TANGAZO: Naachana rasmi na Mentor

TANGAZO: Naachana rasmi na Mentor

hayo hayo maombi yamesababisha mm nitoe miguu yangu kwake nasubiri ajaze fomu niliyotoka nayo mahakamani kisha tuende kwenye baraza la wazee, na baraza la la Baba V

haaa....!! Cousin! Usitake niamini kuwa maombi yangu mimi na shem Mentor ndiyo yanataka kukuvunjia ndoa yako, ila mbona uliniruhusu mwenyewe nimfanyie maombi shemeji? Sasa kwanini unanigeuka tena?

Basi ngoja nisitishe haya maombi ili ndoa yako isivunjike
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Wengine tunaungana, wengine wanaachana! Utadhani daladala, wengine wanashuka wengine wanapanda. Mentor what happened? ladyfurahia rudisha moyo nyuma muendelee na ndoa.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom