''...Tanzania haitakalika''

Nashukuru sana serikali inarudisha JKT maana kule kijana anatoka akiwa anaweza kujitegemea na yuko tayari kwa lolote kwa maslahi ya taifa lake.

Hizo pesa za kuwahudumia hao watakaojiunga na JKT kila mwaka kwa nini zisitumike kuongeza lecture rooms, laboratories, studios, seminar rooms na tena viwe vinakuviequiped ipasanyo; kujenga mabweni ya wanafunzi, office spaces na nyumba kwa staff na mambo mengine mengi ambayo ya muhimu yanayokosekana katika vyuo vyetu. Zaidi ya hapo, wanafunzi wote wasio na uwezo wasome bure.

JKT thing is not a priority when lots of basic needs are missing.
 
Hizo pesa za kuwahudumia hao watakaojiunga na JKT kila mwaka kwa nini zisitumike kuongeza lecture rooms, laboratories, studios, seminar rooms na tena viwe vinakuviequiped ipasanyo; kujenga mabweni ya wanafunzi, office spaces na nyumba kwa staff na mambo mengine mengi ambayo ya muhimu yanayokosekana katika vyuo vyetu. Zaidi ya hapo, wanafunzi wote wasio na uwezo wasome bure.

JKT thing is not a priority when lots of basic needs are missing.

Hapa naona mchangiaji umeangalia material aspect of development. JKT ina umuhimu mkubwa sana, na wala JKT haihitaji fungu kubwa, vijana wenye nguvu wa JKT wana uwezo wa kuzalisha zaidi ya wanavyotumia. So JKT ni kitega uchumi ikiendeshwa vizuri.
 
So JKT ni kitega uchumi ikiendeshwa vizuri.

Kumbe unajua haiwezi kuendeshwa vizuri hadi kufikia kuwa kitega uchumi. Hiyo sentensi inaeleza hisia zako.

Kwa sasa JKT sio kipaumbele. Serikali ijaribu kuwa cost effective kama inavyopigiwa makelele humu kila siku. Maswala kama haya ya kuwekeza katika elimu ni kitega uchumi endelevu.
 
Kumbe unajua haiwezi kuendeshwa vizuri hadi kufikia kuwa kitega uchumi. Hiyo sentensi inaeleza hisia zako.

Kwa sasa JKT sio kipaumbele. Serikali ijaribu kuwa cost effective kama inavyopigiwa makelele humu kila siku. Maswala kama haya ya kuwekeza katika elimu ni kitega uchumi endelevu.

Hiyo sehemu nilliyoimply kuwa haiwezi kuendeshwa vizuri mbona hata mimi siioni, unanilazimisha kusema nisiyoyasema! JKT inaweza kuendeshwa vizuri na kwa mafanikio makubwa.
 
Hivi ni Tanzania tu ndiyo yenye matabaka?, mbona zipo nchi nyingi zina matabaka hayo na zinakalika! na tangu lini unategemea nchi ikawa na watu sawa! Imeshindikana china itakuwa bongo?

Matabaka yapo katika nchi zote, lakini kuna namna ya kuwawezesha ili wajiendeleze kielimu, mfano kunanchi za ulaya elimu ni bure, zingine wanaweka mazingira mazuri mwanafunzi anaweza kufanya kazi akapata kipato akajilipia ada, wengine kuna mikopo. hapa kwetu hakuna mazingira ambayo yameandaliwa kwa mwananchi wa kawaida ili kuwa na uwezo wa kujilipia ada. hili ndilo ambalo linatutia hofu na mashaka juu ya hatma ya mtoto wa mkulima

Hapa elimu inakuwa kutona na uwezo wa mtu kifedha, sio katika kujituma katika elimu au uwezo wa kuelewa, na kama tunavyo jua vyeo serikalini hata mashirika ya uma, vinatokana hasa na elimu aliyo nayo mtu, kwa namna hiyo watakao kuwa viongozi ni wale tu waliotoka familia bora. kwani iwapo mtu alikuwa anashindwa kulipa ada ya shule ya sekondari itakuwaje kwenye ada ya chuo kikuu ambayo ni ya malaki kama siyo mamilioni?
 
Kuna masuala kadhaa bado yananipa shida:

Je watanzania tunaamini katika elimu? Elimu ina nafasi gani katika ukombozi wa taifa hili masikini? Tunawekeza kiasi gani katika elimu kama taifa na kama mtu mmoja mmoja?

Je elimu ni mojawapo ya vipaumbele vya serikali yetu? Nikitazama hali ya shule zetu,migomo ya walimu, migomo ya wanafunzi vyuo vikuu. nk napata taabu kuamini kama elimu ni kipaumbele kimojawapo cha serikali na wananchi kwa ujumla?

Je ni dhambi kwa serikali kutumia pesa ya walipa kodi (masikini na matajiri) kusomesha vijana wake (watoto wa masikini na matajiri) chuo kikuu (bure au kwa kuwakopesha 100%)?

Je ni vizuri kwa serikali kuwa na sera ambayo bado hakuna namna nzuri ya kuitekeleza? Ingawa sera ya uchangiaji ni nzuri lakini bado serikali haina uwezo wa kufanya objective assessment ya nani ana uwezo na nani hana uwezo? Uwezo(utajiri) pia ni dynamic, unaweza kulala tajiri ukaamka masikini (angalia mzozo wa kiuchumi wa marekani)!

Je ni mwanafunzi gani anyestahili mkopo? - ni yule mwenye uwezo wa kurejesha au yule asiye na uwezo? Kwa maoni yangu kama serikali ingalikuwa na uwezo wa kufanya objective assessment ya nani ni 'masikini' na nani ni 'tajiri' basi watoto wa masikini ingetakiwa iwasomeshe bure na wale wa matajiri ingeliwakopesha kwa asilimia 100%. Binafsi naamini kama serikali ingalikuwa na matumizi mazuri ya kodi na rasilimali zetu basi ingeweza kabisa kutoa mikopo na kusomesha bure watoto wa masikini.
 
The philosophy of self -reliance ni muhimu sana kwa vijana wa sasa ambapo wanaweza kujengwa hivyo kupitia JKT TUU.

Vijana wanatakiwa wawe self reliant mentally and physically,hii itasaidia sana vijana kuwa na constructive ideas and high problem solving skills.

Kugoma na kuzuia haki za raia wengine siyo jawabu ya matatizo ya elimu ya juu hapa nchini sanasana ni kosa kikatiba.

waipitie upya sera ya uchangiaji elimu ya juu(cost -sharing policyin higher education) ili wajue wanataka nini kifanyika kwa upande wa serikali.

Nachoona sasa wanapoteza muda mwingi hivyo basi elimu kuchukua muda mwingi kumalizika ambapo kwa upande mwingine wa shilingi wangekuwa makazi wakijenga taifa letu bali wanarudisha juu maendeleo ya nchi yetu kwa kukaa muda mrefu vyuoni bila sababu ya msingi.

Angalia wanafunzi wa kidato cha sita Ifunda wanagoma kufanya mock exams kisa hawajafanya mazoezi kwa vitendo ya kutosha, hii ni dalili tosha kuwa vijana wetu wamechagua hofu baadala ya matumaini na hii ni kwakutokana kwa kukosa elimu ya kujitegemea ambayo inapatika JKT.

WE NEED TO REVIEW OUR HISTORY VINGINEVYO TUNAJENGA TAIFA AMBALO LITAKUWA NA UVIVU MKUBWA WA KUFIKIRIA YAANI SPOON FEEDING SOCIETY AMBAYO NI HATArI SANA KWA KUCHANUA KWA TAIFA HILI HASA WAKATI HUU WA SAYANSI NA TECHNOLOJIA NA UCHUMI HURIA.

if you think JKT is not a priority you are in wroung side of our history and know speed in wroung direction is irrelevant

LETS BECOME THE CHANGE THAT WE WANTS TO SEE IN THE WORLD.
AM
 
The philosophy of self -reliance ni muhimu sana kwa vijana wa sasa ambapo wanaweza kujengwa hivyo kupitia JKT TUU.

if you think JKT is not a priority you are in wroung side of our history and know speed in wroung direction is irrelevant

LETS BECOME THE CHANGE THAT WE WANTS TO SEE IN THE WORLD.
AM

Mkuu,

Ni kweli JKT in nafasi kubwa ya kujenga uzalendo na kujitegemea. Lakini si kweli kwamba ndio njia pekee ya kujenga uzalendo na kujitegemea. Mafisadi tunaowasikia hapa Tanzania, wengi kama si wote wamepita JKT. Hilo unalizungumziaje? wamejifunzia JKT?

Nadhani sehemu nzuri ya kuanzia ni katika ngazi ya familia na si JKT.
 
...
Angalia wanafunzi wa kidato cha sita Ifunda wanagoma kufanya mock exams kisa hawajafanya mazoezi kwa vitendo ya kutosha, hii ni dalili tosha kuwa vijana wetu wamechagua hofu baadala ya matumaini na hii ni kwa kutokana kwa kukosa elimu ya kujitegemea ambayo inapatika JKT....

Mkuu, una maana kuna umuhimu wa mtu kwenda kwanza JKT kabla ya kujiunga kidato cha sita?
 
Last edited:
Kuna masuala kadhaa bado yananipa shida:

Je watanzania tunaamini katika elimu? Elimu ina nafasi gani katika ukombozi wa taifa hili masikini? Tunawekeza kiasi gani katika elimu kama taifa na kama mtu mmoja mmoja?

Je elimu ni mojawapo ya vipaumbele vya serikali yetu? Nikitazama hali ya shule zetu,migomo ya walimu, migomo ya wanafunzi vyuo vikuu. nk napata taabu kuamini kama elimu ni kipaumbele kimojawapo cha serikali na wananchi kwa ujumla?

Je ni dhambi kwa serikali kutumia pesa ya walipa kodi (masikini na matajiri) kusomesha vijana wake (watoto wa masikini na matajiri) chuo kikuu (bure au kwa kuwakopesha 100%)?

Je ni vizuri kwa serikali kuwa na sera ambayo bado hakuna namna nzuri ya kuitekeleza? Ingawa sera ya uchangiaji ni nzuri lakini bado serikali haina uwezo wa kufanya objective assessment ya nani ana uwezo na nani hana uwezo? Uwezo(utajiri) pia ni dynamic, unaweza kulala tajiri ukaamka masikini (angalia mzozo wa kiuchumi wa marekani)!

Je ni mwanafunzi gani anyestahili mkopo? - ni yule mwenye uwezo wa kurejesha au yule asiye na uwezo? Kwa maoni yangu kama serikali ingalikuwa na uwezo wa kufanya objective assessment ya nani ni 'masikini' na nani ni 'tajiri' basi watoto wa masikini ingetakiwa iwasomeshe bure na wale wa matajiri ingeliwakopesha kwa asilimia 100%. Binafsi naamini kama serikali ingalikuwa na matumizi mazuri ya kodi na rasilimali zetu basi ingeweza kabisa kutoa mikopo na kusomesha bure watoto wa masikini.
Na mimi najiuliza what was the problem with the first arrangement ambapo waliochaguliwa kwa academic merits kupewa scholarships? Well wakasema kuchangia then kwanini isingekuwa kama zamani if you are selected in the public university then you have your loan/grant of 100? What made the decision makers to think of financing the private universities? I thought hao wenye pesa hiyo ndo ingekuwa sehemu yao ya kuwapeleka watoto wao na kuweka mazingira ya vyuo hivyo to their stds. I realy get confused kusikia neno private and then using public funds to support private bodies what kind of the definition I we fabricating? From which concept as far as property rights are concerned? Is it done out of ignorance or purposively? Those are things which I need to be enlightened otherwise I think we either dont know what we want or what we ought to do.
 
Na mimi najiuliza what was the problem with the first arrangement ambapo waliochaguliwa kwa academic merits kupewa scholarships? Well wakasema kuchangia then kwanini isingekuwa kama zamani if you are selected in the public university then you have your loan/grant of 100? What made the decision makers to think of financing the private universities? I thought hao wenye pesa hiyo ndo ingekuwa sehemu yao ya kuwapeleka watoto wao na kuweka mazingira ya vyuo hivyo to their stds. I realy get confused kusikia neno private and then using public funds to support private bodies what kind of the definition I we fabricating? From which concept as far as property rights are concerned? Is it done out of ignorance or purposively? Those are things which I need to be enlightened otherwise I think we either dont know what we want or what we ought to do.

Kuwasupport wanafunzi wa prive universities ni jambo ambalo kwa sasa haliepukiki. Sababu ni kwamba public universities ni chache mno kuweza kukidhi mahitaji, jambo ambalo linapelekea wanafunzi waliofaulu kukosa nafasi kwenye public universities. Kwa mfano chuo cha udaktari cha seriksli nchini ni kimoja tu! lakini vipo vingine vinne privete, mwanafunzi aliyepata division one anaweza kukosa nafasi muhimbili lakini akapata nafasi IMTU, sasa iwapo serikali itaacha kumuwezesha huyu wa IMTU na kuassume kuwa amechoose luxury itakuwa haifanyi jambo sahihi. Kusoma private niversity Tanzania sio luxury kama ilivyo katika nchi zilizoendelea ambapo ''matajiri'' huamua kuwapeleka watoto wao kwenye shule za private ili kuwapatia special privilage.Hivyo basi uamuzi wa kuwawezesha wanafunzi wa private universities ni uamuzi sahihi na mpaka sasa umeshawezesha kwa kiwango kikubwa kuongeza idadi ya graduates nchini Tanzania.
 
Sijui kama umenielewa vizuri. Hili lakukosa vyuo vyakutosha haifanyi sisi kushindwa kuwa na special arrangements na vyuo binafsi kama vile colaboration with public universities huku wakiwa na admision ya public universities for only special courses na siyo kama confusion iliyopo sasa hivi (Kama private universities wanavyofanya kwa upande wa human resource I mean lectures). Sasa kama hivi ndivyo basi atleast tonge develop concept yetu na tusitumie neno private mixing with public haipo labda ni new innovation ya kitanzania otherwise ndo maana kuna a lot of constraints katika implementation.
 
... I realy get confused kusikia neno private and then using public funds to support private bodies ...

Hapo umesema Mkuu. Najua kuna watu watakaokuja kulipinga hili, kwa kisingizio cha Elimu. Ukweli ni kwamba hawa owners wa private Universities wamepandisha sana ada za vyuo vyao wakijua watu wanachota tu mkopo pale bodi. Hata bodi ya mikopo juzi juzi ndo ilikuwa inalalamika baada ya kuzinduka. Nao wanavyuo wa private uni wanajisahau kwamba hilo ni deni, wala hawashtuki. Huu mtindo wa serikali kuzibeba private sectors ndo unasababisha public uni kukosa 100% ya mikopo, na ni muendelezo wa mambo kama yale ya kutoa ruzuku kule TRA wakati muwekezaji anamiliki kwa 51%.
 
Sijui kama umenielewa vizuri. Hili lakukosa vyuo vyakutosha haifanyi sisi kushindwa kuwa na special arrangements na vyuo binafsi kama vile colaboration with public universities huku wakiwa na admision ya public universities for only special courses na siyo kama confusion iliyopo sasa hivi (Kama private universities wanavyofanya kwa upande wa human resource I mean lectures). Sasa kama hivi ndivyo basi atleast tonge develop concept yetu na tusitumie neno private mixing with public haipo labda ni new innovation ya kitanzania otherwise ndo maana kuna a lot of constraints katika implementation.

Bodi ya mikopo haikifund chuo bali inamuwezesha mwanafunzi. Sasa kama wanafunzi wote ni watanzania, why should it matter kama wako kwenye private au public univeristy??? Public universities zina fungu lake katika budget kwa ajili ya kujiendesha then kuna ada za wanafunzi kwa ajili ya kutop up kwenye hiyo budget, private universities hazipati fungu lolote toka serikalini. Notion ambayo imepitwa na wakati ni assumtion kwamba watu walio kwenye public university wamefaulu zaidi ya wale walio kwenye private university, siku hizi hali haiko hivyo.

Ukisema public univeristy iwe na collaboration na private univeristy kwenye baadhi ya kozi, unadhani hiyo collaboration itakuwa ya bure? na yenyewe si italipiwa! sasa lets say faculty of law ya UDSM ifanye collaboration na faculty of law ya Tumaini Iringa, huoni kuwa geographicaly collaboration hii ni more expensive than kumlipia mwanafunzi ada hukohuko Tumaini?
 
Daruso ilishafutwa sijui alikuwa anaongea kwa niaba ya nani kauli kama hizo hazitakiwi haswa kwa nchi yetu ya tanzania tuliozoea amani , uhuru na upendo maisha yetu yote hatuko tayari kuacha vijana hao watishie maisha wengine


DARUSO haijafutwa. kilichofutwa ni Uongozi wa DARUSO tena umefutwa na Uongozi wa UDSM! Waliowachagua viongozi wa DARUSO ni Wanafunzi wenyewe, lituko ni kuwa Wanaowafuta Uongozi ni Utawala wa UDSM! Hapo sasa! Sijui Demokrasia ya wapi hiyo
 
Hii mikopo ya elimu ya juu imeanza kutolewa tangu 1994(kama sijakosea)... Serikali ituambie mpaka 2008 imeshatoa mikopo kwa watu wangapi, wangapi wamehitimu, na kiasi gani cha hiyo mikopo kimeshalipwa kwa ajili ya vizazi vinavyofuata.

Kwenye magazeti kadhaa ya leo nimeoliona tangaza la Bodi ya Mikopo, lina majibu ya maswali haya
 
DARUSO haijafutwa. kilichofutwa ni Uongozi wa DARUSO tena umefutwa na Uongozi wa UDSM! Waliowachagua viongozi wa DARUSO ni Wanafunzi wenyewe, lituko ni kuwa Wanaowafuta Uongozi ni Utawala wa UDSM! Hapo sasa! Sijui Demokrasia ya wapi hiyo

Ibrah, DARUSO imefutwa. Haipo tena. Wataaam wa sheria wanasema walioifua hawana mamlaka ya kuifuta, sasa tungoje kuona nini kitafuata baada ya wanafunzi kurudi ila kwa hali ya sasa hakuna any legal body inayoitwa DARUSO.
 
Ze marcopolo na Shy Mngekuwa ndio watu wa Daraja la chini haya maneno ya Machibya mngeyaaelewa lakini kwakuwa mambo yenu yapo shwari lazima mumuone kama Mzushi tu kwani kwenu hakuna Effect na inawezekana nyi e ndio mliosoma bure Wasaliti wakubwa na wanene, nadhani mnashindwa kusoma alama za nyakati !!!!!!


Ndugu yangu acha kuhangaika na watu ambao hata Lecture rooms hawazijui.Wao kwa kuwa wanakaa karibia na U.D (hapo mitaa ya survey) basi wanaona washakua na digrii.
Mimi nadhani tutafute kiini cha hili tatizo.. Ni kwamba bodi ya mikopo imeshindwa kupata njia sahili ya kuweza kufahamu nani ni nani period...
Zile fomu wanazotoa bodi ni kimeo kitupu... Wanafunzi kwa woga wa kukosa mikopo basi hujaza Kazi za uongo za wazazi.. hili linafanya bodi ishindwe kutambua nani mtoto wa mkulima nani mtoto wa Kigogo wanaishia kurusha shilingi itakapoangukia ndio hao hao (Kidding).
 
zemacopolo ilibidi utafakari kwanza huo ujumbe aliputoa machibya sio kua kukurupuka na kuandika.
 
Daruso ilishafutwa sijui alikuwa anaongea kwa niaba ya nani kauli kama hizo hazitakiwi haswa kwa nchi yetu ya tanzania tuliozoea amani , uhuru na upendo maisha yetu yote hatuko tayari kuacha vijana hao watishie maisha wengine

Inaumiza sana unapokosa vigezo vya kukufanya urudi chuo. By the way amani inayoongelewa TZ si amani halisi bali ni nizamu ya woga mean hata kama unaonewa na kunyimwa haki so long as kuna amanani basi u keep it and stay with it. Zamani mambo mengi yalikuwa yanaishia insitu lakini sasa hivi ni vigumu wa2 waanza kuondoa nizamu ya woga. Nahis bado kuna maeneo mengi yatafuata.
 
Back
Top Bottom