Kikosi cha Stars kilichowabamiza Harambee Stars.
Nashukuru Dua kwa kunikumbusha kuwa hii ni Kilimanjaro Stars. Thanks mkuu
Invisible,pengine huu sasa ni wakati mwafaka wa kuua sections nyingine za JF eg MICHEZO na kulifanya JUKWAA LA SIASA kuwa mahala pa kila kitu.Mjenga nchi ni mwana nchi na mvunja nchi ni mwananchi pia.Napigania umuhimu wa kuzingatia sheria tulizojiwekea sie wenyewe.Tenga kuchaguliwa CECAFA imewekwa hapa,live broadcast ya TZ vs KENYA nayo imewekwa hapa.Nafahamu kuwa section hii ya JUKWAA LA SIASA ndio inayotembelewa zaidi lakini hiyo in itself sio sababu ya kukiuka taratibu,lkn cha zaidi ni kwamba kwa kuweka hapa kila habari yenye mvuto,pasipo kujali kuwa sio ya SIASA,hizo sections nyingine kama "Michezo" zitadumu vipi?
Having said that,asante kwa live broadcast ila next time iweke kunakohusika