''...Tanzania haitakalika''

Tehe tehe tehe tehe! Huyu mwanafunzi hapo juu ana hasira sana!!!! Na wala msimlaumu kwa kutumia lugha ya matusi!

Inafika wakati jazba inazidi busara! Zemarcopolo angalia sana!
 
na ni serikali hiyohiyo inayojenga barabara nchini kote, inajipinda kupeleka maji na umeme vijijini, imejenga shule kila kata, inatarajia kujenga zahanati kila kata huku ikipambana na wakwepa kodi... AMEN

Hi hiiiiii, unasema zile barabara zinazolipiwa na ******* wa EU? Hela za kodi za akina George Michael, ELton John, Freddy Mercury siyo? Wajukuu wa Hitler akina BMW, Audi, VW, BASF etc? Pesa za Tanzania zinatosheleza kulipa mishahara na matumizi ya serikali. Pesa zote za maendeleo zinatolewa na wadhamini ambao wengi ni European Union. Nyie mkiambiwa kujenga tu mnara wa Freddy Mercury na ******* waje kutalii na kuacha madola mnakuja juu. Ila wengine wakizikusanya hela zao na kuwapa nyie, mnakubali. Tuoene aibu na tukome kujisifu kwa kupitia migongo ya wengine. Mtanzania, unaona huku wanasema eti serikali inatoa hela wakati ni kodi yako unayolipa huko.
 
Hi hiiiiii, unasema zile barabara zinazolipiwa na ******* wa EU? Hela za kodi za akina George Michael, ELton John, Freddy Mercury siyo? Wajukuu wa Hitler akina BMW, Audi, VW, BASF etc? Pesa za Tanzania zinatosheleza kulipa mishahara na matumizi ya serikali. Pesa zote za maendeleo zinatolewa na wadhamini ambao wengi ni European Union. Nyie mkiambiwa kujenga tu mnara wa Freddy Mercury na ******* waje kutalii na kuacha madola mnakuja juu. Ila wengine wakizikusanya hela zao na kuwapa nyie, mnakubali. Tuoene aibu na tukome kujisifu kwa kupitia migongo ya wengine. Mtanzania, unaona huku wanasema eti serikali inatoa hela wakati ni kodi yako unayolipa huko.

Sikonge,

Asante sana! Watu wanadhani eti mikopo kwa wanafunzi ni "favour" toka serikalini! It is their rights! Ni kodi za wananchi wa Tanzania.

Nyerere aliwahi kusema..."Ni mbaya sana kuwa masikini wa mali, lakini ni mbaya zaidi kuwa masikini wa mawazo" - Mwisho wa kunukuu!!!
 
Kwa hiyo Tanzania kutookalika ndio better alternative?

Mkuu ZeMarcopolo,

Hivi wewe unaishi Tanzania au UNa-KAA Tanzania. Kuna tofauti kubwa sana kati ya maneno haya mawili - kuishi na kukaa. Huyu kijana anasema haita-KALIKA na kama anayoelezea mchangia hapo juu Tanzania sasa hivi aiKALIKI - Kuanzania Kibaha mpaka Kimara hakuna TONE la Maji - Umeme unakatika so erratic kiasi kwamba huweze kufanya jambo lolote la manufaa kimaisha - Chuo kikuu kimekuwa "Green Zone"!!!!!!
 
Ushirombo mimi sikatai kuwepo kwa masikini, lakini ninakuhitaji na wewe utambue tofauti zilizopo. Kama uko Tanzania ukipata muda nenda kakae mtoni kwa aziz ali pembeni ya barabara. Angalia magari yanayopita na watu walioyapanda. Halafu nenda sarenda bridge, angalia magari na waliomo kwenye magari hayo. Labda hii itakusaidia kutambua kuwa kugoma ili kila mwanafunzi akopeshwa asilimia 100 kwa madai kuwa watanzania ni masikini sio jambo la busara.

Zemarco,
Umesema vizuri sana. Hili nakubaliana na wewe. Ukikaa maeneo hayo, utaona magari ya bei mbaya yakipita na ni mengi sana.
Nakuomba pia ukakae AIRPORT, uone watoto wao wakichukua MAPIPA (ndege) kwenda shule na wakati wa likizo wakirudi na masanduku yao ya SAMSONITE na kupokewa na wazazi na ndugu kwenye hayo magari..
 
Daruso ilishafutwa sijui alikuwa anaongea kwa niaba ya nani kauli kama hizo hazitakiwi haswa kwa nchi yetu ya tanzania tuliozoea amani , uhuru na upendo maisha yetu yote hatuko tayari kuacha vijana hao watishie maisha wengine

BOLD and RED TEXT quoted above MAKES ME VERY SICK!!!!!
 
Tehe tehe tehe tehe! Huyu mwanafunzi hapo juu ana hasira sana!!!! Na wala msimlaumu kwa kutumia lugha ya matusi!

Inafika wakati jazba inazidi busara! Zemarcopolo angalia sana!

Unakumbuka UDSM students walimkaa mwenzao na chupa kwa sababu aliwaambia kuwa haungi mkono mgomo. Huu ni utamaduni wanaoupenda UDSM students wa kuwekeana vitisho na kulazimishana kuamini. Higher learning institution inapaswa kujenga utamaduni wa kujibu hoja kwa hoja. Post za matusi huna haja ya kuzipongeza Masaki kwa sababu zinakiuka maadili ya JF, wala huna haja ya kunipa mimi warning kwa sababu ya post kama hizo kwa sababu wanaopaswa kudeal na post za aina hiyo ni moderators na sio mimi.
 
Kwa hiyo Tanzania kutookalika ndio better alternative?

Siyo better alternative na ndiyo maana Watanzania ndani na nje ya nchi tunapiga kelele kwamba Viongozi wetu wabadilike katika maamuzi yao na kuweka mbele maslahi ya nchi. Hakuna maslahi yoyote ya nchi yaliyopewa kipaumbele kwa kuwazuia 67% ya wanafunzi kurudi chuoni kwa kutokamilisha masharti ambayo yamewashinda kutokana na familia zao kuwa na uwezo mdogo wa kifedha. Hawa ni wataalamu ambao Tanzania itawahitaji sana katika miaka ya usoni

Kama serikali inaweza kununua magari ya kifahari 800 au zaidi yenye kugharimu kati ya shilingi milioni 100 na 150 millioni kwa gari moja, basi Tanzania inaweza kabisa kutimiza maombi ya vijana hao ya kupewa 100% ya mikopo ili waweze kugharamia bila matatizo gharama zote zinazohusiana na elimu yao kwa faida yao na nchi yetu.
 
Zemarco,
Umesema vizuri sana. Hili nakubaliana na wewe. Ukikaa maeneo hayo, utaona magari ya bei mbaya yakipita na ni mengi sana.
Nakuomba pia ukakae AIRPORT, uone watoto wao wakichukua MAPIPA (ndege) kwenda shule na wakati wa likizo wakirudi na masanduku yao ya SAMSONITE na kupokewa na wazazi na ndugu kwenye hayo magari..

mmh naomba nisicomment juu ya hili!!!
 
xxxxxxx mkubwa we!! hujui maisha wanayopitia hao vijana, usijifanye kutaka kuleta hoja hapa, wakati umeshamaliza kusoma, unakula na unakitambi uhuji shid wanazopata watoto wa kike na wa kiume mlimani...................................


Englisher, ni kweli una hasira ila angalia unavyoandika. Please nenda kwenye ujumbe wako na fanya Editing au ufute kabisa. Matusi ni sawa na vita, hivi vyote havisaidii na inabidi vitumike kama the last opition. Sasa hata kama wewe ni mwanafunzi, kutoa matusi kwa jamaa hakutasaidia. Na jamaa unaweza kukuta hata ni Muathirika, ila yuko hapa ili hii topic ipigiwe kelele sana. Sasa unavyotowa matusi, unaharibu kabisa hii topic.

Hapa tupo kuelewashana. Ukitumia nguvu unakuwa kama serikali yetu inayotumia mabavu mara inapoishia point. Mods, mumsamehe kijana, Maji yamezidi unga, ugali umekuwa teketeke.
 
mmh naomba nisicomment juu ya hili!!!

Au na wewe ulisindikizwa nini? hihiiihiiii. Na mie nikiri nilisindikizwa. Ila ndugu zangu wengi wamesoma pale na wengine wanasoma. Mie na wao ni damu damu na shida zao ni zangu..............
 
1. Hakuna elimu ya juu ya bure na hizi sii enzi za ujamaa..ambapo wanafunzi vyou vikuu walikuwa wachache sana na serikali iliweza kuwagharamia bure!

Hakuna anayetaka kupatiwa ELIMU YA JUU BURE!!! Na si kwamba hawa vijana wamegoma ili wapatiwe ELIMU YA JUU BURE - LA !! Tujaribu kuwasikiliza na ufumbuzi utapatikana

Communities zinaweza sana ku-fund elimu, kwa wanaokumbuka vizuri KNCU and BCU walikuwa mahiri sana kwa hili!!!!
 
Au na wewe ulisindikizwa nini? hihiiihiiii. Na mie nikiri nilisindikizwa. Ila ndugu zangu wengi wamesoma pale na wengine wanasoma. Mie na wao ni damu damu na shida zao ni zangu..............

Ninajali welbeing ya watanzania wote na nina ndugu wa hali mbalimbali kimaisha. Hivyo ninachochangia kina lengo la kuboresha nchi yetu na si kupendelea watu fulani. ningekuwa napendelea matajiri ningeunga mkono maoni ya kutaka 100% ya wanafunzi wapewe mkopo.Ila kwa vile natambua mahitaji ni mengi kuliko uwezo ndio maana napendelea sera ya kuwawezesha wanaohitaji zaidi.
 
“Hatuogopi vitisho, tuko tayari kufa, kufukuzwa chuo na hata kwenda jela, tutaendelea kutetea watoto wa masikini, kwani kinachoendelea sasa ni kutengenezwa kwa matabaka kati ya masikini na matajiri, tunaomba Serikali iwarudishe wanafunzi wote vyuoni, vinginevyo Tanzania haitakalika

Hayo ni maneno ya Machibya, aliyekuwa Rais wa iliyokuwa DARUSO. Maneno yake yanafanya nijiulize, hivi Machibya anaelewa maana ya maneno anayoyasema? Tanzania haitakalika, kwa hiyo watanzania wataenda wapi??? na nini kitafanya isikalike? Nani anampa huyu mwanafunzi kiburi cha kutishia maisha ya watanzania? Hizi lugha zisizo na busara zinaonyesha aina ya uongozi uliokuwepo DARUSO. Na sasa watanzania hawawezi kushangazwa na uamuzi wa kuifuta DARUSO iwapo huu ndio upeo wa viongozi wake.

Mkuu wewe umesoma chuo gani usiyejua mateso, kero na adha za vyuo vyetu vya Tanzania? Alichokimtaka sio siri ndiko tunakoelekea. Mwenye macho aambiwi tazama!
 
Daruso ilishafutwa sijui alikuwa anaongea kwa niaba ya nani kauli kama hizo hazitakiwi haswa kwa nchi yetu ya tanzania tuliozoea amani , uhuru na upendo maisha yetu yote hatuko tayari kuacha vijana hao watishie maisha wengine

Kama wameifuta ninawapa "kudos" walioamua kuifuta ilikuwa haina maana Sisi tulichangia sana pale ila matokeo yake viongozi wakala hela wakanunua viwanja na magari. Anayekumbuka miaka ile ya tisini mwishoni kuna viongozi fulani pale wote Rais wa FOE na Makamu wake wa FCM, hawa jamaa walikuwa noma-(Ingekuwa sasa tungewaita mafisadi). Walitupiga changa la macho kwenye michango yetu, yaani walipomaliza shule wakawa na good start up.

DARUSO haina faida kabisa zaidi ya kuwa catalyst ya migomo.
 
Wakuu,

Tunaweza kuwapata Machibya na Mkuu wa Bodi ya MIKOPO hapa ndani ya JF?

Baada ya kusoma through post nyingi nimegundua kuwa:-

- Wachangia wengi hawajui kwanini wanafunzi wa chuo kikuu waligoma na kufukuzwa
- Wachangia wengi hawajui ni vigezo vipi vinatumika na Bodi kutoa mkopo kwa mwanafunzi.

According to me, those two items above are fundamental and needs to be critically looked at ili tuweze kupata long lasting solution.

--- TUJIULIZE WAKATI TUNASUBIRI MACHIBYA and MKUU wa BODI--------------
- Hebu jiulize ni wangapi waliopitia huu mfumo wa kukopeshwa/kuchangia wameanza kulipa deni lao?
- Hebu jiulize ni wakati gani Serikali/Chuo kilishawahi kupitisha maamuzi kuhusu matakwa ya wanafunzi bila mgomo or at least bila dalili za mgomo?
 
Ninajali welbeing ya watanzania wote na nina ndugu wa hali mbalimbali kimaisha. Hivyo ninachochangia kina lengo la kuboresha nchi yetu na si kupendelea watu fulani. ningekuwa napendelea matajiri ningeunga mkono maoni ya kutaka 100% ya wanafunzi wapewe mkopo.Ila kwa vile natambua mahitaji ni mengi kuliko uwezo ndio maana napendelea sera ya kuwawezesha wanaohitaji zaidi.

Zemarco,
Kwa hili naona tuko wote. Kama Kikwete alivyoahidi kuwa "maisha bora kwa Watanzania", kama angelifanya hivyo ingelikuwa safi sana. Siku akifanya hivyo kwa kuwa na walau asilimia 60 ya Watanzania wana hali nzuri, basi hata akisema tuanze kulipia shule inakuwa nafuu kwani walau zikiitwa harambee makanisani, misikitini, kwenye familia nk inakuwa ni rahisi kuzipata hizo hela.
Ukiangalia unavyoandika naona wewe au uko nje au ni mtu wa Dar. Mwenzio mwaka jana nilipata bahati kutembelea vijiji vya wilaya ya Sikonge. Nikaingia huko ndani na kuona kinachoendelea. Watu wa umri wangu au tuliosoma nao shule ya msingi, wanaonekana kama baba zangu kwa jinsi Tumbaku ilivyowamaliza. Kwa lugha ya sasa unasema bila kusita CHOKA MBAYA.
Mkitaka kuifahamu Tanzania, msiishie Dar jamani. Nendeni huko mashenzi aka kambi ya Fisi. Mwenzio ni mwaka juzi tu nimekuja sikia kuwa eti Dar kama mvua ikinyesha, watu wanatapisha vyoo. Hii kitu hadi inatisha ki-afya. Sasa hawa eti wachangie hiyo asilimia. Na hawa wako Dar wana nafuu, huko ndani ndani nafikiri hata Kikwete huwa akienda anaona KINYAA kusogeleana na watu wake, maana hiyo shombo inakuwa kama umenusa base (chemical), yes unapata ile chocking smell......
 
Wakuu hakuna anayesema elimu iwe bure, tatizo ni huo unaoitwa mkopo kwa nini wengine wabaguliwe kukopeshwa??????? kwa nini serikali iseme wewe inakupa 40%, 60%, 80% kwa vigezo butu visivyoaminika? na kwa nini basi mkopaji asiwe huru kuamua ni kiwango gani anataka kukopa?

Hata nchi zilizoendelea watu wanakopa kwa ajili ya kusoma higher institutions ije kuwa bongo ambapo hata ile 20,000Tshs ya shule za kata kuna wananchi wengi tu hawawezi kuilipa. In fact kuna watu wengi tu ambao mwaka unaisha hajawahi kugusa msimbazi mfukoni. Sasa huyu unamwambia cost sharing, ooh sijui mkopo asilimia 0% tutafika.

Pia tukumbuke elimu bure si dhambi na wala sio kuendekeza wananchi Cuba (nchi masikini), Scandinavians, vnezuela, PNG (nchi masikini pia) etc. elimu ya juu ni bure.

ISHU HAPA NI ADMINISTRATION YA HIYO MIKOPO, KAMA KUNA UMAKINI HII SI INAKUWA NI REVOLVING FUND? KUNA WATU TAYARI WANAKATWA HIYO MIKOPO NA WAAJIRI WAO JE MMEWAHI KUSIKIA KWA MWAKA NI SH NGAPI ZIMEKUSANYWA?

HALAFU NI KWA NINI WATUNGA SERA NA VIONGOZI WA SERIKALI WASIONYESHE MFANO WA KUREJESHA MIKOPO NA WALE WALIOSOMA PRE-90'S BASI ANGALAU NAO WATOE 50% KUONYESHA COMMITMENT KWENYE HILI?

KAMA SERIKALI YETU INGEKUWA MAKINI, WAKWELI NA FOR THE PEOPLE MIMI NINGEKUWA WA KWANZA KUJIPELEKA KURUDISHA MKOPO. WELL SIJUI HATA KAMA BADO NNADAIWA MAANA '95 IS SUCH A LONG WAY BACK. SI UNAJUA BONGO HATA KUMBUKUMBU ZA 2007 UNAWEZA USIZIPATE LEO!!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom