femalepilot
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 258
- 118
Wapo makomando wa kike, ila kulingana na nature ya training ni wachache sana wanaofanikisha kufika mwisho wa mafunzo yote. Ukomandoo unahusiana moja kwa moja na jeshi, komando ni mtu/binadamu anayefundishwa kupambana au kushambulia kwa ufanisi wa juu zaidi na kwa muda mfupi zaidi na kwa ghafla zaidi na katika mazingira hatarishi zaidi.
Kulingana na maelezo hayo angalia kama ni muhimu kuwa komando kwa matumizi yako binafsi.
Nashukuru kwa maelezo yako,noted.