TANROADS Pwani huyu Mkandarasi wa hili daraja hapa Ruvu mmepataje? Tumekaa foleni kuanzia saa saba usiku hadi sasa

TANROADS Pwani huyu Mkandarasi wa hili daraja hapa Ruvu mmepataje? Tumekaa foleni kuanzia saa saba usiku hadi sasa

Huyu mkandarasi hadi uwezo, pesa ni ya World bank, why hamjengi mkamaliza? Kuna malori na magari madogo kama buku na kidogo. Kuanzia Visiga hadi ruvu.....

Huu usumbufu usio na maana. WORLD BANK njooni muone huyu mkandarasi
Hana uwezo au Hadi uwezo🤔poleni
 
Yaani masaa matatu kutoka visiga hadi ruvu hapa is unfair kwa kweli. Traffic nao wamechoka wamesimama tu. Mkandarasi yuko na mkewe wamelala muda huu.
 
Mkuu Determinantor pole sana. Hapo ruvu juzi kati tulikaa kwa masaa kumi na tatu kutoka saa nne usiku hadi kesho yake saa tano asubuhi.
Huu ni ujinga wa hali ya juu, ni muhimu kufuatilia namna alivyopatikana huyu mkandarasi maana pesa sio shida, wanalipwa na world bank straight...ina maana yeye ndio janjajanja nyingi
 
Back
Top Bottom