Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,171
- 3,893
- Mkuu Bob, sawa sawa sana mimi sasa hivi namuona Sheikh Yahaya RIP Mnajimu representing a hope kwa wananchi wengi wanyonge nje ya the life system tuliyokuwa nayo under siasa za Utawala wa Awamu wa kwanza, infact kune recorded facts kwamba watwala wa wa Awamu ya kwanza hawakumtaka kabisa hapa nchini ndio maana alikuwa akiishi kama mkimbizi Kenya, na alirudi pale tulipobadili siasa zetu, ndio maana ninasema kwamba Nationally he was very influencial in his own way, infact ingekua nchi za wenzetu angeweza hata kuwa a National hero, even though matokeo ya utabiri wake siku zote ulikuwa debatable, lakini huwezi kukataa au ku-igonre his infulencial socially kwa taifa.
William @ NYC, USA.
Hivi kule Kenya hakuwa kikazi zaidi na akizuga kama amefukuzwa? Mbona he played big role in the arrest of people accused of masterminding the failed attempt to ovethrow Nyerere in 1983?