Msongo wa mawazo ndo unawasumbua. Kila siku kuanzisha nyuzi kutaka watu waongee alafu wakiongea mnaazisha nyuzi eti nyoka wanatoka pangolin.Ukimya wa Mbunge wa Chalinze unatupa picha gani kuhusu msimamo wake kwa mkataba huu wa ajabu ajabu?
jimboni hajapita kuufafanua wala kuukosoa. Je anataka tumuone ni mwema sana kuwa hana upande wakati aliupigia kura mkataba huu?
Baba yake amesema kwa Niaba yake jana!Ukimya wa Mbunge wa Chalinze unatupa picha gani kuhusu msimamo wake kwa mkataba huu wa ajabu ajabu?
jimboni hajapita kuufafanua wala kuukosoa. Je anataka tumuone ni mwema sana kuwa hana upande wakati aliupigia kura mkataba huu?
Tafuteni dawa za msongo wa mawazo. Mnakoelekea mtakuwa wehuBaba kakurupuka na taulo mkononi😄
Kule kwenye gas kuna kamrija kanaimwagilia famili maji mpaka mwisho wa dunia.Maslahi ya familia yameingiliwa.
Kwa hiyo ndo mnayowaza hayo? Kweli ujinga kipaji!!Mwambie boss atoe tamko basi ili mama ajue kuwa yupo naye😄
Hata manabyake wa kambo nae kakaa kimya. Naona wameamua kumwachia mkuu wa familia ajilipue mwenyewe..Ukimya wa Mbunge wa Chalinze unatupa picha gani kuhusu msimamo wake kwa mkataba huu wa ajabu ajabu?
jimboni hajapita kuufafanua wala kuukosoa. Je anataka tumuone ni mwema sana kuwa hana upande wakati aliupigia kura mkataba huu?
IdiotMsongo wa mawazo ndo unawasumbua. Kila siku kuanzisha nyuzi kutaka watu waongee alafu wakiongea mnaazisha nyuzi eti nyoka wanatoka pangolin.
Nyie ni vichaa msiojitambua. Tafuteni dawa haraka.
Wewe sio?Idiot
Jana ame whistle his dogs to start barking.Aisee
Nchi inaliwa kwa utulivu hii dah
Msimamo wake na wa Baba ni mmoja. Nae atatoka kuusemeaUkimya wa Mbunge wa Chalinze unatupa picha gani kuhusu msimamo wake kwa mkataba huu wa ajabu ajabu?
jimboni hajapita kuufafanua wala kuukosoa. Je anataka tumuone ni mwema sana kuwa hana upande wakati aliupigia kura mkataba huu?
Hivy givyo imekuwa kwa Mwigulu na January. Umewasikia?Ukimya wa Mbunge wa Chalinze unatupa picha gani kuhusu msimamo wake kwa mkataba huu wa ajabu ajabu?
jimboni hajapita kuufafanua wala kuukosoa. Je anataka tumuone ni mwema sana kuwa hana upande wakati aliupigia kura mkataba huu?