Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,192
- 99,924
Huyu mkandarasi hadi uwezo, pesa ni ya World bank, why hamjengi mkamaliza? Kuna malori na magari madogo kama buku na kidogo. Kuanzia Visiga hadi ruvu.....
Huu usumbufu usio na maana. WORLD BANK njooni muone huyu mkandarasi
Huu usumbufu usio na maana. WORLD BANK njooni muone huyu mkandarasi