Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #62 Dakika ya 75, Bado Tanzania 1 - Kenya 1. Mpira sasa unaonekana kuchezwa pande zote. Huenda Stars wakafanya kweli... wanaonesha uhai sasa
Dakika ya 75, Bado Tanzania 1 - Kenya 1. Mpira sasa unaonekana kuchezwa pande zote. Huenda Stars wakafanya kweli... wanaonesha uhai sasa
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #63 Dakika ya 77, Mashambulizi yananza kuliandama goli la Kenya. Stars wameamka!
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #64 Dakika ya 79, Maximo kiti kimekuwa cha moto. Hakai tena... Anahimiza kama ndo anajua mambo si mazuri. Walau uhai unaonekana, draw si nzuri kwetu!. Uhuru Selemani anaingia kuchukua nafasi ya Erasto Nyoni
Dakika ya 79, Maximo kiti kimekuwa cha moto. Hakai tena... Anahimiza kama ndo anajua mambo si mazuri. Walau uhai unaonekana, draw si nzuri kwetu!. Uhuru Selemani anaingia kuchukua nafasi ya Erasto Nyoni
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #65 Dakika ya 82, Stars wameamka wakiwa wamechelewa. Wanafanya mashambulizi ya nguvu; heri wangeanza hivi kipindi cha pili
Dakika ya 82, Stars wameamka wakiwa wamechelewa. Wanafanya mashambulizi ya nguvu; heri wangeanza hivi kipindi cha pili
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #66 Dakika ya 83, Faulo inapigwa kwenda Tanzania mita chache... Goal Kick
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #67 Dakika ya 85, Stars wanaliandama goli la Kenya. Mashambulizi mazuri sana. Watafanya lolote?
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #68 Maximo nahisi sasa anaongea kiswahili; Dakika ya 86, Mambo bado hayajakaa sawa! Tanzania 1 - Kenya 1
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #69 Mungu mkubwa! Ilikuwa tulizwe ndani ya Dakika ya 87. Mambo si mambo
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #70 Dakika ya 88, Tanzania 1 - Kenya 1
M Mtu JF-Expert Member Feb 10, 2007 469 43 Dec 8, 2007 #71 Uhuru Selemani anaingia kuchukua nafasi ya Erasto Nyoni Click to expand... Dah ndio kwanza namsikia huyu Uhuru,anakipiga chama gani?Sio RTC kagera?
Uhuru Selemani anaingia kuchukua nafasi ya Erasto Nyoni Click to expand... Dah ndio kwanza namsikia huyu Uhuru,anakipiga chama gani?Sio RTC kagera?
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #72 GOOOOAAAL! Tanzania 2 - Kenya 1 Dakika ya 89!
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #73 Kadi nyekundu kwa Amir Maftaha wa Stars kwa mchezo mchafu.
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #75 Mpira umekwisha. Tanzania 2 - Kenya 1. Japo chenga wametula sisi tumewafunga! Danny Mrwanda ndiye aliyefunga goli la pili. Ahsanteni kwa uvumilivu wenu. Next is Chelsea vs Sunderland. Hiyo sitoileta hapa Siasa Forums itakuwa michezo forums.
Mpira umekwisha. Tanzania 2 - Kenya 1. Japo chenga wametula sisi tumewafunga! Danny Mrwanda ndiye aliyefunga goli la pili. Ahsanteni kwa uvumilivu wenu. Next is Chelsea vs Sunderland. Hiyo sitoileta hapa Siasa Forums itakuwa michezo forums.
M Mtu JF-Expert Member Feb 10, 2007 469 43 Dec 8, 2007 #77 Invisible said: GOOOOAAAL! Tanzania 2 - Kenya 1 Dakika ya 89! Click to expand... Nani Mfungaji?
Shakazulu JF-Expert Member Feb 23, 2007 957 280 Dec 8, 2007 #78 Ukitaka kuangalia mpira live ingia hapa www.live-footy.org
M Mtu JF-Expert Member Feb 10, 2007 469 43 Dec 8, 2007 #79 Engineer Mohamed said: duh safi sana,CCM CCM CMM CCM Click to expand... Tehe tehe tehe teeh
Invisible Robot Feb 11, 2006 9,075 7,878 Dec 8, 2007 Thread starter #80 Mtu said: Nani Mfungaji? Click to expand... Danny Mrwanda nimesema. Sasa nahamia chini kwenye Michezo Forums ili kuwaletea Chelsea vs Sunderland - Live
Mtu said: Nani Mfungaji? Click to expand... Danny Mrwanda nimesema. Sasa nahamia chini kwenye Michezo Forums ili kuwaletea Chelsea vs Sunderland - Live