Koba nini kifanyike???? kwa kuwa makosa yameishafanyika tuache hivyo hivyo sababu 40% ya budget inatoka kwao? hii sikuelewi fafanua mazee
...badilisha sheria za sasa zinazotumika kusign hiyo mikataba na endelea kuwaomba kama wanavyofanya sasa na kama kuna chochote katika sheria za sasa tunachoweza kutumia ili kurekebisha tumia!