Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
......mkuu ES umemaliza...membe anahitaji somo la diplomacy.....ndio maana hata kwenye mkutano wa sullivan alishindwa kazi rahisi ya kutambulisha viongozi...he did a diplomatic fault ,kosa lile dogo lilionyesha ukosefu wake wa umakini!!