mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Wananchi wengi wa kawaida na hata viongozi wa kada ya chini ya vyama wanaamini kuwa wanaviongozi wa upinzani mbele yao kumbe wanawasindikiza wachumia tumbo sikuzote hapa Tanzania. Kwanini basi:
Tangia kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini mwaka 1992 makanjanja kibao walitokea CCM na kuja kuanzisha vyama najua wote tuna wafahamu, na watu waliwaamini kuwa wale viongozi watawapeleka katika mageuzi ya kweli kumbe lile lilikuwa kosa.
Chakwanza cha kufaamu chama cha siasa lazima kiwe taasisi yaani kusiwe na hisia za umiliki wa mtu au kakikundi cha watu. Yaani kama kweli upo katika chama cha siasa na inaingiza imani yako humo lazima kwanza chama kiwe na UTAASISIIZIM. Kinachotokea leo watu wanawaamini viongozi hasa wenyeviti wa vyama utazani mayesu yaani utadhani nao walizaliwa na bikira. Au watu wanaamini wenyeviti kama huku kwetu kanisani Askofu au mchungaji anaendelea kukusanya sadaka mpaka Mungu amchukuwe.
Leo hii kunachama kinaitwa A SI T utaona mambo ya ajabu sana mlendani tena katika katiba yao wenyewe wana kiongozi mkuu yaani huyu haguswi mwanangu. Katiba inasema yeye ndiyo kilakitu na kama kunauchaguzi mkuu yeye ndiyo mgombea pekee wa urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania labda akatae au ateue mtu mwingine kwa kukishauri chama. Sasa utaweza shangaa yaani hata watu hawajachukua nchi tayari wanajipa uongozi mkuu je wakichukuwa nchi si watakuwa zaidi mayesu.
Chama kingine ni KAFUU, tumewai kushuhudia mambo ya ajabu sana mle yaani mwenyekiti anajiuzulu kwa mujibu wa katiba mara tunasikia kajirudisha kwa mujibu wa katiba, uliwai kuona wapi, yaani inakuwa ngumu sana kuelewa inakuwa kama huku kwetu kanisani tunasema Yesu ni Mungu lakini alikufa na baadae akajifufua haya ni mambo magumu sana kuyaelewa.
Kunachama kingine kinaitwa SI D au M kipo hapa Tanzania hiki ndiyo chama cha ajubu kuwai kutokea duniani, licha ya kuwa hakina utaasisi hata kidogo lakini chenyewe kinaweza kubadirisha giabox angani hata kama wapo mita 7000 kutoka usawa wa bahari, hawaangalii hatari yoyote itakayo wakuta kama wakibadili giabox huko juu wenyewe wanamsikiliza mtu mmoja tu na si vikao naye anaitwa mtu asiye tawaliwa na mtu yoyote ajawai tawaliwa na hata tawaliwa ndiyo wanamsikiza.
Na huyu mtu Mungu amempa neema ya ajabu sana akisema wote tia plasta mdomoni wote plasta. Akisema wote tunasusa kama watoto au mwanamke wote wanasusa mpaka mtaani pia wanasusa. Cha ajabu lakini kila akitangaza maandamano nchi nzima tarehe ikikaribia anayafuta. Na kibaya zaidi kama hiki chama kikija kuchukua nchi wanaume watakuwa wanaolewa na harusi kubwa kuzidi hizi za kawaida --laana tulhalau. Na hiki chama kina mwenyekiti wa maisha kama aliyekuwa Kamuzu Banda wa Malawi yeye anamiaka takribani 30 sasa ofisini, yaani hata dhana ya kuja kwa mfumo wa vyama vingi hili kubadilishana vijiti haupo tena.
Chama kingine ni N MASIALA - MAGEUZI hiki kina mwenyekiti wa ajabu ajawai kutokea duniani na hata kabla ya misingi ya uumbaji, yeye anauwezo wa kujipendekeza kokote hata kama ataona chama kinakufa lazima akamilishe hilo zoezi. Anaasili ya kupenda kitonga zaidi ... huyu sichangii sana.
Chama kingine cha kushangaza ni TIA LO - P hiki nikisema sana mtasema nakufuru, yaani uliona wapi mnataka mchumba ambaye mnamgombania alafu wewe unasema mimi naungana na yule tunakuja kukuoa mchumba, yaani mke mmoja waume wawili. Pia unaharibu dhana zima ya wazungu kutugawa. Ndiyo maana hawakuruhuusu urafiki huo badarayake rafiki atoke nje ya nchi hili divaid and rulu iendelee.
Kunachama kinaitwa TAKIDEDEA hiki kinamwenyekiti yeye kama yeye anaomba ruzuku na misaada kutoka kwa mwenyekiti wa CCM eti chama chake kichanga hivyo asaidiwe kiwe na nguvu baadaye kije kukiondoa CCM.
Yaani atanikiorodhesha vyama vyote utaona mambo ya jabu sana kama tulivyoletewa dini kutoka Ukaya na Arabia kanakwamba sisi Mungu alikuwa atutambui.
Hapa wajanja ni viongozi wa vyama na wajinga ni wafuasi na wapambe wa vyama.
Kunamtu nimemkwaza. Mtoto wa Mchugaji.
Tangia kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini mwaka 1992 makanjanja kibao walitokea CCM na kuja kuanzisha vyama najua wote tuna wafahamu, na watu waliwaamini kuwa wale viongozi watawapeleka katika mageuzi ya kweli kumbe lile lilikuwa kosa.
Chakwanza cha kufaamu chama cha siasa lazima kiwe taasisi yaani kusiwe na hisia za umiliki wa mtu au kakikundi cha watu. Yaani kama kweli upo katika chama cha siasa na inaingiza imani yako humo lazima kwanza chama kiwe na UTAASISIIZIM. Kinachotokea leo watu wanawaamini viongozi hasa wenyeviti wa vyama utazani mayesu yaani utadhani nao walizaliwa na bikira. Au watu wanaamini wenyeviti kama huku kwetu kanisani Askofu au mchungaji anaendelea kukusanya sadaka mpaka Mungu amchukuwe.
Leo hii kunachama kinaitwa A SI T utaona mambo ya ajabu sana mlendani tena katika katiba yao wenyewe wana kiongozi mkuu yaani huyu haguswi mwanangu. Katiba inasema yeye ndiyo kilakitu na kama kunauchaguzi mkuu yeye ndiyo mgombea pekee wa urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania labda akatae au ateue mtu mwingine kwa kukishauri chama. Sasa utaweza shangaa yaani hata watu hawajachukua nchi tayari wanajipa uongozi mkuu je wakichukuwa nchi si watakuwa zaidi mayesu.
Chama kingine ni KAFUU, tumewai kushuhudia mambo ya ajabu sana mle yaani mwenyekiti anajiuzulu kwa mujibu wa katiba mara tunasikia kajirudisha kwa mujibu wa katiba, uliwai kuona wapi, yaani inakuwa ngumu sana kuelewa inakuwa kama huku kwetu kanisani tunasema Yesu ni Mungu lakini alikufa na baadae akajifufua haya ni mambo magumu sana kuyaelewa.
Kunachama kingine kinaitwa SI D au M kipo hapa Tanzania hiki ndiyo chama cha ajubu kuwai kutokea duniani, licha ya kuwa hakina utaasisi hata kidogo lakini chenyewe kinaweza kubadirisha giabox angani hata kama wapo mita 7000 kutoka usawa wa bahari, hawaangalii hatari yoyote itakayo wakuta kama wakibadili giabox huko juu wenyewe wanamsikiliza mtu mmoja tu na si vikao naye anaitwa mtu asiye tawaliwa na mtu yoyote ajawai tawaliwa na hata tawaliwa ndiyo wanamsikiza.
Na huyu mtu Mungu amempa neema ya ajabu sana akisema wote tia plasta mdomoni wote plasta. Akisema wote tunasusa kama watoto au mwanamke wote wanasusa mpaka mtaani pia wanasusa. Cha ajabu lakini kila akitangaza maandamano nchi nzima tarehe ikikaribia anayafuta. Na kibaya zaidi kama hiki chama kikija kuchukua nchi wanaume watakuwa wanaolewa na harusi kubwa kuzidi hizi za kawaida --laana tulhalau. Na hiki chama kina mwenyekiti wa maisha kama aliyekuwa Kamuzu Banda wa Malawi yeye anamiaka takribani 30 sasa ofisini, yaani hata dhana ya kuja kwa mfumo wa vyama vingi hili kubadilishana vijiti haupo tena.
Chama kingine ni N MASIALA - MAGEUZI hiki kina mwenyekiti wa ajabu ajawai kutokea duniani na hata kabla ya misingi ya uumbaji, yeye anauwezo wa kujipendekeza kokote hata kama ataona chama kinakufa lazima akamilishe hilo zoezi. Anaasili ya kupenda kitonga zaidi ... huyu sichangii sana.
Chama kingine cha kushangaza ni TIA LO - P hiki nikisema sana mtasema nakufuru, yaani uliona wapi mnataka mchumba ambaye mnamgombania alafu wewe unasema mimi naungana na yule tunakuja kukuoa mchumba, yaani mke mmoja waume wawili. Pia unaharibu dhana zima ya wazungu kutugawa. Ndiyo maana hawakuruhuusu urafiki huo badarayake rafiki atoke nje ya nchi hili divaid and rulu iendelee.
Kunachama kinaitwa TAKIDEDEA hiki kinamwenyekiti yeye kama yeye anaomba ruzuku na misaada kutoka kwa mwenyekiti wa CCM eti chama chake kichanga hivyo asaidiwe kiwe na nguvu baadaye kije kukiondoa CCM.
Yaani atanikiorodhesha vyama vyote utaona mambo ya jabu sana kama tulivyoletewa dini kutoka Ukaya na Arabia kanakwamba sisi Mungu alikuwa atutambui.
Hapa wajanja ni viongozi wa vyama na wajinga ni wafuasi na wapambe wa vyama.
Kunamtu nimemkwaza. Mtoto wa Mchugaji.