Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 790
Bajameni,
Mimi si mchumi, bali mbwabwajaji. Sasa if madini ambayo ni 1.9% ya GDP ya Taifa yanaingiza 50% ya forex, then something is wrong on this picture. It means kuwa hizo 98.1% ya GDP hazina nguvu za kutuleta japo 98.1% ya Forex?
bado sielewi kwa nini Madini ambayo ni tosha kuchukua japo 30% ya GDP yawe ni kiwango kidogo hivyo.
Binafsi ningependa Madini yaweze kuwa na contribution kubwa kwenye GDP, hata hivyo nisingependa sekta kama hiyo ichukue 30%! Kwanini nasema hivyo Jibu ni kwamba Lazima Sekta zinazoajiri watu wengi, sekta zenye risk ndogo ndio zishike uchumi wa nchi nazo ni Kilimo,,, Leo hii sekta ya madini ikichangia sema 50% kwa mfano siku madini ya namna fulani yakishuka bei tumeliwa!!! Ndio maana nimesema hiyo percentage inadepend sekta zingine zinafanya nini!!!
Leo sekta ya madini kwa mfano ikichangia 90% ya GDP maana yake Watanzania hatufanyi kazi tunategemea sekta moja na ambayo umiliki wa wenyewe wa hiyo migodi sio wetu... hivyo kuliweka taifa kwenye risk.