ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Bado nakusanya list ya haters..
HATERS:
Kipaji Halisi Bishanga Innobwoy
WANITAKIAO MEMA:
Baba V Paloma watu8 Mamndenyi Bujibuji Lady doctor shem wa ukweh..
SIWAELEWI WAMESIMAMA UPANDE UPI:
mimisa nitonye Arabela Heaven on earth sosoliso
pole rafiki yangu pole sana jamani hawa watu wanavyotutenda kiasi hichi tumwachie Mungu tu bestito
dogo hata mimi ni "haters"wako...fanya utafiti vizuri
tatizo Mentor ujana mwingi..starehe kibao..mara kijiji chetu..mara mahaba beach..pole@ladyfurahia
mi niko kote kote,
shemeji naomba na leo tupige maombi kama jana, maana naamini dada yangu ladyfurahia hiyo si akili yake ni pepo hilo shem.
Pamoja na moyo wangu wa mshumaa bado nimeonekana ni hater????samahani kama nimekosea kutoa makazi ya kudumu kwa moyo uliochakazwa na maumivu!!!!
Mentor hapa uliponiweka panatosha
siyo mbaya kwangu.
Nilipomsoma dada hapo juu nikahisi ni yule ...agness.. (sore kama nimesahau jina)
yaani kule alikokupiku brother
Nikawaza zaidi nikaona au ni yule uliyekutana naye posta
na akaja kukufumania laivu
Ikabidi nicheke sana,
ladyfurahia kohoi na hoi ngiikuterewa ngi cha mamii opfo
kye mlekie manachu oko, echiwiilyia sepfo loi.
Mentor na ladyfurahia..wote nawatakia mema..ndoa ni kitu chema..vumilianeni..
kuna mambo ya kuomba ushaur jaman...lakin sio hili????
AKUPENDAE KWA DHATI:
Evelyn salt
uvumilivu umenishinda my dia, naletewa wanawake ndani ya nyumba si jambo la kushangaza hilo, kinachoniuma zaidi ni kulala sebuleni mm na watoto maamaaaax2
Arabela na wewe umejiunga na Heaven on earth !??
Arabela na wewe umejiunga na Heaven on earth !??
binamu lady furahia
pole kwa yaliyokusibu ila ndoa uvumilivu
mimi Passion Lady nimekuja kidismynder lol!!
Amen shem wangu wa ukweli..basi leo nitakuja na divai!