Foleni za Morogoro road ni uhujumu uchumi wa aina yake na wao hawaoni shida kwakuwa ndio vinara wa kutanua
au amelala na kimada anaambiwa Babe nataka kiwanja pale masaki.....shenzi zakeKwa kubold hatujambo
bado ipoHivi ile diversion ya Kibaigwa imeshaondolewa...?
ndio wanafanya wakandarasi local waonekane hamnazoWanafanya uzembe sana