sosoliso
Platinum Member
- May 6, 2009
- 8,543
- 9,478
Nimeshafika hatua ya kuachana naye maana sina jinsi kila mara ni vituko, vimbwenga na majanga ya kila namna nisaidieni nifanyaje?
Pole sana mama kwa tabu unazozipata.. lakini kwanza usichukue hatua hiyo.
Mimi na wazazi wake tutamuita tumkanye.. akirudia mie nitakuwa shahidi yako
Naona vibaya mmeshazaa watoto.. mkitengana mtawapa shida watoto wenu..
Shem ladyfurahia msikilize marehemu Marijani akikupa ushauri..
Last edited by a moderator: