mimisa
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,511
- 1,441
vipi Evelyn Salt..umeona fursa?
AKUPENDAE KWA DHATI:
Evelyn salt
Last edited by a moderator:
AKUPENDAE KWA DHATI:
Evelyn salt
Siamini cousin!!!!! Yaani yale maombi tuliyoomba jana na Mentor ndiyo yanavunja ndoa? Kweli shetani ni mbaya, usikubali kushindwa, komaa naye mpaka kieleweke.!!!!!!
uvumilivu umenishinda my dia, naletewa wanawake ndani ya nyumba si jambo la kushangaza hilo, kinachoniuma zaidi ni kulala sebuleni mm na watoto maamaaaax2
Ivi we mzee unajua sababu za kuporomoka kwa kasi utajiri wako???
tatizo ni kwamba alirudi usiku wa manane home huku akiwa na dogo pembeni na kuniambia nimpishe bedroom ajipumzishe na huyo mwali mpya, sikuwa na jinsi ilibidi mm na mwanangu tutoke twende kulala sebuleni yani sijui nifanye nini niko njia panda sana nashindwa la kufanya nasubiri ajaze fomu za mahakamani, na kunipa talaka yangu tu basi
dogo hata mimi ni "haters"wako...fanya utafiti vizuri
ninakuja na mizinga yangu toka USA kukunyuka wewe usiye na haya
Pole sana mama kwa tabu unazozipata.. lakini kwanza usichukue hatua hiyo.
Mimi na wazazi wake tutamuita tumkanye.. akirudia mie nitakuwa shahidi yako
Naona vibaya mmeshazaa watoto.. mkitengana mtawapa shida watoto wenu..
Shem ladyfurahia msikilize marehemu Marijani akikupa ushauri..
nilikuwa bize kule Ustawi wa Jamii na ndo nimerudi unasemaje my dia, kwani nimeshamaliza mambo yote ya mtoto nangojea mahakamani wakiniita na kwa baraza la Baba V aniite naye, kisha nitangaze rasmi kabisa kuondoka kule pantoniti
hauna silaha za kivita?
na wewe ukawapisha..........!!??!! badala ya kuwajoin!!??!!
sasa hapo ndio unaharibu! tena sana!
wakati mimi naenda kukugombelezea mrudiane unasema unakuja na makombora!
haya! angalia yasijekukurudia!
Yangu macho............. ladyfurahia unalo hilo