Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,299
- 90,482
Arena ni kiwanja kikubwa kilicho katika mithili ya ukumbi ambacho shughuli za michezo, muziki, mikutano na sanaa mbalimbali zinaweza kufanyika ndani yake.
Kwa Africa Mashariki Arena ziko mbili tu ambazo ni BK Arena, Kigali na Moi/Kasarani Arena, Kenya. Supe Dome Masaki ni hall tu ya kufanyia matukio madogo madogo ya kijamii kama kitchen party, harusi, iftar n.k
Kwa Africa Mashariki Arena ziko mbili tu ambazo ni BK Arena, Kigali na Moi/Kasarani Arena, Kenya. Supe Dome Masaki ni hall tu ya kufanyia matukio madogo madogo ya kijamii kama kitchen party, harusi, iftar n.k