Shetemba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 955
- 984
Hapa Mbezi Luis kwa Yusuf Kuna mzunguko ambao magari yote yanagawanyika,yanayotolka Kibaha, yanayotoka kinyerezi,yanayotoka Mpigi magoe yanayotoka stendi ya Magufuli yote yanakutania hapa,sasa sijui ni uroho au ulevi mtu anatoa kibali cha kuweka makontena ya biashara katika eneo hili, bila kujali kwamba eneo ili linapongoza kwa ajali za kila mara