on religious grounds. The conflict between Kikwete and Gama was an embarrassment to the party. In a strange turn of reconciliation effort CCM issued a statement that Gama had apologised to Kikwete. It is a pity that Kikwete did not reveal what religious issue became the source of conflict that the party had Gama to apologise. The thought of Gama apologising to Kikwete was a humiliation to Gama not only because of his seniority but because of other factors...''

Hii ndiyo hali ilikuwapo wakati Kikwete na Mkapa wanaelekea Dodoma kwenye mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM itakaochagua mgombea wa CCM. Hapa Khalfan Mrisho Kikwete, Muislam alikuwa anakwenda kupambana na Benjamin William Mkapa Mkatoliki mfuasi wa kanisa lenye nguvu kupita kiasi Tanzania...

Fatilia ukarasa huu kwa mengine In Sha Allah...

''Mkapa was forced to pick his campaign committee from people outside the inner circle of the party. Two newspapers publishers were in his committee Damian Ruhinda and Jenerali Ulimwengu. The special NEC Conference convened to elect one CCM member to stand for presidential candidate elected Jakaya Mrisho Kikwete in the first round with Mkapa coming close second and Msuya was last. But since he had not commanded an absolute majority voting had to be repeated. There was tension in the conference hall as CCM delegates voted to choose between Kikwete and Mkapa. Christians were heard to whisper to each other that they should not again allow a Muslim to govern the country, never again they whispered to each other.

And when Mkapa won hymns were sung.''

Huu ndiyo ukweli wa siasa za Tanzania... dini haichezi mbali.

Lakini ili ndugu mfuatiliaji upate picha halisi ya nini kilikuwa kinafanyika nyuma ya pazia itabidi nimlete mgombea mwingine aliyekuwa mwanachama wa CCM...

Prof. Kighoma Abdallah Ali Malima...

''The difference between Prof. Malima and Kikwete was that, while Kikwete really believed that he was a serious candidate for Nyerere, Prof. Malima knew Kikwete was thrown into the race by the Christian lobby to block him. The rule of the game was to play a Muslim against a Muslim. But Kikwete was too naive to understand that. His background had not prepared him to understand the intricacies of the politics of Tanzania as it relates to dealing with Islam and Muslims. If he had taken some time to think long and hard he would have realised that if experienced people like Malecela, Msuya and Kolimba were not seen as fit to rule the country despite of their long service to the country which span more than three decades how possible could he supersede them and be a better candidate than those old guards?''

Marehemu Malima alikuwa akihadithia mkasa huu wa mkutano wa Dodoma wa kuwafanyia usaili wagombea hakika akinitoa machozi kwa kucheka. Si kama yale aliyokuwa anahadithia yanachekesha hivyo bali kwa vile mtu unavyoweza kushangaa inakuwaje watu wazima wakachezewa vile na Nyerere na wao wasijijue kama wanachezewa. Malima alikuwa akinichekesha pale alipokuwa anasema yeye alipoingia kuhojiwa kamkuta Nyerere yuko ubavuni kwa Mwinyi utadhani wamekaa kiti kimoja. Ilikuwa lazima Kikwete aletwe kugombea vinginevyo wagombea wote wangekuwa Wakristo ukimtoa marehemu Prof. Malima. Hali ingelikuwa vile ingekuwa lazima Prof. Malima wamchague ama sivyo Waislam wangelikuwa hawamo katika mbio za kwenda Ikulu. Sasa Nyerere hakuweza kucheza na shilingi chooni. Prof. Malima na Mkapa washindane...hakuweza kutabiri matokeo kwani Prof. Malima akipendeza sana kwa umma wa Waislam...sababu za kupendeza huko ni kuwa Prof. Malima allijtolea kuiasa serikali kuwa kuna ubaguzi wa kidini dhidi ya Waislam nchini petu.

Turudi mwanzo tulikoanzia...

Rais Kikwete anasema, ''Mzee Nyerere yule ametuachia Taifa moja, lililoungana, lenye umoja, lenye amani na mshikamano...'' (Mwananchi Ijumaa, Aprili 18, 2014).

Hiyo hapo juu ni picha ya ya nchi yenye amani na mshikamano?

Jibu utakuwanalo wewe msomaji.

Waislam bila kificho wametembea nchi nzima kuwaeleza wananchi kuwa Tanzania inaendeshwa na Mfumo Kristo na Waislam wanabaguliwa toka uhuru upatikane. Kwa kauli hiyo hapo juu ya Rais Kikwete ni kuwa kapuuza kilio cha Waislam.Kwake yeye hakuna dhulma na Waislam ni waongo kwani wao na Wakristo wote wana fursa sawa. Kanisa linatumia vyombo vya ulinzi kama jeshi lake binafsi. Waislam wanapigwa ndani ya misikiti na kufunguliwa kesi za kubambika. Kovu la Mwembechai la mwaka 1998 bado halijapona. Waislam wamesingiziwa kuwa ni magaidi na askari wemeingia katika vijiji vyao kuwapiga na kuwaua na misikiti yao kuchomwa moto. Haya yametokea Kilindi na jambo la kusikitisha vyombo vyote vya habari vimekataa kuandika habari hizi. Binafsi nimezungumza na vyombo vya habari vya kimataifa na kuwapa picha za video kuonyesha unyama waliofanyiwa Waislam. Wamekiri kuwa hakika dhulma imetendeka lakini hakuna hata chombo kimoja kilichokuwa na ujasiri wa kufanya kitu. Majuma mawili yaliyopita Masasi Waislam wameingiliwa msikitini baada ya sala ya Ijumaa na kupigwa kwa kusingiziwa ati wamemtukana Yesu. Baada ya kipigo hicho wamfunguliwa kesi ya uchochezi. Swali la kujiuliza ni hili kwa nini Waislam hawapelekwi mahakamani ila sisi ni kupigwa kisha ndiyo tunafikishwa mbele ya vyombo vya sheria?

Ndugu msomaji hii ndiyo amani aliyotuachia chembelecho Rais Kikwete, Mzee Nyerere? Hili ndilo taifa moja, lililoungana, lenye umoja, lenye amani na mshikamano? Rais Kikwete kipi kinamfanya ajifanye kuwa haujui ukweli?

Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...u-nyerere-katuachia-tanzania-yenye-amani.html
 
Yeyote yule anayeshabikia dini fulani au kujifanya mkereketwa wa kuziponda imani nyingine yamkini atakuwa ni mwendawazimu.
Hakuna mantiki yoyote ya kushabikia au kulazimisha watu wajione eti wako mashakani kwa ajili ya tofauti ya mapokeo/kuabudu.
Ukweli utasemwa tena sana,lakini kwa taarifa zilizopo ni kuwa 80% ya watanzania hawana dini maalum leo wako hapa kesho wako kule iwe kwa ndoa au matambiko.

Tuwekee hizo taarifa. Au zipo kichwani mwako tu?
 
Hawa wasomi wa kiislamu wenye misimamo mikali na akili za kipuuzi nawafananisha na imani za askari wa ISIS wanaoewa msaada na Israel ili wawachinje waislamu wenzao na kuwabaka wanawake
 
Pretty kuna watu wanataka kulikuza hili tatizo na kulifanya kubwa kuliko inavyostahili. Hawa MACCM ndio walilikuza hili tatizo la udini baada ya kuwaita CUF ni chama cha waislamu na baadaye kuwaita CHADEMA ni chama cha wakristo. Hivyo vyama viwili vya "wakristo na waislamu" hata siku moja MACCM hawakutegemea vije kushirikiana kwa lolote lile, lakini kama tulivyoona vyama hivi vyote viwili si vya kidini na ndio sababu pamoja na NCCR vimeamua kushirikiana kwa karibu mno na kuwa tisho kubwa ka MACCM kuelekea katika uchaguzi wa 2015. Uraiani tatizo hili la udini si kubwa kiasi hicho ila kuna baadhi miongoni mwetu hutaka kulikuza kuliko inavyostahili.

Tumeona hivi karibuni viongozi wa CHADEMA kupokewa kwa shangwe kubwa na umati wa watu kule Zenj na katika mikutano yao walishangiliwa sana na umati kule ambapo 99% ni waislamu.

Hili la wakati wa Nyerere:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...u-nyerere-katuachia-tanzania-yenye-amani.html
 
Upumb.avu na ukihiyo wa mwandishi kwa makusudi kabisa anaudanganya umma kuwa mkapa ni mkatoliki.. Mkapa ni muanglicana anglican na catholic ni makanisa mawili tofauti kabisa .. Ila uppumbavu na uelewa mdogo wa mwandiahi analea stori zake za kahawa na fitna za zinazotumika kuwadanganya mamluki wa kiislam nchini.. Namnukuu""Hii ndiyo hali ilikuwapo wakati Kikwete na Mkapa wanaelekea Dodoma kwenye mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM itakaochagua mgombea wa CCM. Hapa Khalfan Mrisho Kikwete, Muislam alikuwa anakwenda kupambana na Benjamin William Mkapa Mkatoliki mfuasi wa kanisa lenye nguvu kupita kiasi Tanzania... ""
Teh teh.. Hivi huyu mwandishi wenu ana nia njema na Tanzania? Kwanza ni mwongo mfitna na mdini.
 
Back
Top Bottom