Tanzania haitambui ushindi wa Mugabe - Membe

Kwa Hili Serikali imesimama upande sahihi.....Hongera Mh. Membe

Wakuu inatubidi kuipongeza serikali ya Tz kwa msimamo iliounyesha juu ya sakata hili la Zimbabwe.
H.E J.Kikwete, Hon. Member, You are the new beacons of light to shine where there is darkness in African continent.

Maelfu ya Wazimbabwe wanateseka; wazee, wanawake na watoto kwa kuwa tu Bob. Mugabe/ Jongwe anataka kuendelea kung'ang'ania madaraka na pengine hadi afie hapo. 'This can not be right and it will never be right'.

Nimepata fursa ya kuwa karibu na Wazimbabwe kadhaa, na wanaonyesha masikitiko makubwa kile kinachotokea nchini mwao. Bob Nugabe has turned from 'HERO to ZERO'.

Mkuu Kitila nimekusoma vizuri, ni upofu wa hali ya juu eti ili uonekani Pan-Africanist inabidi umuunge mkono BOB. huu ni upungufu wa fikra na mtazamo sahihi.
Maana ya Pan-Africanism kama ni hiyo inayotaka kupindishwa basi wengi hatumo.

Nnnajua hapa macritics watataka kuchanganya madawa wa kuikoroga hii topic na mambo mengine yasiyokwenda sawia pale nyumbani. i.e Kiwira, EPA n.k. Lakini ikumbukwe pamoja na masakata yote ya hapo nyumbani, 'we 'll be failing our duty as Africans, if we don't speak loud and clear in condemnataion of such sham, unfair and un-democratic election that has put back Bob into power again.

Mungu ibariki Afrika
Mungu wabariki Waafrika.

hapa ndio naona kunaupindishwaji wa hoja za wengine. nimerudia zaidi ya mara mbili kueleza kwamba wengi humu tunaamini anayofanya jongwe kwa wananchi wake si mazuri. hata hivyo tunachotofautiana hapa ni njia ambayo serikali yetu imechukua katika kutatua huu mgogoro.

sasa kama tusioafiki na jinsi serikali inavyoli-handle hili suala kunatafsiriwa ni kumuunga mkono jongwe na upofu wa mawazo hiyo ni utashi wako kuwaza hivyo ila nina hakika mimi si kipofu wa mawazo na wala siungi mkono maovu anayofanya jongwe kwa watu wa nchi yake.
 
Inawezekana Membe amepotosha ukweli.

Delegates wengine waliokuwemo kwenye mkutano
hawakusema ya Membe​
.

hapo sasa.

ndio maana nimekuwa narudia kwamba naomba magazeti yawe yamekosea alichokisema.

hebu fikiria serikali ya mwenyekiti wa au inapopotosha kuhusu msimamo wa au!
lazima shuttle diplomacy ifanyike kwa sana tuu ili kupoza hii blunder. au mkuu atoke hadharani na kusahihisha pale anaposema kutomtambua mugabe ni uamuzi wa au.
 
hapo sasa.

ndio maana nimekuwa narudia kwamba naomba magazeti yawe yamekosea alichokisema.

hebu fikiria serikali ya mwenyekiti wa au inapopotosha kuhusu msimamo wa au!
lazima shuttle diplomacy ifanyike kwa sana tuu ili kupoza hii blunder. au mkuu atoke hadharani na kusahihisha pale anaposema kutomtambua mugabe ni uamuzi wa au.

Sidhani kama kuna kilichokosewa na magazeti kwa aliyosema Bw. Membe, msimamo wetu wa siasa za nje hivi karibuni umebadilika tokea Membe/JK team iingie ulingoni.

  1. Tulianza kwa kupingana na marafiki zetu, SA n.k., kwenye suala la Comoro. Tukakatiwa pesa na "unknown country" tukapeleka vijana wetu Comoro kinguvu. Eti watu tuliosaidiana nao ni Sudan na Libya. Tokea lini hawa wakawa upande wetu zaidi ya SA? Tushukuru Mungu kuwa matokeo ya Comoro hadi sasa hivi yanaenda vema.
  2. Likaja hili la Zimbabwe, tukajiweka mbelembele kutoa maneno/misimamo ya ajabu ajabu yaliyotumiwa vema kuendelezea propaganda za waMagharibi dhidi ya Mugabe. Matokeo yake, uhusiano wetu na Zimbabwe ukayeyuka, na hivi sasa hatuna uwezo tena wa kusaidia kwenye usuluhishi. Je hii ni akili njema?? Hii ndio diplomasia au ya kwetu inaangalia anayetukatia pochi ndio tuseme kinachomfaa??
  3. Sasa kwenye kujibaraguza tunatoa matamko ya ajabu ajabu tukiisingizia AU. Hivi wenzetu waliotutegemea tokea enzi za Mwalimu wanatuonaje??
Ni vema kwa Bw. Bernard Membe akajiuzulu, ili angalau abebe hiyo aibu ili isiwe ya Taifa kwani hata kama ni udiplomasia bila kukatiwa kitu kidogo, bado pia tumeushindwa.
 
Sidhani kama kuna kilichokosewa na magazeti kwa aliyosema Bw. Membe, msimamo wetu wa siasa za nje hivi karibuni umebadilika tokea Membe/JK team iingie ulingoni.

  1. Tulianza kwa kupingana na marafiki zetu, SA n.k., kwenye suala la Comoro. Tukakatiwa pesa na "unknown country" tukapeleka vijana wetu Comoro kinguvu. Eti watu tuliosaidiana nao ni Sudan na Libya. Tokea lini hawa wakawa upande wetu zaidi ya SA? Tushukuru Mungu kuwa matokeo ya Comoro hadi sasa hivi yanaenda vema.
    Likaja hili la Zimbabwe, tukajiweka mbelembele kutoa maneno/misimamo ya ajabu ajabu yaliyotumiwa vema kuendelezea propaganda za waMagharibi dhidi ya Mugabe. Matokeo yake, uhusiano wetu na Zimbabwe ukayeyuka, na hivi sasa hatuna uwezo tena wa kusaidia kwenye usuluhishi. Je hii ni akili njema?? Hii ndio diplomasia au ya kwetu inaangalia anayetukatia pochi ndio tuseme kinachomfaa??

    Te he he he! hatuna Ubavu? Au Mkuu hana ubavu...hata wa uenyekiti wa AU?
    Nacheka kwa kelele!
  2. Sasa kwenye kujibaraguza tunatoa matamko ya ajabu ajabu tukiisingizia AU. Hivi wenzetu waliotutegemea tokea enzi za Mwalimu wanatuonaje??
Ni vema kwa Bw. Bernard Membe akajiuzulu, ili angalau abebe hiyo aibu ili isiwe ya Taifa kwani hata kama ni udiplomasia bila kukatiwa kitu kidogo, bado pia tumeushindwa.

Mkuu tupo Pamoja.
 
[/LIST]Ni vema kwa Bw. Bernard Membe akajiuzulu, ili angalau abebe hiyo aibu ili isiwe ya Taifa kwani hata kama ni udiplomasia bila kukatiwa kitu kidogo, bado pia tumeushindwa.

Aibu gani? Wananchi wengi wapo very proud na maamuzi ya serikali yetu kuhusu kutokumtambua Mugabe. Angalia matokeo ya kura ya maoni.
 
Huku ni kujishauwa tu kwa mafisadi kwani washachukuwa pesa za watu na sasa zinataka kuwatokea puwani kwasababu hakuna anayetaka vita!

Wameshapigiana masignature ya SILAHA NA HUKU HATUNA CHAKULA WALA HOSPITALI, BARABARA NA ELIMU NI ZIII!

Hizo pesa nyie viongozi mlizotumia kununuwa silaha za mkoloni ili kumpa faida na kupigana kwasababu ya maslahi yake kwa kweli ni jambo la kusikitisha sana!

Inakuwa vipi kuna vimbelembele hapa nchini wenye kusema mambo tofauti na makubaliaono ya AFRIKA UNION kama si kujishauwa na kuona nishai kwasababu wakishamwahidi mkoloni kuwa watapigana kwa maslahi yao ili na wao wasamehewe kwenye kashfa zao za mabillioni ya dola walizochota za EPA na migodi waliyobadilisha na pesa pamoja na silaha?

Watanzani muhakikishe munaamka na kujuwa kuwa TAIFA LENU NI TAJIRI NA NDILO LINALOSTAHILI KUPIGANIWA KWANNZA KABLA HATA YA ZIMBABWE!!

Tuwaondowe vibaraka wa mkoloni walioshindwa kuyasimamia maslahi yetu!

VIBARAKA..Ambao hawawezi kujenga hoja mbele ya mkoloni kwani ufisadi wao ndio wanaoulinda na pesa hizo bado wananunulia silaha za kuendelea kuwaangamiza na hata kuzitumia dhidi ya watanzania wenyewe!

Wameamuwa kunuwa rada za kutulinda na nani zaidi ya yule wanayemsapoti? Kama vita vina maslahi na TANZANIA basi waseme na waweke wazi kuwa ni kwanini wao wanaona MUgabe ni mbaya na wao ni wazuri!

Wanachukia Mugabe kwasabau hakukubali kuuza nchi yake moja kwa moja kama wao walivyofanya!

Ushauri wangu kwa watanzania sasa ni kuwa muamke na mudai UHUR WENU!
 
Aibu gani? Wananchi wengi wapo very proud na maamuzi ya serikali yetu kuhusu kutokumtambua Mugabe. Angalia matokeo ya kura ya maoni.

Kura zipi?
Hivi unajuwa ni kina nani wanaotembelea hapa jf?
Wote ni watu wenye previledge...Unajuwa ni wananchi wangapi wenye uwezo wa kuja hapa mtandaoni?

Unajuwa wananchi wenye vyama ccm, chadema na vyama vingine vyote havina wanachama ambao wanafikia hata nusu ya watanzania?

Unajuwa ni watu wangapi hapo bongo kati ya hao ZAIDI YA MILIONI THELATHINI AMBAO WANA tambua nini kinaendelea?

Je wewe na wezenu ndio mnataka kujidai mnajuwa sana kufanya maamuzi na kufikiria kwa niaba ya watanzania zaidi ya milioni 30?

Je ni wananchi wangapi kwanza waliopiga kura za kumchaguwa rais vs wale ambao hawakupiga kura?

Wote wenye access na iternet ni watu wenye maslahi na kama hawana maslahi ni wachache mno na wanajulika hata kuhesabika hapa jf...!

Wale wananchi wasiokuwa na maslahi na UFISADI HAWAWEZI KAMWE KUKUBALI TUPIGANE VITA KWASABABU YA MKOLONI!
 
Mkuu Ogah,

Heshima mbele kaka, na nimekusikia lakini bado ninarudia kuwa Tanzania tumekosea tena sana, ninaamini ni kutokana na kimbele mbele chetu cha siku zote kutaka kuonekana mbele ya dunia kuwa we know better, lakini Waziri wetu wa nje kwenye hili amekurupuka sana na tena ni aibu kubwa sana kwetu kama taifa kwa sababu hakuna facts wala political evidece strong enough za kuhalalisha msimamo wetu, in fact facts nyingi sana zinam-back Mugabe, isipokuwa tu tatizo ni kwamba yeye na wanajeshi wake wana-react emotional zaidi kuliko common sense, na the results ni kuishia kuharibu hata ule ukweli mzito walionao ambao bado unawapa haki wao na Mugabe, kuwa walivyo on this ishu, ingawa tunapinga kabisa kitendo cha kuwasulubu wananchi wasio na hatia,:-

1. Waziri wetu wa nje amekurupuka kwenye hili kwa sababu historia ya hii ishu haiko upande wake, according to the dataz ni kwamba hili tatizo Mugabe aliliona kwa mara ya kwanza wakiwa kwenye mkutano wa uhuru kule Lacanster, ambako yeye na Joshua Nkomo, Sithole walikwenda kwenye mkutano ule kwa kushinikizwa sana na Mwalimu.

2. More dataz ni kwamba Kwenye ule mkutano Mwalimu, aliwatuma kina Mugabe kufuatana na washauri watatu kutoka Tanzania, nao ni Dr. Salim A. Salim, Sinde Warioba, na Charles Kileo, lakini maamuzi yote mazito on Mugabe side yalikuwa yakiamuliwa Dar na Mwalimu. USA kwenye hicho kikako iliwakilishwa na Balozi Andrew Young, aliyekuwa akimuwakilisha Kissinger.

3. According to more dataz ni kuwa Mugabe, alikuwa na matatizo mawili makubwa, nayo Ardhi na kuondolewa kwa wazungu kwenye position kubwa za serikali, hizi ishu zilikuwa so difficult kuzi-solve kwamba ilifikia one point Mugabe akaamua kujitoa kwenye kiikao na kurudi porini, Mwalimu akamjia juu kuwa akijitoa atamfunga, Mugabe akabaki kwenye mkutano.

4. The dataz ni kwamba kwenye ishu ya ardhi, makubaliano yalikuwa kwamba Mugabe asubiri Uingereza itakuwa ikitoa hela kwa serikali ya Zimbabwe kwa ajili ya kununua ardhi back kutoka kwa wazungu, zoezi ambalo lilitakiwa kuchukua miaka 15-20, toka uhuru wa Zimbabwe, likiwa linafanyika pole pole, na Andrew Young, akaahidi kwa niaba ya USA kuwa wao watasaidia kuchangia zile hela kwa serikali ya Zimbabwe kununua ardhi, Kwenye ishu ya wazungu kuondoka serikalini, ikakubaliwa wapewe miaka 10, ambapo wataondoka kwa pole pole.

5. The dataz ni kwamba haya yaliyokubaliwa yalikuwa yakifanyika kama ilivyokubaliwa, mpaka mwaka 1997 kushindwa kwa serikali ya Major ndio kilichokuwa chanzo cha matatizo ya Zimbabwe, meaning kwamba ni Tony Blair ndiye aliyehusika sana na ku-instigate matatizo haya, walipoingia tu madarakani, Tony Blair alimtuma waziri wake wa Afrika, kumuandikia barua nzito sana Mugabe, barua ambayo iliwekwa sana kwenye magazeti ya Zimbabwe then, ambako Labor Party walsiema kuwa hawana mpango wa kujihusisha kabisa na maamuzi mengi yaliyofanywa na taifa lao as a Colonist na kwamba hela za land hazitakuwepo tena, na kwamba wanataka Mugabe ajibu matatizo ya uhalali wa serikali kuwepo kwenye power, hasa kutokana na malalamiko ya Commnwealth kuwa uchaguzi wake then haukuwa wa halali,

Halafu pia USA, ambao waliahidi kusadia kutoa hela za kununua ardhi kule Lancaster, hwakutoa hata senti tano toka uhuru wa Zimbabwe, mpaka kuelekea mwaka 1997 Labor Party ilipokuwa inaingia kwenye power, kwa hiyo in short hapa ni Tony Blair ndiye aliyeamua ku-change the subject kutoka kwenye makubaliano ya kununua ardhi back, na sasa kuwa Demokrasia in Zimbabwe, sasa swali langu hapa ni je Waziri Wetu wa Nje anayajua haya kweli?

6. Tha dataz ni kwamba haikuchukua muda mrefu since then NGO moja kali sana kule UK iliyokuwa ikifadhiliwa na serikali pamoja na chama cha Tony Blair, physically ikaanzisha chama cha siasa cha upinzani zimbabwe, kinachoitwa MDC, NGO hiyo ambayo kwa jina inaitwa West-Minister Foundation, ndiyo iliyo andika hata katiba ya chama hicho yaani MDC, kikiwa pia kikipewa misaada ya hela toka serikali ya US, chama ambacho hatimaye walim-hand pick Tshangarai kuwa mwenyekiti wake, ambaye majuzi aligombea tena urais. Pia walianzisha gazeti na kutaka pia kuanzisha Radio na TV, station lakini Mugabe akagoma kwa hiyo wakaenda kunzisha Radio na TV Botswana. Na hata hivi karibuni kulipotokea matatizo makubwa ndani ya MDC, sio siri kuwa balozi wa US kule aliwaita viongozi wa MDC na kuwapa US Dollars 1,000,000 ili waelewane, na ndio maana Tshangarai akakimbilia ubalozi wa Dutch kwa kushauriwa na balozi wa US kwamba angekimbilia kwao hizi habari zingetoka nje!

7. Ni hapa sasa ndipo wanajeshi wa Mugabe waliopigania uhuru wa nchi hiyo, walipoamua kuanza ku-react emotionally, badala ya kutumia diplomasia au political wisdom kwa sababu walijua wazi kuwa kama ni The West, hakuna wa kumuamini tena, na ndio maana Mugabe hawezi kuwasikiliza viongozi wa Afrika ambao either hawaelewei kitu on fact na history, au wanafanya makusudi, Mugabe hawezi kuwasikiliza Botswana kwa sababu kwanza wanatumiwa na UK, halafu hata rais wao Botswana ni mtoto aliyezaliwa na mwanamke wa kiingereza inamfanya Mugabe kukasirishwa sana nao, na pia by the fact of the dataz kwamba sasa hivi US wanajenga base yao Botswana sasa should Mugabe litsen to Botswana? Ninasema hapana tena a big no!

Kwa kumaliza ninarudia tena kuwa Waziri wetu wa Nje amekurupuka na Tanzania tunapaswa kuwa ashamed, kwa sababu tulipaswa kujua haya yote niliyoyatoa hapa kutoka kwenye dataz zangu, sasa tumegeuka kichekesho mbele ya mataifa yaliyokuwa yakituheshimu sana zamani,

sisi Tanzania ni wanachama wa Security Council ya SADC, ambayo inajumuisha Angola(Chairmarn), Lesotho na South Afrika, kwenye hicho kikao muhimu South Africa hawakwenda wala Angola, tulihudhuria sisi tu na Lesotho, lakini ni maajabu makubwa kwamba Tanzania tukaamua maamuzi ambayo baadaye tukaya-forward mbele kwa AU kama ni maaamuzi ya serikali zote nne za ile Securty Council ya SADC, marokeo yake ikawa aibu kule Egypt kwa sababu South Afrika na Angola zikaja juu kuwa hazikushiriki kutoa huo uamuzi nasikia tukaabika sana mbele ya chi zingine za Afrika,

Look, majuzi mkutano ulipokuwa unaanza Gordon Brown na Condi Rice, waliwatumia ujumbe mzito viongozi wote kule Egypt kuwa Mugabe, asikubaliwe kabisa kutambuliwa kama rais, na kweli viongozi wetu wengi wa AU wakaitikia wito huo wa wazungu, ninaomba kumuuliza Waziri wetu wa Nje kwamba ni lini sisi waa-Afrika tuliwahi kuwapa ushauri viongozi wa EU na US wanapokutana nini cha kujadili? Si majuzi tu Rais Bush alijaribu kuwashinikiza kuwa EU wawakubali Turkey kwenye jumuiya yao, hivi kweli tunajua majibu aliyopewa na viongozi wa EU? aliambiwa akae mbali sana na ishu za EU hazimuhusu, sasa sisi ni kwa nini wao wanatumabia na tunafuata tu kama wajinga?

Waziri wetu wa nje anapaswa kujua kuwa sasa tunachekesaha sana nje, na tayari nchi nyingi zimeshashituyka kuwa tunatumiwa na mkono mmoja mzito kutoka nje, ambao sasa hivi unatushinikiza kutoa haya maamuzi ikiwa ni kujiweka sawa na mkutano ujao utakaofanyika Japan hivi karibuni, according to the dataz ni kwamba tumeahidiwa misaada mingi kupitishwa huko na huo mkono kwa ajili ya kutusaidia Tanzania, that is pathetic forign policy!

Tanzania tuliowahi kuwasidia Zimbabwe kwa hali na mali kupata uhuru wao, tulipaswa kuwa makini badala ya kuanza kuwa "malaya" wa siasa, kwa sababu hapa we are about kugombana na ndugu zetu wenyewe kwa sababu tu ya vipande vichache vya silver, with all his problems France, EU wala US haikuwahi hata siku moja kusiadia kumuondoa Mobutu, lakini hao hao leo wanatumabia kuwa tumkamne Mugabe, na here we are kama kondooo na the sd thing ni pale hata wananchi wenzetu wanaposhangilia huu uamuzi, tunajua kuwa kuna wale ambao pia wanafaidika na ile misaada ya West-minister NGO, maana wale wapo kila kona za upinzani Afrika, lakini Afrika haiwezi kuamuliwa na wazungu what to do!

Waziri wetu wa Nje amechemsha na niko radhi kumpa darasa zito on this ishu kwa sababu I got all the dataz, na ni lazima atuheshumu wananchi wa Tanzania kbala ya kutoa maamuzi mzito kama haya bila ukweli!

Ahsante Wakuu!
 
Mkuu Ogah,

Heshima mbele kaka, na nimekusikia lakini bado ninarudia kuwa Tanzania tumekosea tena sana, ninaamini ni kutokana na kimbele mbele chetu cha siku zote kutaka kuonekana mbele ya dunia kuwa we know better, lakini Waziri wetu wa nje kwenye hili amekurupuka sana na tena ni aibu kubwa sana kwetu kama taifa kwa sababu hakuna facts wala political evidece strong enough za kuhalalisha msimamo wetu, in fact facts nyingi sana zinam-back Mugabe, isipokuwa tu tatizo ni kwamba yeye na wanajeshi wake wana-react emotional zaidi kuliko common sense, na the results ni kuishia kuharibu hata ule ukweli mzito walionao ambao bado unawapa haki wao na Mugabe, kuwa walivyo on this ishu, ingawa tunapinga kabisa kitendo cha kuwasulubu wananchi wasio na hatia,:-

1. Waziri wetu wa nje amekurupuka kwenye hili kwa sababu historia ya hii ishu haiko upande wake, according to the dataz ni kwamba hili tatizo Mugabe aliliona kwa mara ya kwanza wakiwa kwenye mkutano wa uhuru kule Lacanster, ambako yeye na Joshua Nkomo, Sithole walikwenda kwenye mkutano ule kwa kushinikizwa sana na Mwalimu.

2. More dataz ni kwamba Kwenye ule mkutano Mwalimu, aliwatuma kina Mugabe kufuatana na washauri watatu kutoka Tanzania, nao ni Dr. Salim A. Salim, Sinde Warioba, na Charles Kileo, lakini maamuzi yote mazito on Mugabe side yalikuwa yakiamuliwa Dar na Mwalimu. USA kwenye hicho kikako iliwakilishwa na Balozi Andrew Young, aliyekuwa akimuwakilisha Kissinger.

3. According to more dataz ni kuwa Mugabe, alikuwa na matatizo mawili makubwa, nayo Ardhi na kuondolewa kwa wazungu kwenye position kubwa za serikali, hizi ishu zilikuwa so difficult kuzi-solve kwamba ilifikia one point Mugabe akaamua kujitoa kwenye kiikao na kurudi porini, Mwalimu akamjia juu kuwa akijitoa atamfunga, Mugabe akabaki kwenye mkutano.

4. The dataz ni kwamba kwenye ishu ya ardhi, makubaliano yalikuwa kwamba Mugabe asubiri Uingereza itakuwa ikitoa hela kwa serikali ya Zimbabwe kwa ajili ya kununua ardhi back kutoka kwa wazungu, zoezi ambalo lilitakiwa kuchukua miaka 15-20, toka uhuru wa Zimbabwe, likiwa linafanyika pole pole, na Andrew Young, akaahidi kwa niaba ya USA kuwa wao watasaidia kuchangia zile hela kwa serikali ya Zimbabwe kununua ardhi, Kwenye ishu ya wazungu kuondoka serikalini, ikakubaliwa wapewe miaka 10, ambapo wataondoka kwa pole pole.

5. The dataz ni kwamba haya yaliyokubaliwa yalikuwa yakifanyika kama ilivyokubaliwa, mpaka mwaka 1997 kushindwa kwa serikali ya Major ndio kilichokuwa chanzo cha matatizo ya Zimbabwe, meaning kwamba ni Tony Blair ndiye aliyehusika sana na ku-instigate matatizo haya, walipoingia tu madarakani, Tony Blair alimtuma waziri wake wa Afrika, kumuandikia barua nzito sana Mugabe, barua ambayo iliwekwa sana kwenye magazeti ya Zimbabwe then, ambako Labor Party walsiema kuwa hawana mpango wa kujihusisha kabisa na maamuzi mengi yaliyofanywa na taifa lao as a Colonist na kwamba hela za land hazitakuwepo tena, na kwamba wanataka Mugabe ajibu matatizo ya uhalali wa serikali kuwepo kwenye power, hasa kutokana na malalamiko ya Commnwealth kuwa uchaguzi wake then haukuwa wa halali,

Halafu pia USA, ambao waliahidi kusadia kutoa hela za kununua ardhi kule Lancaster, hwakutoa hata senti tano toka uhuru wa Zimbabwe, mpaka kuelekea mwaka 1997 Labor Party ilipokuwa inaingia kwenye power, kwa hiyo in short hapa ni Tony Blair ndiye aliyeamua ku-change the subject kutoka kwenye makubaliano ya kununua ardhi back, na sasa kuwa Demokrasia in Zimbabwe, sasa swali langu hapa ni je Waziri Wetu wa Nje anayajua haya kweli?

6. Tha dataz ni kwamba haikuchukua muda mrefu since then NGO moja kali sana kule UK iliyokuwa ikifadhiliwa na serikali pamoja na chama cha Tony Blair, physically ikaanzisha chama cha siasa cha upinzani zimbabwe, kinachoitwa MDC, NGO hiyo ambayo kwa jina inaitwa West-Minister Foundation, ndiyo iliyo andika hata katiba ya chama hicho yaani MDC, kikiwa pia kikipewa misaada ya hela toka serikali ya US, chama ambacho hatimaye walim-hand pick Tshangarai kuwa mwenyekiti wake, ambaye majuzi aligombea tena urais. Pia walianzisha gazeti na kutaka pia kuanzisha Radio na TV, station lakini Mugabe akagoma kwa hiyo wakaenda kunzisha Radio na TV Botswana. Na hata hivi karibuni kulipotokea matatizo makubwa ndani ya MDC, sio siri kuwa balozi wa US kule aliwaita viongozi wa MDC na kuwapa US Dollars 1,000,000 ili waelewane, na ndio maana Tshangarai akakimbilia ubalozi wa Dutch kwa kushauriwa na balozi wa US kwamba angekimbilia kwao hizi habari zingetoka nje!

7. Ni hapa sasa ndipo wanajeshi wa Mugabe waliopigania uhuru wa nchi hiyo, walipoamua kuanza ku-react emotionally, badala ya kutumia diplomasia au political wisdom kwa sababu walijua wazi kuwa kama ni The West, hakuna wa kumuamini tena, na ndio maana Mugabe hawezi kuwasikiliza viongozi wa Afrika ambao either hawaelewei kitu on fact na history, au wanafanya makusudi, Mugabe hawezi kuwasikiliza Botswana kwa sababu kwanza wanatumiwa na UK, halafu hata rais wao Botswana ni mtoto aliyezaliwa na mwanamke wa kiingereza inamfanya Mugabe kukasirishwa sana nao, na pia by the fact of the dataz kwamba sasa hivi US wanajenga base yao Botswana sasa should Mugabe litsen to Botswana? Ninasema hapana tena a big no!

Kwa kumaliza ninarudia tena kuwa Waziri wetu wa Nje amekurupuka na Tanzania tunapaswa kuwa ashamed, kwa sababu tulipaswa kujua haya yote niliyoyatoa hapa kutoka kwenye dataz zangu, sasa tumegeuka kichekesho mbele ya mataifa yaliyokuwa yakituheshimu sana zamani,

sisi Tanzania ni wanachama wa Security Council ya SADC, ambayo inajumuisha Angola(Chairmarn), Lesotho na South Afrika, kwenye hicho kikao muhimu South Africa hawakwenda wala Angola, tulihudhuria sisi tu na Lesotho, lakini ni maajabu makubwa kwamba Tanzania tukaamua maamuzi ambayo baadaye tukaya-forward mbele kwa AU kama ni maaamuzi ya serikali zote nne za ile Securty Council ya SADC, marokeo yake ikawa aibu kule Egypt kwa sababu South Afrika na Angola zikaja juu kuwa hazikushiriki kutoa huo uamuzi nasikia tukaabika sana mbele ya chi zingine za Afrika,

Look, majuzi mkutano ulipokuwa unaanza Gordon Brown na Condi Rice, waliwatumia ujumbe mzito viongozi wote kule Egypt kuwa Mugabe, asikubaliwe kabisa kutambuliwa kama rais, na kweli viongozi wetu wengi wa AU wakaitikia wito huo wa wazungu, ninaomba kumuuliza Waziri wetu wa Nje kwamba ni lini sisi waa-Afrika tuliwahi kuwapa ushauri viongozi wa EU na US wanapokutana nini cha kujadili? Si majuzi tu Rais Bush alijaribu kuwashinikiza kuwa EU wawakubali Turkey kwenye jumuiya yao, hivi kweli tunajua majibu aliyopewa na viongozi wa EU? aliambiwa akae mbali sana na ishu za EU hazimuhusu, sasa sisi ni kwa nini wao wanatumabia na tunafuata tu kama wajinga?

Waziri wetu wa nje anapaswa kujua kuwa sasa tunachekesaha sana nje, na tayari nchi nyingi zimeshashituyka kuwa tunatumiwa na mkono mmoja mzito kutoka nje, ambao sasa hivi unatushinikiza kutoa haya maamuzi ikiwa ni kujiweka sawa na mkutano ujao utakaofanyika Japan hivi karibuni, according to the dataz ni kwamba tumeahidiwa misaada mingi kupitishwa huko na huo mkono kwa ajili ya kutusaidia Tanzania, that is pathetic forign policy!

Tanzania tuliowahi kuwasidia Zimbabwe kwa hali na mali kupata uhuru wao, tulipaswa kuwa makini badala ya kuanza kuwa "malaya" wa siasa, kwa sababu hapa we are about kugombana na ndugu zetu wenyewe kwa sababu tu ya vipande vichache vya silver, with all his problems France, EU wala US haikuwahi hata siku moja kusiadia kumuondoa Mobutu, lakini hao hao leo wanatumabia kuwa tumkamne Mugabe, na here we are kama kondooo na the sd thing ni pale hata wananchi wenzetu wanaposhangilia huu uamuzi, tunajua kuwa kuna wale ambao pia wanafaidika na ile misaada ya West-minister NGO, maana wale wapo kila kona za upinzani Afrika, lakini Afrika haiwezi kuamuliwa na wazungu what to do!

Waziri wetu wa Nje amechemsha na niko radhi kumpa darasa zito on this ishu kwa sababu I got all the dataz, na ni lazima atuheshumu wananchi wa Tanzania kbala ya kutoa maamuzi mzito kama haya bila ukweli!

Ahsante Wakuu!

Kikwete aliulizwa mbele ya BUSH kuhusu Obama eti akasema.."I cannot VENTURE in that TERRITORY"

Wengine wanafanya vyovyote na kusema kile wanachotaka na kutuwekea viongozi wanaotaka...!

Ila na MKUU WETU WA NCHI alishindwa hata kusema ama kutoa lugha ya kizalendo na kidiplomasia.

At least kama kweli anajuwa HISTORIA ya dunia basi angesema hivi.."It is a defining moment in the History of US and the world because it is the proof that democracy is always strong if we forget all our differences and get together towards our main objective...Which is a BETTER WORLD FOR EVERY FREE CITIZEN OF THE WORLD"

Labda mimi yangu ndefu lakini badala ya kusema hawezi ku vencha kwenye territory yao...Basi angesema tu kuwa uchaguzi huo ni wa kihistoria na kuwa demokarisia inaendelea kukuwa marekani.
 
Field Marshall ES said:
Mugabe hawezi kuwasikiliza Botswana kwa sababu kwanza wanatumiwa na UK, halafu hata rais wao Botswana ni mtoto aliyezaliwa na mwanamke wa kiingereza inamfanya Mugabe kukasirishwa sana nao, na pia by the fact of the dataz kwamba sasa hivi US wanajenga base yao Botswana sasa should Mugabe litsen to Botswana?

FMES,

..asante for the historical perspective that you brought.

..labda ungeongezea kwamba Ian Khama ni mtoto wa Raisi wa kwanza wa Botswana Sir.Seretse Khama.

..mke wa Sir.Seretse Khama alikuwa ni mama wa Kiingereza waliyekutana naye masomoni.

..Ketumile Masire, ambaye alim-succeed Seretse Khama, pia alikuja kutunukiwa U-knighthood na Malkia wa Uingereza.

..kuna waliompendekeza Sir Ketumile Masire awe msuluhishi wa mgogoro wa Zimbabwe. nina mashaka sana kama Mugabe atamkubali ukizingatia jinsi Masire alivyoboronga usuluhishi wa vita ya Congo. ilifikia mpaka Mzee Kabila akamkataa.
 
I see everybody is falling for this "suluhisho" crap.....watu wanachotakiwa kufanya ni kumtenga Mugabe kwa sababu hakuchaguliwa kihalali! Yeye ni mporaji na tangu lini mtu unataka "suluhisho" na mporaji. Hapana bana....
 
Kuna issue ambazo naona kidogo zinaweza kuelekea kuwa na utata. Moja ni ya Mugabe kuwa king pin katika mazungumzo ya Lancaster - Ni ukweli usiopingika kwamba sisi Tanzania as a nation tulikuwa tunahitaji ZANU waungane na ZAPU kuwa (ZANU-PF) ili kuweza kufanikiwa katika hilo lakini tulimsupport zaidi Nkomo na ZAPU.

Tongogara ndiye aliyefanikisha mazungumzo yale kwa kiasi kikubwa kwa kuongea ana kwa ana na Ian Smith wakati wa tea Break (kuna documentary ambayo Ian Smith aliifanya kabla ya kufa kwake). Kitendo cha Ian Smith kumkubali Zaidi Tongogara ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa juu kule msituni kilimuuudhi Mugabe na ndipo alipoandaa kifo chake kule Mozambique) Rejea onyo alilopewa Tongogara kutokusafiri kwa gari na Samora Machel na kupewa ndege maalumu lakini Mugabe alifanikiwa kutimiza adhma yake ya uuaji, kwani alifahamu alikuwa hakubaliki. Hawa vijana wanaojifanya ni Freedonm fighters ni vijana sana kuweza kuwa katika vita ile. Waliokuwa wadogo ni huyu makamu wa raisi wake wa hivi sasa. Uiangalia wanaofanya fujo bado ni wadogo sana.

Baada ya uchaguzi Tanzania hatukuweza kuutambua ushindi huo mara moja kwani ZAPU walishindwa na ndipo Mugabe alipopeleka ujumbe Dar Kumwona Mwalimu na kumbembeleza ili atambuliwe na sisi Tanzania tulipokubali ndio jumuiya yote ya kimataifa ilipofanya hivyo.

Mugabe aliendeleza azma yake na kuua wananchi wengi wa Bulawayo ambako hata afanye nini hawawezi kumkubali lakini alivuka mpaka na kuanza kuua kila kona hivi sasa kila Nzimbabwe hampendi kwa sababu aliisha kula nyama ya binadamu na hawezi kubadilika.

The good thing ni kwamba Zimbabweans wengi hawampendi na ndio watakaomuondoa bila kujali International wanasema nini ndio sababu Tsvangirai amekataa mazungumzo kwani wanafahamu hawezi kudumu.
 
Maelezo ya FIELD MARSHALL ES Ndiyo ya kuzingatia.
Hayo hapo juu ni kama umeyapanga sana ki politics politics!
Lakini maelezo ya FMES ni ya kweli na yana make sense.
 
A Brief History Of: Robert Mugabe

TIME
By Tiffany Sharples
Thursday, Jun. 26, 2008

a_brhistory_0707.jpg

As the world condemns his oppressive regime, Robert Mugabe
remains uncowed.


There are few more strife-torn countries than Zimbabwe under Robert Mugabe. Inflation has soared past 100,000%; as many as 8 in 10 are unemployed; and in the lead-up to a June 27 runoff election, Mugabe loyalists violently attacked opposition figures, while the 84-year-old President vowed that "only God" could remove him from power.

But it wasn't long ago that Mugabe was considered one of Africa's brightest postcolonial hopes. As recently as in 1994, Britain awarded him a knighthood. Mugabe was imprisoned from 1964 to 1975 for opposing white rule in the former British colony of Southern Rhodesia and later led its independence movement, becoming Prime Minister of the newly named Zimbabwe in 1980. In his first two years, he built schools, clinics and roads and promoted peace. "Yesterday I fought you as an enemy, today you have become a friend and ally," he said then.

Yet, as he gained power, he grew intolerant of opposition. In the early 1980s, Mugabe's special forces massacred some 20,000 Ndebele tribespeople who supported a rival. He spent lavishly on houses, cars and military operations, sending thousands of troops to the Democratic Republic of Congo in 1998 for a costly anti-rebel campaign. In 2000 he encouraged the seizure of land from white farmers--a move which, combined with a drought, caused drastic food shortages. Meanwhile, Mugabe painted himself as Africa's champion, calling Western nations "neocolonialists" striving to "keep us as slaves in our own country." Even as the U.N. condemned the political violence and the U.K. revoked his knighthood, Mugabe remained aloof. "He's not unaware of the fact that Zimbabwe's in chaos," says Robert Rotberg, director of the Program on Intrastate Conflict at Harvard's Kennedy School. "He doesn't care."
 
Membe anajibalaguza tu. Kwa nini hajamwambia president wake asishupalie wengine wakati ya kwake yamemshinda? Issue ya Zanzibar ina tofauti gani na ya Zimbabwe? Na wakae kimya.
 
Africa takes centre stage as G8 kicks off summit

By Yoko Kubota and Alan Wheatley
2 hours, 26 minutes ago

TOYAKO, Japan (Reuters) - The Group of Eight rich nations will seek to convince a skeptical Africa on Monday that it is living up to promises to double aid to the world's poorest continent.

Underlining the importance of the issue, the G8 has invited seven African leaders to join the opening day of its annual summit, taking place at a plush hotel on the northern Japanese island of Hokkaido.

Climate change, record oil prices and a deteriorating global economy add up to a crowded agenda for the three-day meeting, but U.S. President George W. Bush said he particularly wanted to hold fellow leaders to account for their African aid pledges. At its 2005 summit in Gleneagles, Scotland, the G8 agreed to double aid to Africa by 2010 as part of a wider drive to alleviate global poverty.

The G8 holds talks on Monday with the leaders of Algeria, Ethiopia, Ghana, Nigeria, Senegal, South Africa and Tanzania.


Ndio maana tumekimbilia kutoa msimamo kwa kushinikizwa na mkono mzito kisa na mkasa ni misaada ya kutoka huu mkutano, waizri wetu wa nje tunasema hivi hii ni aibu kubwa snaa kwa taifa letu!
 
Back
Top Bottom