Tanzania Bara vs Kenya - Live

Dakika ya 75,

Bado Tanzania 1 - Kenya 1.

Mpira sasa unaonekana kuchezwa pande zote. Huenda Stars wakafanya kweli... wanaonesha uhai sasa
 
Dakika ya 77,

Mashambulizi yananza kuliandama goli la Kenya. Stars wameamka!
 
Dakika ya 79,

Maximo kiti kimekuwa cha moto.

Hakai tena... Anahimiza kama ndo anajua mambo si mazuri.

Walau uhai unaonekana, draw si nzuri kwetu!.

Uhuru Selemani anaingia kuchukua nafasi ya Erasto Nyoni
 
Dakika ya 82,

Stars wameamka wakiwa wamechelewa. Wanafanya mashambulizi ya nguvu; heri wangeanza hivi kipindi cha pili
 
Dakika ya 83,

Faulo inapigwa kwenda Tanzania mita chache... Goal Kick
 
Dakika ya 85,

Stars wanaliandama goli la Kenya. Mashambulizi mazuri sana. Watafanya lolote?
 
Maximo nahisi sasa anaongea kiswahili;

Dakika ya 86,

Mambo bado hayajakaa sawa! Tanzania 1 - Kenya 1
 
Mpira umekwisha.

Tanzania 2 - Kenya 1.


Japo chenga wametula sisi tumewafunga!

Danny Mrwanda ndiye aliyefunga goli la pili.

Ahsanteni kwa uvumilivu wenu.

Next is Chelsea vs Sunderland. Hiyo sitoileta hapa Siasa Forums itakuwa michezo forums.
 
Back
Top Bottom